Nchi ambayo Wafanyabishara wanaweza kugharamia safari za Rais za Kitaifa na Kimataifa haiwezi kujali maslahi ya wananchi wa kawaida

Nchi ambayo Wafanyabishara wanaweza kugharamia safari za Rais za Kitaifa na Kimataifa haiwezi kujali maslahi ya wananchi wa kawaida

Nadhani una shida ya kuelewa. Naelewa shida sio wewe, ni eidha shule ndogo ama shule uliyopitia.

Nani kazungumzia uchumi mzuri wakati wa Nyerere?

Wewe unaona ni sahihi mkuu wa nchi kugharamiwa shughuli zake eidha binafsi ama za kiserikali na kikundi cha watu flani?
Naomba Akupe Jibu Nasubiri.
 
Juzi tuliambiwa gharama za safari za rais za kitaifa na kimataifa zinagharamiwa na wafanyabishara ambao hawatajwi majina.

Katika akili ya kawaida, kama wafanyabishara wanagharamia safari za mkuu wa nchi nje ya nchi na ndani ya nchi maana yake tayari rais ameshakuwa compromised na wafanyabishara. Hivyo wafanyabishara wanafanya vile wanavyotaka.

Mwalimu Nyerere aliwahi kuonya mkuu wa nchi kuwekwa mfukoni na watu kadhaa ama kikundi flani cha watu ambao wanaweza kumpa maelezo na kumtuma cha kufanya.

Hali hii imejitokeza mbele ya macho yetu. Rais wetu anafadhiliwa na kikundi flani cha watu ambao wanamuelekeza cha kufanya kwani tayari kikundi hicho kinafadhili shughuli za rais na shughuli za serikali.

Kwa msingi huo, ndio maana unaona wafanyabishara wanajiamulia kupandisha bei ya mafuta ambayo yalinunuliwa kwa bei ya chini na hakuna kitu Serikali itawafanya.

Msukuma ameshangaa mafuta yaliyonunuliwa mwezi Februari kupanda bei ghafla sawa na mafuta yanayouzwa leo kwenye soko la Dunia.

Tukubaliane kwamba kaama nchi tumepigwa na kitu kizito kichwani. Mkuu wetu wa nchi yuko mifukoni kwa watu.
Ni kanuni mafuta hata ingekua kushuka haitajalisha hayo mafuta wamenunua kwa bei gani yatatakiwa kushuka hiyo ni kanuni ya biashara. Gharama za Rais hazijagharamiwa na wafanyabiashara wa Tanzania ile ni biashara kubwa Royal Tour win win Tanzania haina hati miliki ya hiyo filamu lakini inatangazwa kwa gharama ya mtayarishaji ambaye atapata pesa nyingi na Tanzania itapata watalii na wawekezaji wengi shida iko wapi?
Shida ni kila jambo likipangwa na SSH ni kupinga tu mngeambiwa gharama za kutengeneza filamu ni Tsh 10bn mngekubali si ndiyo mngekula pilipili kichaa ili mchonge midomo
Mwl Nyerere sitaki kumzungumzia wale wanaomsifia ni wanafiki miaka 30 katawala Tanzania ilipata nini zaidi ya mateso
SSH katoa Uhuru wa kujieleza ndiyo huu sasa [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hatari yake ndio kama hii, wanashindwa kusimamia maslahi ya nchi.

Mtu anakulipa unapata wapi nguvu za kumkaripia.
Kwani wafanyabiashara siyo wananchi? Hawawezi kuwa wazalendo kwa nchi yao na Serikali yao? Au wazalendo ni wanyonge tuu? Mbona JPM alikuwa mwanasiasa mfanyabiashara lakini alisimamia baadhi ya mambo kwa uzalendo mkubwa? Alikuwa na mahoteli, mbuga yake binafsi ya wanyama, Mayanga construction etc etc
 
Ni kanuni mafuta hata ingekua kushuka haitajalisha hayo mafuta wamenunua kwa bei gani yatatakiwa kushuka hiyo ni kanuni ya biashara. Gharama za Rais hazijagharamiwa na wafanyabiashara wa Tanzania ile ni biashara kubwa Royal Tour win win Tanzania haina hati miliki ya hiyo filamu lakini inatangazwa kwa gharama ya mtayarishaji ambaye atapata pesa nyingi na Tanzania itapata watalii na wawekezaji wengi shida iko wapi?
Shida ni kila jambo likipangwa na SSH ni kupinga tu mngeambiwa gharama za kutengeneza filamu ni Tsh 10bn mngekubali si ndiyo mngekula pilipili kichaa ili mchonge midomo
Mwl Nyerere sitaki kumzungumzia wale wanaomsifia ni wanafiki miaka 30 katawala Tanzania ilipata nini zaidi ya mateso
SSH katoa Uhuru wa kujieleza ndiyo huu sasa [emoji16][emoji16][emoji16]
Wakati wanaume tukiwa tunajadili mada kama hizi zenye maslahi mapana ya nchi yetu, uwe ujanitajidi kukaa pembeni ukatuachia wanaume tujadili.

Wewe sasa ni wakati ulitakiwa kuandaa nguo za watoto kesho za shule na uendelee kujadiliana na dada wa kazi tamthilia huku ukijiandaa kumsubiri mume wako arudi kuja kukupiga miti.

Hizi mada huziwezi mama angu
 
Kwani wafanyabiashara siyo wananchi? Hawawezi kuwa wazalendo kwa nchi yao na Serikali yao? Au wazalendo ni wanyonge tuu? Mbona JPM alikuwa mwanasiasa mfanyabiashara lakini alisimamia baadhi ya mambo kwa uzalendo mkubwa? Alikuwa na mahoteli, mbuga yake binafsi ya wanyama, Mayanga construction etc etc
Muulize
 
Kwani mikataba zilizosainiwa hazitaleta ajira n.k nchini?
 
Hapa tumekwisha, bandugu.
Serikali Corrupt hununuliwa na wenye pesa.
Wanamnunua kuanzia KAMBARE hadi dagaa.
Na hivi ndivyo ilivyotokea. Wenye mali sasa ndo wanaotoa mwongozo kwa KAMBARE.
KAMBARE naye anakuwa hana namna, isipokuwa kufuata maelekezo ya wenye mali bila kujali watu wa kipato cha chini wanaumia kiasi gani.
Lakini Mungu ni mkubwa sana.
 
Guys, we have a long walk to freedom and a true democracy in Tanzania. Our main problem in this country is CCM Government!!!
Mimi nikijua Wafanyibiashara wanaodaiwa kufadhili safari ya Mama na msafara wake ni upande wa ROYAL TOUR ONLY. Lakini maswala ya perdiem, Nauli na effects zingine ni SERIKALI YENYEWE.

Inawexekana Kuna ukweli katika hili. Na kama ni hivo basi lazima BEI YA MAFUTA LAZIMA IPAE ILI JAMAA WARUDISHE PESA ZAO. Na hiyo ndo maana hasa ya SERIKALI KUWEKWA MFUKONI!!
Nilimuona yule jamaa wa makampuni ya kukwapua ya miaka ile akisign mikataba mbele ya hangaya huko marekani. Rostam Aziz the king maker the owner of Kagoda Agriculture company etc is here now in full swing tumekwisha!!
 
Back
Top Bottom