BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Hatushirikiani ni wasaliti. Apeleke ujinga wake Lumumba.
Mkurugenzi wa mawasiliano wa NCCR Mageuzi Dr Edward Simbeye amesema chama chake kiko tayari kushirikiana na vyama vingine vyenye mrengo wa demokrasia katika uchaguzi mkuu.
Source: East Africa Radio