Nchi inapaswa kujua Lissu alikuwa anawasiliana na nani na maudhui ya mawasiliano yalikuwa yapi

Nchi inapaswa kujua Lissu alikuwa anawasiliana na nani na maudhui ya mawasiliano yalikuwa yapi

Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.

Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.

Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.

Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Who are you??Wewe inakuhusu Nini??
Mawasiliano ni privacy, na ndio maana wewe unapoongea kwa cm na MUME wako hakuna mtu anapaswa kuingilia mawasiliano yako!!!

ni concern ya kijinga sana.,🤔🤔
 
Who are you??Wewe inakuhusu Nini??
Mawasiliano ni privacy, na ndio maana wewe unapoongea kwa cm na MUME wako hakuna mtu anapaswa kuingilia mawasiliano yako!!!

ni concern ya kijinga sana.,🤔🤔
Who am i? Babako- does that make you sane?
 
We msukule wa Mbowe- national security/ interest supersedes all other interest.
Even today, human rights concerns continue to be subordinate to national security issues.Possibly the most obvious explanations of current policy are the September 11 terrorist attacks and the new American perception of vulnerability. If Americans believe they are under threat and human rights are viewed in competition with national security, it is no surprise that protecting the homeland will trump human rights promotion. Despite the growing role of the human rights movement, the critical element in “determining American foreign policy is what assets—bases, intelligence and diplomatic leverage—it can bring to bear against Al Qaeda,” Iraq, and other states seen as threats to the United States.


Kwa kuwa we msukule basi unajua wengine ni kaka zako pia. Sio kila anayetoa mawazo yake ni msukule wa wanasiasa.

Yani uvccm hapo ndo umejitutumua umeona umetoa hoja ya maaana, halafu irrelevant sasa. Hakuna cha security wala mavi yake inayosurpass privacy, period. Inaonekana hata tafsiri ya uliyoyakopi hujui. Biden mwenyewe rais wa dunia hana haki ya kuingilia privacy hata ya mtoto wa mtogole kule ndanindani! Katoe kamasi kwanza ujielimishe. Msifanye watu wapumbavu kumbe mmeubeba nyie. Ingekuwa cha national security hii JF walipotaka Melo awape info za watu nini kilitokea? Pamoja na vitisho vyote na mabunduki yenu mlipata nini mbulula nyie? Mmempeleka mpaka mahakamani nini mlipata? Hawa sasa ndio watu wanaojua mambo sio unatuletea copy za vijisentensi ambavyo hata tafsiri hujui! Umesikia uvccm? Haya kimbia kaoge kwanza kabla hujarudi kwa wanaume
 
..USA wanadukua watu wa mataifa mengine.

..hawadukui wanasiasa au raia wa USA.

..USA pia wanaua raia wa nchi nyingine, lakini huwezi kusikia serikali yao imemuua mwanasiasa wa upinzani, au raia wao.

..juzi Trump aliposhambuliwa kuna viongozi wa Secret Service chombo cha serikali kinachohusika na ulinzi wa viongozi wamepoteza kazi zao.

..Hapa Tanzania viongozi wa walinzi wa serikali ktk eneo aliposhambuliwa Tundu Lissu hawakuchukuliwa hatua zozote kwa uzembe uliotokea.

USA wanadukua mtu yoyote wanaowaona wako kinyume na maslahi ya USA. Malcolm X, Martin Luther King, Kennedy brothers, Black Panthers wote waliuliwa au kufungwa jela maisha. Kesi hazina majibu hadi kesho sababu serikali ilikuwa inajua wako wapi kila siku. Kuna document ziko wazi about surveillance. Wahusika wote walijua wanafuatiliwana mawasiliano yao yako intercepted.
 
Utakuwa umesisoma kwa haraka haraka. hebu soma hii aya
Apple said it “produced a wide variety of information associated with the investigation” after the FBI’s initial request on Dec. 6. The company said it provided “gigabytes of information” including “iCloud backups, account information and transactional data for multiple accounts” in response to further requests that month.

Umeona hapo wamesema wamedukua info za ntu??? uvccm
 
USA wanadukua mtu yoyote wanaowaona wako kinyume na maslahi ya USA. Malcolm X, Martin Luther King, Kennedy brothers, Black Panthers wote waliuliwa au kufungwa jela maisha. Kesi hazina majibu hadi kesho sababu serikali ilikuwa inajua wako wapi kila siku. Kuna document ziko wazi about surveillance. Wahusika wote walijua wanafuatiliwana mawasiliano yao yako intercepted.

..mambo hayo yalifanyika KINYUME NA SHERIA.

..Rais Richard Nixon alilazimika kujiuzulu kwasababu alidukua makao makuu ya timu ya kampeni ya mpinzani wake.

..Ni bahati mbaya kwamba kuna baadhi yetu mnaamini kwamba serikali ina ruhusa ya kudukua wananchi.
 
What is domestic surveillance in the US?


DS involves the collection and warehousing of all domestically-generated information streams. The mission of the Domestic Surveillance Directorate is simple: Collect, process, and store U.S. citizen data for the good of the Nation.

..hizo data zinahifadhiwa, zinalindwa.

..hazitolewi kihalifu ili kuwezesha matendo ya kigaidi.
 
..tuonyeshe ni mwanasiasa gani alidukuliwa na FBI / CIA halafu serikali ikasema kwamba kitendo hicho ni sahihi.
Halafu USA CIA na FBI walikuwa na taarifa zote kuhusu Malcolm X, Kennedy, Martin Luther, Panthers. Walikuwa wanajua hata girlfriends wa Martin Luther na Kennedy girlfriends wao hadi vinywaji vyao walikuwa wanasikiliza kila siku, kila kitu.

Vifo vyao hadi leo havieleweki. Mfano FBI walijua Kennedy brothers demu wao alikuwa Marylin Monroe, pia alikuwa demu wa Mafia boss. FBI waliwatumia hadi Mafia kutaka kumuua Kennedy, Castro, na ku wali intimidate wapigania uhuru/ haki kama Malcolm, King, President of USA.
 
USA wanadukua mtu yoyote wanaowaona wako kinyume na maslahi ya USA. Malcolm X, Martin Luther King, Kennedy brothers, Black Panthers wote waliuliwa au kufungwa jela maisha. Kesi hazina majibu hadi kesho sababu serikali ilikuwa inajua wako wapi kila siku. Kuna document ziko wazi about surveillance. Wahusika wote walijua wanafuatiliwana mawasiliano yao yako intercepted.

Lete reference uvccm
 
Back
Top Bottom