Nchi hii hata watu wote wawe na Degree moja, haiwezi kuendelea

Robert na. Ndiyo wale wanakimbiza moto nchi nzima Kwa Gharama kubwa huku wakishona mpaka sare za moto


Unanunua Ndege wakati watu hawana maji wala umeme.

Ungeweka kila nyumba iwe na maji na umeme alafu kila mwezi watu watalipia Huduma hizo kulingana na matumizi unafikiri ungekusanya Kodi kiasi gani?

Degree zinafundisha watu wawe Wabinafsi wapige 10 percent wajaze matumbo yao
 
Hiyo ni argument ya kitoto sana,
Miaka mitatu ya kusoma nje ndio imfanye mtu awe na elimu?
Mtanzania definition ya elimu anapewa akiwa mtoto ni kuwa na maisha mazuri basi huko ulaya
wanaenda kutafata maisha mazuri sio elimu wangeenda kutafata elimu wangerudi wameelimika.
 
Hivi shule Kama IST hapa nchini wanatumia mitaala gani? Watu weusi hawasomi huko? Output yao katika nchi Ni ipi?

Usikurupuke, mtu mweusi ana matatizo...
 
Upo sahihi 100%

Eliminate yetu imeshindwa kabisa kusaidia Taifa hili. Hii leo Maprof huko vyuoni na kwenye research institutions wameshindwa kulisaidia taifa na badala yake 'wanajikomba' kwa wanasiasa kwaajili ya teuzi.

Hadi tutakapoacha kuamini ktk teuzi ndo tuishi, ndo utakuwa manzoni wa taifa letu kuinuka.

Wasomi wetu wanatufelisha big time
 
Hivi shule Kama IST hapa nchini wanatumia mitaala gani? Watu weusi hawasomi huko? Output yao katika nchi Ni ipi?

Usikurupuke, mtu mweusi ana matatizo...


🤣🤣🤣🤣

Ati mtu mweusi anamatatizo.

Ni kweli mweusi anamatatizo Kwa sababu anataka awaze Kama mtu mweupe, wakati yeye ni mweusi, anataka kufanya Kama mweupe wakati yeye ni mweusi.

Elimu haitamsaidia
 
Haya katika nchi za wazungu kuna watu weusi wengi wamepata Elimu kwa mitaala ya kule, nioneshe ni vitu gani vya kuonekana wamefanya katika jamii?

Akina Steve Jobs wanaweza kuanzisha kampuni Kama APPL kwenye Garage ya nyumbani tena hana Elimu ya Uhandisi, lakini mtu mweusi yake Ni Majungu, Uchawi, Uvivu, what a wasted race...!
 


Mimi nawaoneaga huruma tuu, maana wengi hata hawaelewi elimu waliyonayo imelisaidiaje taifa, wanafikiri kuandika andika makaratasi ndio elimu hiyo
 
Hivi shule Kama IST hapa nchini wanatumia mitaala gani? Watu weusi hawasomi huko? Output yao katika nchi Ni ipi?

Usikurupuke, mtu mweusi ana matatizo...
Una draw conclusion based on generaliztion reasoning.
Tupe fact ya hicho unacho kisema utuambie na watu weusi walio ifanyia makubwa dunia wali-deviate vipi hiyo fact
kama ubongo wa muafrika unadefect.
Hata wakisomea wapi kama watoto mnawepeleka shule mkiwambia huko ndio watapata maisha
bora badala ya elimu focus yao itakuwa ni pesa tu.
 
Mi nikimuangalia dr Bashir na polepole tu, wanatosha kunifanya nikubaliane na wewe!
 
Huyo steve jobs umewahi soma kitabu chake chochote?
Au unaokoteza habari yule kaenda chuo, na baada ya kuacha chuo bado aliendelea kuiingia
class kusoma vitu alivyokuwa na mahaba navyo katika chuo hicho bora ulimwenguni.
Msingi mkuu wa elimu sio darasa ndugu yule alikuwa anajua maana ya elimu.
 
Wewe acha visingizio, Mtu mweusi ana matatizo full stop...

1.Mbinafsi na ukiwa mbinafsi naondoa asilimia 30% kabla hujawa mchawi.

Angalia Viongozi wako, hakuna anayewaza kuhusu vitukuu vya vitukuu vyetu vitaishije hapa, kila mtu anawaza leo, hakuna awazaye ya keshokutwa!

Hivi hata uongozi tu Ni wa kuwa na mitaala mingine?

Na akili za Viongozi wetu ndio akili zetu maana wao Ni taswira zetu...

Mtu mweusi bure kabisa...
 
hao kina Karl max na Enstein bila shaka hujui hata walikuwa weusi.
 
Kila siku watawala wanawaza kufanya yale yanawapa umaarufu wa muda mfupi ili wapate kura za wananzengo huku wakikipa kisogo kilimo chetu, sekta ambayo inaweza kutoa ajira nyingi na wana wa taifa hili kupata utajiri, kushiba, kuwa na akili timamu na kudhibiti magonjwa kwa kiasi kikubwa. Ardhi tunayo ya kutosha na yenye rutuba miongoni mwa nchi zilizo kusini mwa jangwa la sahara. Cha ajabu watawala hawataki kabisa kuliona hili na wakilifanya ni kwa hadaa tu ili wananzengo waendelee kuwa maskini ombaomba na kuburuzwa ktk chaguzi.

Mambo ni mengi ....
 
We jamaa Steve Jobs namfahamu nje ndani ebu tumuache, ebu fuatilia kampuni kama Toyota ama Nissan zilianzaje uje unambie...

Aisee ukiwa Mbinafsi=Mchawi huwezi kuwa na kiu ya uvumbuzi ambao ndo msingi wa maendeleo.
 
Huko ulaya hayo mandeleo hajatokana na ngozi yao,
ni elimu tu.
Viongozi tulionao ni matokea ya elimu mbovu tuliyonayo na ndio wanaozalishwa najamii yetu.
 
We jamaa Steve Jobs namfahamu nje ndani ebu tumuache, ebu fuatilia kampuni kama Toyota ama Nissan zilianzaje uje unambie...

Aisee ukiwa Mbinafsi=Mchawi huwezi kuwa na kiu ya uvumbuzi ambao ndo msingi wa maendeleo.
Hahaha unamfahamu nje ndani?
Umesoma kitabu gani hicho kimekuaminisha hayo?
Huyo nimesoma vitabu vyake vingi kumhusu na bado siwezi kujiaminisha namjua huyo alikuwa ni true seeke wa eduction.
Huo uchawi ulaya kunahadi vyuo vinaufundisha sijui unaongelea uchawi upi?
Kama ni uchawi wewe ni mchawi namba moja unaleta imani zako ndio unataka iwe kweli
Tuambie ubongo wa mtu mweusi unauhusiano gani na uchawi na roho mbaya sio kuleta porojo.
kwa sababu najua hivyo vyote ni matokeo ya ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…