ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Kenge weweHatutaki watu wanaochezea amani na uhuru wetu.
Mliandamana kwa amani mkapewa ulinzi.
Mkaanza kupanda mabega na slogan za kihaini ndio wananchi wakawashtukia kwamba lengo lenu ni madaraka na maslahi tu.
Mngengoja uchaguzi muanze slogan zenu.
Mlipokuwa na lengo zuri mliandamana bila tatizo.
Kenge mama yako kwani sina uhakika baba yako ni nani.Kenge wewe
Raia akileta fujo na kuhatarisha amani inabidi nguvu itumike kurejesha amani na utulivu.Kuna tatizo tu la uelewa nchi hii na zingine zinazoendelea, Polisi hatakiwi kupiga raia hii mbona iko wazi.
Polisi hawakupelekwa course kwaajili ya kupiga raia. Kukamata sio sawasawa na kupiga. Primarily kazi ya polisi ni kufanya nini? Kupiga?
Wanaosupport ni either wajinga sana, au wenye maslahi yao, au wenye ndugu na jamaa polisi.
Utaolewa kama hutaachq uboya na uzwazwaKenge mama yako kwani sina uhakika baba yako ni nani.
Sawa polisi la 7 B.Raia akileta fujo na kuhatarisha amani inabidi nguvu itumike kurejesha amani na utulivu.
Ni vizuri zaidi virungu vikaendelea kutumika kikamilifu, katika kuwadhibiti na kuwadhoofisha wahalifu makaidi na jeuri, waliojizatiti kuleta fujo na kuvuruga amani na utulivu wa wananchi maeneo malimbali nchini 🐒Bongo ina maajabu yake.
Sijwahi kuona nchi yoyote duniani baadhi ya raia wake wanashadadia au wanafurahia police kupiga, kunyanyasa, kutaabisha au kusumbua raia wake wengine katika karne hii.
Hii ni ukiacha mataifa kama Marekani au Africa Kusini katika enzi zao za ubaguzi wa rangi.
Wewe Profesa ingiza kichwa barabarani utapata jibu au endelea na kuwa keyboard warrior. Hiyo ndio saizi yako.Sawa polisi la 7 B.
Kaolewa mama yako au wewe mtoto wa haramu?Utaolewa kama hutaachq uboya na uzwazwa
Umepaniki bure tu, Mimi siandamani sababu nina mengi ya kufanya, my concern is polisi hatakiwi kupiga raia ambaye hana hata jiwe.Wewe Profesa ingiza kichwa barabarani utapata jibu au endelea na kuwa keyboard warrior. Hiyo ndio saizi yako.
Hakuna nchi kama hiyo.Bongo ina maajabu yake.
Sijwahi kuona nchi yoyote duniani baadhi ya raia wake wanashadadia au wanafurahia police kupiga, kunyanyasa, kutaabisha au kusumbua raia wake wengine katika karne hii.
Hii ni ukiacha mataifa kama Marekani au Africa Kusini katika enzi zao za ubaguzi wa rangi.
Kwani lazima wote muandamane kwa jambo moja?? Kila mtu si anaandamana kwa kile anachoona ni sahihi kwake, wewe kama unaona haikuhusu au haijakugusa achana nao tu, kuna haja ya kuhamasisha ukatili dhidi yao?Tunatakiwa tuandamane kupinga kodi kandamizi, ukosefu wa ajira,gharama za maisha kuwa juu ila sio kuandamana kisha mwanachama wa chama flani amekatwa namwengine kufa tena tunaandamana tukiwa na bendera ya chama na sare asa ayo ni maandamano ya chama au ya nchi!!! Na ndo maana baadhi ya watu wanafurahia polisi wakitoa kochapo
At least una akili ya kuendea chooni.Uchochezi sio lazima ubebe jiwe.Rwanda walianza hivi hivi kauli za uchochezi na walipozinduka it was too late.Umepaniki bure tu, Mimi siandamani sababu nina mengi ya kufanya, my concern is polisi hatakiwi kupiga raia ambaye hana hata jiwe.
Kuandamana mmeandamana ninyi toka siku 4 nyuma.
Upolosi ni kazi ya wasio na akili…. roughly nimemnukuu Simbachawene.At least una akili ya kuendea chooni.Uchochezi sio lazima ubebe jiwe.Rwanda walianza hivi hivi kauli za uchochezi na walipozinduka it was too late.
Visababishi vya kuleta vurugu huanza kwa kauli matendo hufuata.Kwa hiyo kutokubeba mawe sio kisingizio cha kutohamasisha vurugu.Najua na uprofesa wako umeelewa.
Ndio maana nilitoa tahadhari kwamba nadhani una akili hata ya kuendea chooni.Upolosi ni kazi ya wasio na akili…. roughly nimemnukuu Simbachawene.
Adhabu ya uchochezi ni kupigwa virungu?
Tunawashukuru kwa kuwasaidia waTz kuandamana. Thank you for your service, Sir!
kuzimu labdaBongo ina maajabu yake.
Sijwahi kuona nchi yoyote duniani baadhi ya raia wake wanashadadia au wanafurahia police kupiga, kunyanyasa, kutaabisha au kusumbua raia wake wengine katika karne hii.
Hii ni ukiacha mataifa kama Marekani au Africa Kusini katika enzi zao za ubaguzi wa rangi.
ni bongo tu na wapigwe tuu sanaaa ili siku nyingine wasirudie kuandamana wanatafuta nini?Bongo ina maajabu yake.
Sijwahi kuona nchi yoyote duniani baadhi ya raia wake wanashadadia au wanafurahia police kupiga, kunyanyasa, kutaabisha au kusumbua raia wake wengine katika karne hii.
Hii ni ukiacha mataifa kama Marekani au Africa Kusini katika enzi zao za ubaguzi wa rangi.
Watu wameitisha maandamano na wameomba kibali polisi na wameomba polisi kuwalinda, bado tu walikuwa na lengo la kuleta uchochezi. Uchochezi ni kauli ya kisiasa acha kulitumia ndivyo sivyo.Ndio maana nilitoa tahadhari kwamba nadhani una akili hata ya kuendea chooni.
Kuzuia maandamano yanayolenga kuleta uchochezi ndio lengo.Na hili limefanikiwa.Viongozi wa Chadema na wanachama wao 14 wanaisadia Polisi kwa kujaribu kuandamana.