chikanu chikali
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 1,146
- 1,832
Kjani wenyewe hawana uhakika wa kushinda majimbo yoteUle mpango wa kupewa majimbo 20 umebuma, CCM asilia wamekomaa hataki laghai za mwenyekiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kjani wenyewe hawana uhakika wa kushinda majimbo yoteUle mpango wa kupewa majimbo 20 umebuma, CCM asilia wamekomaa hataki laghai za mwenyekiti
Milango imeshafungwa kwa uchaguzi hui!Bwashee siasa haina uadui wa kudumu!
UKAWAKwanini asiungane na ccm au cuf?! Kwanini CHADEMA?!
Ushirikiano na CCM umebuma ?Mkurugenzi wa mawasiliano wa NCCR Mageuzi Dr Edward Simbeye amesema chama chake kiko tayari kushirikiana na vyama vingine vyenye mrengo wa demokrasia katika uchaguzi mkuu.
Source East Africa Radio
Mbatia kashaiuza NCCR...kwa wana Lumumba.UKAWA
Duh.....!Chadema imeamka ghafla Na kufunika nchi nzima! Sijawahi kujutia kuwa huku
They are a black sheep. They are not to be trusted.Mkurugenzi wa mawasiliano wa NCCR Mageuzi Dr Edward Simbeye amesema chama chake kiko tayari kushirikiana na vyama vingine vyenye mrengo wa demokrasia katika uchaguzi mkuu.
Source East Africa Radio
Unashirikianaje na shetani?Mkurugenzi wa mawasiliano wa NCCR Mageuzi Dr Edward Simbeye amesema chama chake kiko tayari kushirikiana na vyama vingine vyenye mrengo wa demokrasia katika uchaguzi mkuu.
Source: East Africa Radio
Ushirika na CCM umefia wapi?Hahaha walisema CHADEMA imewadhulumu sana pesa ! Sasa Leo wanataka washirikiane na wez? Wanachekesha
Kwani ushirikiano na CCM umevunjika.Hao wakashirikiane na TLP na UDP!
Wamekumbuka nini?Mkurugenzi wa mawasiliano wa NCCR Mageuzi Dr Edward Simbeye amesema chama chake kiko tayari kushirikiana na vyama vingine vyenye mrengo wa demokrasia katika uchaguzi mkuu.
Source: East Africa Radio
AMENChadema imeamka ghafla Na kufunika nchi nzima! Sijawahi kujutia kuwa huku