Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #21
Hao 10% wameifanyia nini tz?
Hao 90% ndio wamewasomesha hao wenye degree wakitegemea watapata matokeo chanya.
Hao 10% ndio wapo kila kona kuanzia ngazi za maamzi mpaka kwenye mashirika ya umma ambayo kila siku ya tangaza hasara.
Tupe matokeo ya elimu yao imelisaidia nini taifa
Kwani watu wakiwa na hizo digirii ruksa kuvuta banghi?!
akil kubwa....
wenye degree watapoteana sana humu
utackia utafit umefanyia wap? tupe sample...
Umezunguka zunguka mno na hiki 'kimada' chako aisee, hadi unaboa! Nimesoma hiyo aya ya kwanza, nikashindwa kuendelea mbele; kwa sababu sioni mantiki ya hoja yako.
Ukitaka kueleza habari yako ya namna hii ielekeze kwenye uhusika wa CCM na kuharibu taratibu zote za kiutawala ambazo zingeweza kuleta maendeleo Tanzania.
Kama unaona elimu (ikiwa ni pamoja na hizo digrii unazozielezea hapa) kuwa hazisaidii wanaozipata kugeuza hali zao za kimaisha na kwa nchi kwa ujumla, itakulazimu urudi kule kule kwenye CCM na uhusika wake kwenye hilo.
Usiparamie tu kunijibu, naomba ukae chini utafakari vizuri haya niliyoandika hapa, na kama huridhiki, basi njoo tujadili kiungwana.
Mkuu'ROBERT HERIEL', umenielewa?
Degree imekuwa Expired ha ha ha huu ni utani wa nGumi
Unashangaza kweli kwaiyo unakubaliana na ccm kuwa tuna elimu bora,Umezunguka zunguka mno na hiki 'kimada' chako aisee, hadi unaboa! Nimesoma hiyo aya ya kwanza, nikashindwa kuendelea mbele; kwa sababu sioni mantiki ya hoja yako.
Ukitaka kueleza habari yako ya namna hii ielekeze kwenye uhusika wa CCM na kuharibu taratibu zote za kiutawala ambazo zingeweza kuleta maendeleo Tanzania.
Kama unaona elimu (ikiwa ni pamoja na hizo digrii unazozielezea hapa) kuwa hazisaidii wanaozipata kugeuza hali zao za kimaisha na kwa nchi kwa ujumla, itakulazimu urudi kule kule kwenye CCM na uhusika wake kwenye hilo.
Usiparamie tu kunijibu, naomba ukae chini utafakari vizuri haya niliyoandika hapa, na kama huridhiki, basi njoo tujadili kiungwana.
Mkuu'ROBERT HERIEL', umenielewa?
Utafiti hupingwa kwa utafiti
Upumbavu mtupu unaiponda degree wakati walionayo hawafiki hata 10% ya jamii ya tz (mil. 60) alafu unawalaumu
Hao 90% wasio na degree wameleta maendeleo gani?
Unawapa sifa wasio na degree na ndo wengi tz tuoneshe mchango wao kwenye maendeleo.
Hakuna watu wajinga kama hawa wanaojiita wasomi.akil kubwa....
wenye degree watapoteana sana humu
utackia utafit umefanyia wap? tupe sample...
Sasa kama wasio na degree na ambao ni wengi wanamaendeleo yasiolezeka sasa mbona unasema nchi haiwezi kuendelea? Si tayari ishaendelea tayari kwa hisani ya wasio na degree?πππ
Twende polepole Mkuu Acha kupaniki.
Maendeleo ya wasio na degree kwenye nchi hii hayaelezeki Mkuu.
Au degree yako imekupofusha?
EEh bwana, hebu nionyeshe ninapokubaliana na ccm kuwa tuna elimu bora?Unashangaza kweli kwaiyo unakubaliana na ccm kuwa tuna elimu bora,
wakati huo huo unadai kuwa unatangaza matatizo yote yamesababishwa na ccm.
Kwanini sasa hizo degree bora kabisa mlizonazo zimeshindwa kuyaondoa hayo matatizo yaliyoletwa na ccm?
Una maana gani, mbona hueleweki. "Je kama CCM mi mradi?"Je Kama CCM mi mradi?
Una maana gani, mbona hueleweki. "Je kama CCM mi mradi?"
Kijana huwa nakuelewa sana mada zako.
Wewe mwenyewe utakuwa hujui maana ya utafitiKama degree yako inahitaji utafit kujua kama elimu yetu imefeli bas kuanzia kwako tunaprove imefeli.
Sasa kama wasio na degree na ambao ni wengi wanamaendeleo yasiolezeka sasa mbona unasema nchi haiwezi kuendelea? Si tayari ishaendelea tayari kwa hisani ya wasio na degree?
Wewe mwenyewe utakuwa hujui maana ya utafiti