Nchi ambazo huwa zinabana polisi hali ya usalama huwa mbaya sana

Nchi ambazo huwa zinabana polisi hali ya usalama huwa mbaya sana

Uzuzu at its best ndani ya nchi yetu, women's n men's in uniforms wanatakiwa wafanye kazi kwa mujibu wa kisheria, wao sio kuwa wapo juu ya sheria ni HAPANA, elewa mtuhumiwa anapokimbia kutoka crime scene sio tishio tena na police hawaruhusiwi kumpiga risasi, ni wajibu wao kutumia njia zingine za kumkamata.

Namibia [emoji1176], Botswana [emoji1052] na Zambia [emoji1268] police wao wapo super na nchi zipo salama, mgeni unapoendesha gari ukichoka unapark gari kwenye check points za police wa Zambia na kulala!

Botswana unaweza park mbele ya main gate ya jeshi na kulala!je unaweza fanya haya pale Lugalo barracks? In short tumo in police state na mazuzu wanashangilia tu.
Mkuu hivi polic wa zambia unawajua?
 
Wahalifu hawana nafasi kwa Sasa hapa nchini Maana watanzania Tupo bega kwa bega na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama katika kuwaadabisha vibaka wote na makundi yote ya kihalifu kuhakikisha kuwa wananchi wanaishi kwa amani na utulivu bila kuhofia vibaka.

Haiwezekani vibaka wakajitawala katika nchi yetu wakiua kutesa kujeruhi kupora watu Mali zao na kuwaacha watu na virema, lazima wakutane na mkono wa dola, lazima wapitishwe katika njia ya majuto na ngumu.

Lazima walipe gharama ya matendo yao ya kiharamia, Jeshi letu la polisi linaendelea kupambana nao huku sisi wananchi tukiliunga mkono kwa juhudi zake za kupambana na uhalifu.

Ila wale wezi wanaotajwa na CAG kuiba mabilioni ya fedha za umma wana kinga ya wizi wao.
 
Mkuu hivi polic wa zambia unawajua?
Twna hakuna police wababe kama wa wazambia, watu humu wanalopokalopoka tu
Kenya wenyewe wale gsu wakienda kwenye operation ya uhalifu huwa wanamalizaaa tu na kama kuna panya yuko ndani anaambiwa kabisa asitoke
Maana kuna kazi moja tu

Ova
 
Mkuu jaribu kuchunguza sana leo, polisi wamemwagwa huku mitandaoni, wanaanzisha post kila muda kuhalalisha haya mauaji. Hapa jf pekee kuna nyuzi zaidi 5 nazo ziko kuhalalisha haya mauaji ya polisi.
Tindo huwezi deal na jambaz kwa kumbembeleza
Dunia kote wale wahalifu sugu mwisho wao huwa mmbaya
Hata tanzania pia wale majambazi sugu wote mwisho wao huwa ni kuuliwa
Hata huko marekani mnaposema kuna democratic,majambazi sugu huwa eliminated

Ova
 
Tindo huwezi deal na jambaz kwa kumbembeleza
Dunia kote wale wahalifu sugu mwisho wao huwa mmbaya
Hata tanzania pia wale majambazi sugu wote mwisho wao huwa ni kuuliwa
Hata huko marekani mnaposema kuna democratic,majambazi sugu huwa eliminated

Ova

Uko sahihi kabisa, lakini kwa mwenendo wa polisi wetu, huwezi kuwaamini wanapomtuhumu mtu kuwa ni jambazi. Unapokuwa na jeshi linalobambikizia watu makosa, utakuwa unafanya kosa kubwa kuruhusu jeshi la aina hiyo kufanya mauaji.

Huko Marekani mtu akituhumiwa kuwa ni jambazi utakuta ni jambazi kweli. Ila sio kwa hawa polisi wetu wanaoweza kumuua mtu kwa kuwanyima pesa, kisha wakasingizia kuwa ni muhalifu.
 
Uko sahihi kabisa, lakini kwa mwenendo wa polisi wetu, huwezi kuwaamini wanapomtuhumu mtu kuwa ni jambazi. Unapokuwa na jeshi linalobambikizia watu makosa, utakuwa unafanya kosa kubwa kuruhusu jeshi la aina hiyo kufanya mauaji.

Huko Marekani mtu akituhumiwa kuwa ni jambazi utakuta ni jambazi kweli. Ila sio kwa hawa polisi wetu wanaoweza kumuua mtu kwa kuwanyima pesa, kisha wakasingizia kuwa ni muhalifu.

huko marekani ndiko mtu alikandamizwa na goti akipiga kelele anaumia mpaka akakata roho.

kufikiri kila cha wazungu ni bora kukuzidi huu nao ni ugonjwa.
 
Ila wale wezi wanaotajwa na CAG kuiba mabilioni ya fedha za umma wana kinga ya wizi wao.

ndio maana unaambiwa usiibe mali za masikini,wewe unaiba kuku wa mwenzako( ni laana hiyo).

wenzako wanaiba tozo,wananunua migari,watoto wanakwenda feza na ist.

ukiiba kuku huwezi kuwa na hata hela ya kuhonga polisi wala jaji,utapata tabu sana my friend.
 
Wanasema barabara ya kuzimu imesakafiwa kwa nia njema. Watu wanaopinga mauaji yanayofanywa na polisi kwa washukiwa wa uhalifu wana nia njema sana. Na ni kweli kuna polisi waovu na wanatakiwa kudhibitiwa na kushughulikiwa. Lakini hili ni suala la kuangalia kwa makini sana.

Ukishaanza kuwabana polisi kwa kisingizio cha ubinadamu huwa haina kurudi nyuma, utawabana hiki, kitalalamikiwa kile utawabana. Utawabana utawabana. Mwisho utajikuta umewapotezea kabisa uwezo wa kutenda kazi kwa ufanisi. Hapo ndipo nchi zinaingia kwenye uhalifu usiodhibitika. Polisi wataacha kujali kushughulikia uhalifu kwa kuhofia taratibu zinazowabana.

Kumbuka wahalifu wengi hawana habari na haki za binadamu. Wao kuwabana polisi kwa kigezo cha haki za binadamu ni nafasi ya kutenda uhalifu wao vizuri.

Polisi na haki za binadamu ni suala tete, linahitaji umakini mkubwa sana.
Hakuna lolote,, kwani usalama unashikwa na polisi???Polisi wanaweza kuondolewa jeshi likaendelea na kazi.
 
It holds water

Unajua lazima ifike mahali mtu akiona Askari ajue ile ni mamlaka.

Ingawa kufuatilia mienendo yao ni vizuri ila watu wajue polisi wanayo kazi ya ziada ya kuwaweka raia katika mstari hasa hasa raia walioshindikana.
Mwisho wa siku ni vita na uhasama kati ya polisi na raia
 
Uzuzu at its best ndani ya nchi yetu, women's n men's in uniforms wanatakiwa wafanye kazi kwa mujibu wa kisheria, wao sio kuwa wapo juu ya sheria ni HAPANA, elewa mtuhumiwa anapokimbia kutoka crime scene sio tishio tena na police hawaruhusiwi kumpiga risasi, ni wajibu wao kutumia njia zingine za kumkamata.

Namibia [emoji1176], Botswana [emoji1052] na Zambia [emoji1268] police wao wapo super na nchi zipo salama, mgeni unapoendesha gari ukichoka unapark gari kwenye check points za police wa Zambia na kulala!

Botswana unaweza park mbele ya main gate ya jeshi na kulala!je unaweza fanya haya pale Lugalo barracks? In short tumo in police state na mazuzu wanashangilia tu.
Polisi yupi atakubali upark nje ya kituo chake? Wa tz? Ili umchinje kama mkuranga?
Hata hapa zamani walikuwa friendly kidogo, tangu vituo vianze kuvamiwa ukienda usiku unahojiwa kwanza tokea mbali kabla huhaingia kituoni

Hizo nchi ulizotaja subiri waanze kukabiliwa na mashambulizi kama utawasifia tena
 
Mkuu jaribu kuchunguza sana leo, polisi wamemwagwa huku mitandaoni, wanaanzisha post kila muda kuhalalisha haya mauaji. Hapa jf pekee kuna nyuzi zaidi 5 nazo ziko kuhalalisha haya mauaji ya polisi.
Duh mpaka unajua idadi ya nyuzi?
 
ndio maana unaambiwa usiibe mali za masikini,wewe unaiba kuku wa mwenzako( ni laana hiyo).

wenzako wanaiba tozo,wananunua migari,watoto wanakwenda feza na ist.

ukiiba kuku huwezi kuwa na hata hela ya kuhonga polisi wala jaji,utapata tabu sana my friend.
Una majibu mazuri sana
 
Wahalifu hawana nafasi kwa Sasa hapa nchini Maana watanzania Tupo bega kwa bega na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama katika kuwaadabisha vibaka wote na makundi yote ya kihalifu kuhakikisha kuwa wananchi wanaishi kwa amani na utulivu bila kuhofia vibaka.

Haiwezekani vibaka wakajitawala katika nchi yetu wakiua kutesa kujeruhi kupora watu Mali zao na kuwaacha watu na virema, lazima wakutane na mkono wa dola, lazima wapitishwe katika njia ya majuto na ngumu.

Lazima walipe gharama ya matendo yao ya kiharamia, Jeshi letu la polisi linaendelea kupambana nao huku sisi wananchi tukiliunga mkono kwa juhudi zake za kupambana na uhalifu.
hiyo virema badala ya vilema nikajua hili ni likurya kama kawaida yao kuuwa wala sio tatizo..
 
huko marekani ndiko mtu alikandamizwa na goti akipiga kelele anaumia mpaka akakata roho.

kufikiri kila cha wazungu ni bora kukuzidi huu nao ni ugonjwa.

Hatua kali dhidi ya polisi yule zilichukuliwa. Ama hukuona?
 
ndio maana unaambiwa usiibe mali za masikini,wewe unaiba kuku wa mwenzako( ni laana hiyo).

wenzako wanaiba tozo,wananunua migari,watoto wanakwenda feza na ist.

ukiiba kuku huwezi kuwa na hata hela ya kuhonga polisi wala jaji,utapata tabu sana my friend.

Umeongea utoto gani dogo?!
 
Kwanza hii operation ni cha mtoto
Bado
Watu tushaona operation kali zinafanyika za police wakiwa na wanajeshi ku deal na wahalifu

Ova
 
Back
Top Bottom