Nchi inapaswa kujua Lissu alikuwa anawasiliana na nani na maudhui ya mawasiliano yalikuwa yapi

Nchi inapaswa kujua Lissu alikuwa anawasiliana na nani na maudhui ya mawasiliano yalikuwa yapi

Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.

Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.

Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.

Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Nchi ipaswa kujua ni nani alimpiga risasa 36 tundu lissu

Maccm mna roho mbaya ila mwisho wenu u akaribia
 
..kudukua ni kuchukua mawasiliano ya mtu bila ridhaa yake, na nje ya utaratibu wa KISHERIA.

..huyo X wa Tigo anasema taarifa za Lissu zilipelekwa serikalini bila kufuata utaratibu wa kisheria.
Taarifa za Lissu- zikiwa mikononi mwa Tigo- bado siyo za Lissu bali hizo ni za TIGOila zinamhusu Lissu
 
Mkuu kwani hizo taarifa ndizo zilizompiga risasi? Hivi hujui na siyo siri kuwa taarifa zako serikali inazo au wakizitaka watazipata- kwenye simu zenu hizo hakuna siri; ndiyo maana wenye akili wote wala hawazitumii
Ni kweli lakini kwa kufuata utaratibu na sheria zile zile zilizotungwa na serikali yenyewe kwamba lazima. Serikali kupitia mahakama iombe hizo taarifa kutoka kampuni husika na mhusika ajulishwe kiholela.
 
Hiko kitu hakitokaa kitokee, hawatoweza kujustify hilo zaidi itaonekana gov ndio inahusika which ni doa kubwa

..Nakubaliana na wewe kwamba serikali inaogopa KUTHIBITIKA kwamba ilijaribu kumuua Tundu Lissu.

..Na uoga huo unatokana na ukweli kwamba Lissu hakufanya kosa lolote lile linalohalalisha serikali kumpiga risasi kama mnyama.

..Serikali huo zinauwa ikiwa kuna uhalali wa kufanya hivyo. Na serikali zinazoua zikiwa na uhalali huwa hazifichi kwamba zimefanya hivyo.

NB:

..Mwaka 1983 serikali ilitangaza kwamba imemuua Capt Tamim kwa tuhuma za uhaini, na kukataa kukamatwa na wapelelezi wa serikali.
 
..Na Tigo hawapaswi ku-share taarifa hizo na yeyote yule bila ridhaa ya Lissu, au amri ya MAHAKAMA.
Apple continues to refuse Barr’s request that it help find a way for law enforcement to access encrypted devices with a court order, like the one Apple resisted in 2016 in the case of a shooter’s iPhone in San Bernardino, California. In that case, the point was dropped when the FBI was able to crack into the phone without Apple’s help, but the incident raised questions about the balance between civil liberties and public safety that have yet to be settled.
 
Nasoma komenti za wadau hapa. Kutokana na komenti namba 23 na komenti namba 26, ina maana melo ameshawapa/atawapa serikali taarifa binafsi za wanachama wa jf endapo zitahitajika? Na endapo taarifa za mwanachama wa jf zikawa accessible na serikali, na ikatokea mwanachama amedhurika je , jf itakuwa accountable kisheria?
 
Nasoma komenti za wadau hapa. Kutokana na komenti namba 23 na komenti namba 26, ina maana melo ameshawapa/atawapa serikali taarifa binafsi za wanachama wa jf endapo zitahitajika? Na endapo taarifa za mwanachama wa jf zikawa accessible na serikali, na ikatokea mwanachama amedhurika je , jf itakuwa accountable kisheria?
Apple continues to refuse Barr’s request that it help find a way for law enforcement to access encrypted devices with a court order, like the one Apple resisted in 2016 in the case of a shooter’s iPhone in San Bernardino, California. In that case, the point was dropped when the FBI was able to crack into the phone without Apple’s help, but the incident raised questions about the balance between civil liberties and public safety that have yet to be settled.
 
Hili la kudukua taarifa za watu ipo kila mahali na kila nchi. Miaka kadhaa taarifa ilivuja USA walikuwa wanasikiliza taarifa za viongozi mbalimbali wa nchi karibia zote marafiki zake. Ukiwa high profile figure ni busara kufikiria unafuatiliwa mawasiliano yako na kuchukua tahadhari.
 
Inatakiwa TIGO wajibu hizo tuhuma. Maana Kuna procedure ya kisheria kutoa taarifa za mteja.
Mkuu kuna muktadha usitegemee sana sheria- inakula kwako

Apple continues to refuse Barr’s request that it help find a way for law enforcement to access encrypted devices with a court order, like the one Apple resisted in 2016 in the case of a shooter’s iPhone in San Bernardino, California. In that case, the point was dropped when the FBI was able to crack into the phone without Apple’s help, but the incident raised questions about the balance between civil liberties and public safety that have yet to be settled.
 
Apple continues to refuse Barr’s request that it help find a way for law enforcement to access encrypted devices with a court order, like the one Apple resisted in 2016 in the case of a shooter’s iPhone in San Bernardino, California. In that case, the point was dropped when the FBI was able to crack into the phone without Apple’s help, but the incident raised questions about the balance between civil liberties and public safety that have yet to be settled.

..haruhusiwi kupata taarifa bila COURT ORDER.

..Mahakama inatakiwa iridhike kwamba kuna sababu za msingi za vyombo vya dola kupewa taarifa hizo.
 
Hili la kudukua taarifa za watu ipo kila mahali na kila nchi. Miaka kadhaa taarifa ilivuja USA walikuwa wanasikiliza taarifa za viongozi mbalimbali wa nchi karibia zote marafiki zake. Ukiwa high profile figure ni busara kufikiria unafuatiliwa mawasiliano yako na kuchukua tahadhari.

..USA wanadukua watu wa mataifa mengine.

..hawadukui wanasiasa au raia wa USA.

..USA pia wanaua raia wa nchi nyingine, lakini huwezi kusikia serikali yao imemuua mwanasiasa wa upinzani, au raia wao.

..juzi Trump aliposhambuliwa kuna viongozi wa Secret Service chombo cha serikali kinachohusika na ulinzi wa viongozi wamepoteza kazi zao.

..Hapa Tanzania viongozi wa walinzi wa serikali ktk eneo aliposhambuliwa Tundu Lissu hawakuchukuliwa hatua zozote kwa uzembe uliotokea.
 
..USA wanadukua watu wa mataifa mengine.

..hawadukui wanasiasa au raia wa USA.

..USA pia wanaua raia wa nchi nyingine, lakini huwezi kusikia serikali yao imemuua mwanasiasa wa upinzani, au raia wao.

..juzi Trump aliposhambuliwa kuna viongozi wa Secret Service chombo cha serikali kinachohusika na ulinzi wa viongozi wamepoteza kazi zao.

..Hapa Tanzania viongozi wa walinzi wa serikali ktk eneo aliposhambuliwa Tundu Lissu hawakuchukuliwa hatua zozote kwa uzembe uliotokea.
Mkuu rudi usome ili usimame kwenye ukweli- wanadukua kila mtu huko USA
 
..tuonyeshe ni mwanasiasa gani alidukuliwa na FBI / CIA halafu serikali ikasema kwamba kitendo hicho ni sahihi.
Sijui kwa nini una ubishi wa kijinga- sawa soma hii
The intelligence apparatus collects, analyzes and stores information about millions of (if not all) American citizens, most of whom have not been accused of any wrongdoing. Every state and local law enforcement agency is to feed information to federal authorities to support the work of the FBI.
 
..tuonyeshe ni mwanasiasa gani alidukuliwa na FBI / CIA halafu serikali ikasema kwamba kitendo hicho ni sahihi.
What is domestic surveillance in the US?


DS involves the collection and warehousing of all domestically-generated information streams. The mission of the Domestic Surveillance Directorate is simple: Collect, process, and store U.S. citizen data for the good of the Nation.
 
Back
Top Bottom