Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Do you remember nini kilitokea after that? Kuliibuka mgogoto mkubwa ,Uhusiano uliyumba mno between us na ujerumani. Ujerumani walipoteza trust almost wafunge ubalozi wa US kama si EU kuingilia katiWalivyomdukua Angela Markel, vviongozi wote wa ulaya ilikuwa,kisheria.
USA, UK Walianza kumdukua hadi Marcus Garvey back in 1920s. Kuna unafiki fulani.
Haikuwa kisheria, ilikuwa kinyume na sheria na ilifanyika kisiri.Walivyomdukua Angela Markel, vviongozi wote wa ulaya ilikuwa,kisheria.
Ndio uko sawa 100%. Ila unafikiri udukuzi uliisha? Umeongezeka. Ili kuwa big power duniani inabidi uwe na taarifa zote za dunia nzima na viongozi wao wanavyofikiri kila siku, wiki,mwezi mwaka.Do you remember nini kilitokea after that? Kuliibuka mgogoto mkubwa ,Uhusiano uliyumba mno between us na ujerumani. Ujerumani walipoteza trust almost wafunge ubalozi wa US kama si EU kuingilia kati
To date ujerumani hawasmini US kama zamani, ni ni baada ya ed snowden kuvujisha habari hizo
Ilikuwa kinyume na sheria, japokuwa serikali ya mareka i ilimuangushia ed snowden jumba bovu
Ushauri wa kijinga sana. Hiyo habari ya TIGO umeiptoa kwenye biblia?Kaka punguza ku copy online articles ku justify hili. Hiyo spy ware inaitwa pegasus, na inatumika kinyume na sheria katka nchi nyingi ku spy watu ambae serikal ina dhani ni tatizo kwao.
Kisheria ina ruhusiwa? No
Is why hizi allegation zilipoibuka ilikuwa ni tatizo kubw akwa ISO group ya israel, wao wanasema wanauza tu but hawa determine inatumikaje
Sikiliza- tulichosoma kwenye the Guardian ni submission ya wakili siyo uamuzi wa mahakama; subiri upande mwingine waje na hukumu itoke..serikali ya Tanzania ikawasaidie Tigo ktk kesi huko Uingereza kwa kutoa uthibitisho kwamba kulikuwa na ORDER YA MAHAKAMA kumfuatilia.
Ni kwamba, mnajisumbua bure kuwaza, kuandika ama kucomment juu ya jambo hili.Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.
Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.
Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.
Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Sikiliza- tulichosoma kwenye the Guardian ni submission ya wakili siyo uamuzi wa mahakama; subiri upande mwingine waje na hukumu itoke
Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.
Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.
Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.
Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Ujinga ni tatizo kubwa sana Tanzania.Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.
Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.
Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.
Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Umesoma kwenye katiba yao ili patriot act iwe executed ni conditon gani zina takiwa? You think wana excute without condtions?Ushauri wa kijinga sana. Hiyo habari ya TIGO umeiptoa kwenye biblia?
Mkuu- soma the USA patriotic act- this is an act of congress haiseni tofautina hizo article
Udukuzi haukuisha, practicaly super power zote ziko in competition kila mmoja anataka kuwa one step ahead of mwenzie.Ndio uko sawa 100%. Ila unafikiri udukuzi uliisha? Umeongezeka. Ili kuwa big power duniani inabidi uwe na taarifa zote za dunia nzima na viongozi wao wanavyofikiri kila siku, wiki,mwezi mwaka.
ikionekana ilikuwa sawa kumuua tummalizie? any means ya kutoa uhai kiharamia sio haki,..waliodukua wajitokeze.
..waliompiga risasi pia wajitokeze.
..baada ya hapo waeleze sababu za kujaribu kumuua.
..Huenda sababu zao zina uzito na zitakubalika na Watanzania.
..kinyume cha hapo inaonekana kwamba walitaka kumuua Lissu bila sababu.
NB.
..mwaka 1983 serikali ilimuua mwanajeshi anaitwa Capt Tamim. Serikali haikujificha ilieleza kwanini walimuua. Na Watanzania walielewa.
UnaUdukuzi haukuisha, practicaly super power zote ziko in competition kila mmoja anataka kuwa one step ahead of mwenzie.
Tofauti ni kwamba kwenye legal grounds such activities hazitambuliki, na wahusika wakigundulika kuwa involved huwa ina cauee international incident.
Kwa individual anaefanyiwa anawa ku open case against gov na akashinda. Since gov wame break their own rules
Not most likely, super power ni beyond that level . Just dont get caught , ukigundulika hiyo ni major international incidentUna
Unasahau kitu kimoja, ili kuwa super power inabidi ujue kila kitu. Ndugu zako, wenzako mataifa rafiki na upinzani. Lazima uwadukue.