Nchi inapaswa kujua Lissu alikuwa anawasiliana na nani na maudhui ya mawasiliano yalikuwa yapi

Nchi inapaswa kujua Lissu alikuwa anawasiliana na nani na maudhui ya mawasiliano yalikuwa yapi

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.

Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.

Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.

Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
 
Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.

Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.

Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.

Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.

..inabidi waliomdukua na waliompiga risasi wajulikane halafu wao ndio wahalalishe shambulizi lao dhidi ya Tundu Lissu.
 
Mkuu kwani hizo taarifa ndizo zilizompiga risasi? Hivi hujui na siyo siri kuwa taarifa zako serikali inazo au wakizitaka watazipata- kwenye simu zenu hizo hakuna siri; ndiyo maana wenye akili wote wala hawazitumii
Si za siri man. Kuna utaratibu wa kupata taarifa za mteja, nayo inahitaji kibali cha mahakama. Otherwise ikidhibitikq tigo walifanya hayo, basi hiyo ni mkataba between mteja na tigo ulivunjwa na tigo wenyewe, means washtakiwe.

Sheria zipo wazi kabisa, no corners
 
Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.

Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.

Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.

Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.

Haki ya privacy haiondolewi na aina yoyote ya maudhui, uvccm acha kujiaibisha hapa, hakuna mtu wala mamlaka yenye haki ya kuingilia privacy ya mtu yeyote, periad
 
Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.

Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.

Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.

Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
HATA AKIFUNGUA KESI ATAANGUKIA PUA KAMA KABENDERAQ AMUULIZE MWENZIE KAANGUKIA PUA
 
Tazama wenye akili wanavyofanya, hata kama ni muhalifu kuna namna za kisheria kupata taarifa sio kwa kudukua!

Utakuwa umesisoma kwa haraka haraka. hebu soma hii aya
Apple said it “produced a wide variety of information associated with the investigation” after the FBI’s initial request on Dec. 6. The company said it provided “gigabytes of information” including “iCloud backups, account information and transactional data for multiple accounts” in response to further requests that month.
 
Ni muendelezo wa kuchafuana tu

..waliodukua wajitokeze.

..waliompiga risasi pia wajitokeze.

..baada ya hapo waeleze sababu za kujaribu kumuua.

..Huenda sababu zao zina uzito na zitakubalika na Watanzania.

..kinyume cha hapo inaonekana kwamba walitaka kumuua Lissu bila sababu.

NB.

..mwaka 1983 serikali ilimuua mwanajeshi anaitwa Capt Tamim. Serikali haikujificha ilieleza kwanini walimuua. Na Watanzania walielewa.
 
Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.

Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.

Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.

Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Huna haki ya kujua Lissu alikuwa anawasiliana nini .

Pipe inaonyesha huelewi key issues ni nini katika kesi hiyo.

Mtu yeyote anapokuwa na simu ni wazi anaitumia hiyo simu kwa mawasiliano mbalimbali kwa nyakati tofauti hivyo hoja hapa ilikuwa Mawasiliano yeliwezesha mahali anapokuwa Lissu kujulikana kila wakati hivyo kuwarahisishia wabaya wake kazi ya kumvizia.
 
Haki ya privacy haiondolewi na aina yoyote ya maudhui, uvccm acha kujiaibisha hapa, hakuna mtu wala mamlaka yenye haki ya kuingilia privacy ya mtu yeyote, periad
We msukule wa Mbowe- national security/ interest supersedes all other interest.
Even today, human rights concerns continue to be subordinate to national security issues.Possibly the most obvious explanations of current policy are the September 11 terrorist attacks and the new American perception of vulnerability. If Americans believe they are under threat and human rights are viewed in competition with national security, it is no surprise that protecting the homeland will trump human rights promotion. Despite the growing role of the human rights movement, the critical element in “determining American foreign policy is what assets—bases, intelligence and diplomatic leverage—it can bring to bear against Al Qaeda,” Iraq, and other states seen as threats to the United States.
 
Huna haki ya kujua Lissu alikuwa anawasiliana nini .

Pipe inaonyesha huelewi key issues ni nini katika kesi hiyo.

Mtu yeyote anapokuwa na simu ni wazi anaitumia hiyo simu kwa mawasiliano mbalimbali kwa nyakati tofauti hivyo hoja hapa ilikuwa Mawasiliano yeliwezesha mahali anapokuwa Lissu kujulikana kila wakati hivyo kuwarahisishia wabaya wake kazi ya kumvizia.
Even today, human rights concerns continue to be subordinate to national security issues.23 Possibly the most obvious explanations of current policy are the September 11 terrorist attacks and the new American perception of vulnerability. If Americans believe they are under threat and human rights are viewed in competition with national security, it is no surprise that protecting the homeland will trump human rights promotion. Despite the growing role of the human rights movement, the critical element in “determining American foreign policy is what assets—bases, intelligence and diplomatic leverage—it can bring to bear against Al Qaeda,” Iraq, and other states seen as threats to the United States.
 
Back
Top Bottom