secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Mbona povu jingi au ww ni muingiza chaka!!?Unaposema“kaingizwa mkenge“ unamaanisha nini ? Kwamba hajui kinachoendelea ?
Kwamba hajui hatuna umeme wala maji?
Acheni kudanganya watu, kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa kiende, ulishajiuliza kwa nini Upinzani uko na Samia kwenye kila kitu? Uliona wapi Dunia hii Opposition parties wanakubaliana na Serikali kwa 100% ? Kwa nini sasa wanaitwa Opposition wana oppose nini ?
Jamaa anaandikaga uzi mmoja tu anasepa!!Jamaa anaandikaga uzi mmoja unakuja kuishi miaka kumi
[emoji23][emoji23][emoji23]Alienda bandarini akamtoa yule jamaa kwa kushauriwa na kina kigogo 2014..Alidanganywa na Msoga akaanza kubadili kila aliloacha Mwendazake, wakati Msoga nchi ilimshinda, rais akawa mtu wa kudharaulika, na wahuni wakaiba wanavyotaka.
Washauri wa mama ni kina kigogo 2014mnaposema mama alishauriwa afanye hivi au amteue yule inamaana yeye hana maamuzi yake binafsi? acheni kujifanya wajuaji
Mswahili akisifiwa anaona anapendwa sn na kila mtuTatizo siyo kudanganywa bali kukubali kudanganywa
Nilipokuwa shule nilisoma kitabu kimoja kinaitwa NCHI YA KUSADIKIKA
Nilijitahidi sana kukisoma kile kitabu lakini sikuwahi kukielewa vizur kilikua na maana gani, na nilijitahidi sana kukisoma ili baadae niweze kutumia maudhui yake katika kujibu moja ya swali la mtihani ambalo ningekutana nalo, lakini sikuwahi kukielewa kile kitabu hata siku mona kuwa kilikua kina tafsiri nini??
Niliwahi kusema kuwa baada ya utawala wa awamu ya nne basi nchi ya Tanzania itatawaliwa kidictator na sina imani kama ilitokea au haikutokea
Ila wiki mbili zilizopita nilisema mama yetu ameingizwa mkenge na washauri wake bila yeye kufahamu, na mara nyingi utawala wa nchi yoyote ni mfumo na ndani ya mfumo kuna watii wa kweli na watii wa uongo, japo watii wa uongo kwa sura ndio wanakua wa kwanza kukupamba maneno matamu na kukushauri zaidi kuliko watii wa kweli
Mama aliingizwa mkenge kubadili baadhi ya mawaziri na aliingizwa mkenge na sasa nguvu ya mfumo kwake imelegea na hatimae magenge yameingiza watu wake kwa lengo la baadae bila mama kujua, leo mfumo umeanza kugawanyika bila yeye kufahamu kwanini unagawanyika, kuna wanaomwambia anaipoteza nchi na hatimae nchi itauzwa, kuna wanaomwambia anakopa bila sababu za msingi, kuna wanaoongoza nchi wakiwa nyumban huku yeye hajui
Nilisema mwaka 2024 nitatoa mwelekeo sahihi wa kijacho ndani ya nchi hii
Maana Yake?ukitolewa kwenye system kubali tu
Mwamba KarudiNilipoona ni ww imebidi nisome vizuri huu uzi, japo umetumia lugha ya code. Nimependa hapo uliposema 2024 utatoa mwelekeo. Nashauri uutoe sasa maana huna guarantee na Mungu, ama hiyo 2024 utakuwa umeshaona mwelekeo kisha ndio utembelee humo humo. Fanya kama ule wa Tanzania kutawaliwa kidictator kuanzia 2015, maana ulitabiri miaka mitatu kabla.
Upo Wapi?Kuna watu wana chuki na watu wengine ambao hata wangefanya nini wao wanaponda tu.
Unaposema“kaingizwa mkenge“ unamaanisha nini ? Kwamba hajui kinachoendelea ?
Kwamba hajui hatuna umeme wala maji?
Acheni kudanganya watu, kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa kiende, ulishajiuliza kwa nini Upinzani uko na Samia kwenye kila kitu? Uliona wapi Dunia hii Opposition parties wanakubaliana na Serikali kwa 100% ? Kwa nini sasa wanaitwa Opposition wana oppose nini ?
KumekuchaAisee...
Aise huenda humjui vizuri mtoa mada.Unaposema“kaingizwa mkenge“ unamaanisha nini ? Kwamba hajui kinachoendelea ?
Kwamba hajui hatuna umeme wala maji?
Acheni kudanganya watu, kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa kiende, ulishajiuliza kwa nini Upinzani uko na Samia kwenye kila kitu? Uliona wapi Dunia hii Opposition parties wanakubaliana na Serikali kwa 100% ? Kwa nini sasa wanaitwa Opposition wana oppose nini ?
Ungesubir basi 2024Nilipokuwa shule nilisoma kitabu kimoja kinaitwa NCHI YA KUSADIKIKA
Nilijitahidi sana kukisoma kile kitabu lakini sikuwahi kukielewa vizur kilikua na maana gani, na nilijitahidi sana kukisoma ili baadae niweze kutumia maudhui yake katika kujibu moja ya swali la mtihani ambalo ningekutana nalo, lakini sikuwahi kukielewa kile kitabu hata siku mona kuwa kilikua kina tafsiri nini??
Niliwahi kusema kuwa baada ya utawala wa awamu ya nne basi nchi ya Tanzania itatawaliwa kidictator na sina imani kama ilitokea au haikutokea
Ila wiki mbili zilizopita nilisema mama yetu ameingizwa mkenge na washauri wake bila yeye kufahamu, na mara nyingi utawala wa nchi yoyote ni mfumo na ndani ya mfumo kuna watii wa kweli na watii wa uongo, japo watii wa uongo kwa sura ndio wanakua wa kwanza kukupamba maneno matamu na kukushauri zaidi kuliko watii wa kweli
Mama aliingizwa mkenge kubadili baadhi ya mawaziri na aliingizwa mkenge na sasa nguvu ya mfumo kwake imelegea na hatimae magenge yameingiza watu wake kwa lengo la baadae bila mama kujua, leo mfumo umeanza kugawanyika bila yeye kufahamu kwanini unagawanyika, kuna wanaomwambia anaipoteza nchi na hatimae nchi itauzwa, kuna wanaomwambia anakopa bila sababu za msingi, kuna wanaoongoza nchi wakiwa nyumban huku yeye hajui
Nilisema mwaka 2024 nitatoa mwelekeo sahihi wa kijacho ndani ya nchi hii
Utakuwa humjui MAGAMBA MATATU wewe!!ukitolewa kwenye system kubali tu