Nchi ilipo sasa: Mwanajeshi anakuwa Traffic Police, Taasisi zinajipangia faini zao bila utaratibu

Nchi ilipo sasa: Mwanajeshi anakuwa Traffic Police, Taasisi zinajipangia faini zao bila utaratibu

Hawa watu tunaishi nao, huyo jamaa anaonekana kwenye video na jina limeishapatikana na mahali anapoishi, sasa kelele za nini?
 
Mama tunaomba litizame hili si kil chombo kinaweza ingilia mhimili mwingine na mtu anaapataje mamlaka ya kumkamata raia na kumtesa kisa tu yeye ni Mwanajeshi?

Na taasisi kama hii ya Maegesho how come service fee 500 halafu faini 10,000 ? Sasa mambo yanavyokwenda ndio kulee enzi zile "Unajua mimi ni nani?" Nakwambia this time tutatoana utumbo barabarani!
Akisikika siku moja akisema "iko siku mtanikumbuka, na mtanikumbuka kwa mema, ....... Nimejitoa sadaka maisha yangu ili kuwasaidia Watanzania.

YAMETIMIA.
 
Mama tunaomba litizame hili si kil chombo kinaweza ingilia mhimili mwingine na mtu anaapataje mamlaka ya kumkamata raia na kumtesa kisa tu yeye ni Mwanajeshi?

Na taasisi kama hii ya Maegesho how come service fee 500 halafu faini 10,000 ? Sasa mambo yanavyokwenda ndio kulee enzi zile "Unajua mimi ni nani?" Nakwambia this time tutatoana utumbo barabarani!
Mama hajali, yuko bize kudeploy mapolisi mitaani kusaka watu wanaonunua madada poa na kuchapa viboko watu wanaokula mchana.
 
Mama tunaomba litizame hili si kil chombo kinaweza ingilia mhimili mwingine na mtu anaapataje mamlaka ya kumkamata raia na kumtesa kisa tu yeye ni Mwanajeshi?

Na taasisi kama hii ya Maegesho how come service fee 500 halafu faini 10,000 ? Sasa mambo yanavyokwenda ndio kulee enzi zile "Unajua mimi ni nani?" Nakwambia this time tutatoana utumbo barabarani!
Sasa wewe jamaa umeandika nini? Kunywa maji afu ukitulia andika vizuri ueleweke sio kukurupuka kama Chadomo.
 
Unafaham kuwa uhalifu mwingi ulifanywa na wabaya wake ili kumfanya aonekane mhalifu?
Kama ni hivyo kwanini hakukemea wala kuunda tume kuchunguza uhalifu dhidi ya ubinadamu uliofanyika katika utawala wake?
 
Might makes right

Siku zote mwenye nguvu, mwenye silaha lazima umsikilize na umuheshimu. Ukileta ujuaji na ubishi, utaipa matatizo tuu familia yako.
Kauli ya kinyonge sana hii Mkuu.
Kisa amebeba silaha nijinyenyekeze kwake ilhali ananionea?

Abadani..! Niue tu aisee
 
Wapo wapuuzi watakaodai awamu ya tano hayakuwepo haya kumbe hao wajinga ndio walinyanyasa na kudhuru watu wengi zaidi.
 
Back
Top Bottom