Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Ujumbe wake nimeuelewa, Kuna mtu huwa ninadhani ndiye magamba matatu, kwa uandishi wa leo, nimdhaniaye ndiye kumbe siye.hata alipoutoa ule uzi wake, wengi walimshambulia na kuwa hawamuelewi..
ngoja muda ufike na upite, ndio utamwelewa
Hata mm hili nililiona toka zamani.....maana hatuoni kama wakristo wanatuandaa vijana.....juma aweso kakoso ......ni nani sasa mwenye moto kama wa magu?Nimetafakari sana na kuona kweli 2024 mbali,,,subirin hili fukuto likoke moto kwanza then jibu litakuja kabla ya 2024 tena mapema sanaa,,na nitawapa ukweli nini kitakachojili vzur,,
Lakin niwambie ukweli ,,kama mama angeendelea na system ya Magu hiyo ndio ingembeba na hiyo ndio ilikua sahihi kwake,,ameingiza wahuni bila kujua Magufuli alibebwa na upande upi wa kura katika hii nchi,
Kiufupi,,waliombeba Magu ni team Lowasa,,mama kawaondoa asilimia kubwa na ndio walikua na comflict of interest na mzee wa msoga tangu enzi za Kalamagi,Msabaha,Lowasa na hatimae Rostam Aziz,,
Pili mama kapoteza imani kwa kanda ya ziwa nzima bila yeye kujua na hapo ndipo ilikua turufu yake,,hutaweza kuelewa siku zijazo utaelewa,,
Tatu,,system ambayo ingempa nguvu mama ndani ya chama ilikua ni kumuacha Polepole abaki kama msemaji wa chama,,kafanya kosa kubwa kumuweka yule kijana ambae hana ushawishi mkubwa wa kisiasa na haiwez siasa ya fitina,,kama hulioni hilo utajua muda sio mrefu,,,sio kwamba Ndugai hajui anachokifanya,,anajua sana na anajua ni kwann sasa hiv Dodoma inafifuia wakat Magu aliifufua,,
Mwisho nasema,,baada ya mama ambae tunaamin kila atokapo muislamu anakuja mkiristo,,au akitoka mkiristo anakuja muislamu basi baada ya mama muislam anayekuja ni muislam tena,,tena atakua na nguvu kama ya Magu na siku zijazo nitawambia,,ila kwa sasa tuache fukuto lipigane,,na niwambie bado system ya Magu itamsumbua mama tena sanaa maana ameonekana kwenda kinyume na mwenzake,,ila kule mama anakoegemea hawana nia njema nae japo yeye hajui,
100%.Yaani nyie ccm mnabahati upinzani na wananchi wa nchi hii hawana maono...
Huyo unayesema anaongoza nchi akiwa nyumbani ndiye aliyesema nchi itatawaliwa kidikiteta, wewe ulimkariri tu.Nilipokuwa shule nilisoma kitabu kimoja kinaitwa NCHI YA KUSADIKIKA
Nilijitahidi sana kukisoma kile kitabu lakini sikuwahi kukielewa vizur kilikua na maana gani, na nilijitahidi sana kukisoma ili baadae niweze kutumia maudhui yake katika kujibu moja ya swali la mtihani ambalo ningekutana nalo, lakini sikuwahi kukielewa kile kitabu hata siku mona kuwa kilikua kina tafsiri nini??
Niliwahi kusema kuwa baada ya utawala wa awamu ya nne basi nchi ya Tanzania itatawaliwa kidictator na sina imani kama ilitokea au haikutokea
Ila wiki mbili zilizopita nilisema mama yetu ameingizwa mkenge na washauri wake bila yeye kufahamu, na mara nyingi utawala wa nchi yoyote ni mfumo na ndani ya mfumo kuna watii wa kweli na watii wa uongo, japo watii wa uongo kwa sura ndio wanakua wa kwanza kukupamba maneno matamu na kukushauri zaidi kuliko watii wa kweli
Mama aliingizwa mkenge kubadili baadhi ya mawaziri na aliingizwa mkenge na sasa nguvu ya mfumo kwake imelegea na hatimae magenge yameingiza watu wake kwa lengo la baadae bila mama kujua, leo mfumo umeanza kugawanyika bila yeye kufahamu kwanini unagawanyika, kuna wanaomwambia anaipoteza nchi na hatimae nchi itauzwa, kuna wanaomwambia anakopa bila sababu za msingi, kuna wanaoongoza nchi wakiwa nyumban huku yeye hajui
Nilisema mwaka 2024 nitatoa mwelekeo sahihi wa kijacho ndani ya nchi hii
Nadhani utakuwa mabaki yaliyofufuka ya sodoma na gomora.Ni sawa na kile chama kinachoongozwa na yule mzungu baharia amstedam akishirikiana na lile tundu la kisu. Akisema mashoga waachwe wafanye ushenzi wao chama kinatoa tamko la kupinga oparation ya mashoga, akisema mwenyekiti wa chama hicho aendelee kukaa jela ili apate ya kuongea kwa mahabaria wenzake chama kinatoa tamko kuwa mwenyekiti wao asiachiwe na wala usiombwe msamaha wowote kwa yule anaetaka kumuachia, akisema wapambe na wanachama wa chama anachodhamini waingie barabarani kutaka sheria ya ndoa za mashoga basi chama kinaanza kupambana na serikali ili ipitishe haki na sheria za mashoga kufunga ndoa. Hapo sijazungumzia uuzaji wa madawa nk. Yani chama kipo Tanzania lkn muongozaji wa sera za chama yupo Ulaya. So kwa nchi hii ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni.
Mkuu, kuna makosa mengine mengi tu ambayo mama amepotoshwa na hakutumia washauri wake uzuri.Nimetafakari sana na kuona kweli 2024 mbali,,,subirin hili fukuto likoke moto kwanza then jibu litakuja kabla ya 2024 tena mapema sanaa,,na nitawapa ukweli nini kitakachojili vzur,,
Lakin niwambie ukweli ,,kama mama angeendelea na system ya Magu hiyo ndio ingembeba na hiyo ndio ilikua sahihi kwake,,ameingiza wahuni bila kujua Magufuli alibebwa na upande upi wa kura katika hii nchi,
Kiufupi,,waliombeba Magu ni team Lowasa,,mama kawaondoa asilimia kubwa na ndio walikua na comflict of interest na mzee wa msoga tangu enzi za Kalamagi,Msabaha,Lowasa na hatimae Rostam Aziz,,
Pili mama kapoteza imani kwa kanda ya ziwa nzima bila yeye kujua na hapo ndipo ilikua turufu yake,,hutaweza kuelewa siku zijazo utaelewa,,
Tatu,,system ambayo ingempa nguvu mama ndani ya chama ilikua ni kumuacha Polepole abaki kama msemaji wa chama,,kafanya kosa kubwa kumuweka yule kijana ambae hana ushawishi mkubwa wa kisiasa na haiwez siasa ya fitina,,kama hulioni hilo utajua muda sio mrefu,,,sio kwamba Ndugai hajui anachokifanya,,anajua sana na anajua ni kwann sasa hiv Dodoma inafifuia wakat Magu aliifufua,,
Mwisho nasema,,baada ya mama ambae tunaamin kila atokapo muislamu anakuja mkiristo,,au akitoka mkiristo anakuja muislamu basi baada ya mama muislam anayekuja ni muislam tena,,tena atakua na nguvu kama ya Magu na siku zijazo nitawambia,,ila kwa sasa tuache fukuto lipigane,,na niwambie bado system ya Magu itamsumbua mama tena sanaa maana ameonekana kwenda kinyume na mwenzake,,ila kule mama anakoegemea hawana nia njema nae japo yeye hajui,
Nakuona mwezi wa kwanza unavyoutetea ugali!Wewe ni mjinga tu na huna lolote!
Eti Samia ndo kamtoa Polepole! Unajifanya mjuaji kumbe mjinga na huna lolote! Polepole kateuliwa Mbunge na Marehemu sasa unamsingizia Samia ili iweje?
Kwa maandiko yako umeshajionesha kuwa ni mtu uliyejaa ukabila na it’s obvious kama mtu uliyefunikwa na ukabila huwezi kuendana na Samia. Nani kakwambia kuwa Rais wa nchi hii anaamuliwa na mikoa ya kanda ya ziwa? Unajua Tanzania ina watu wangapi? Unajua kwenye mikoa mingine kuna watu wangapi mpuuzi wewe?
Wapi iliandikwa kuwa lazima mama aendane na magufuli? Magufuli ni Mungu? Unataka mama aendelee kuteka watu? Kuua watu? Kutesa watu? Wewe ni mjinga sana
Mwinyi hakwenda sawa na Nyerere, Mkapa hakwenda sawa na Mwinyi, Kikwete hakwenda sawa na Magufuli na Magufuli hakwenda sawa na Kikwete. Unataka Samia aende sawa na Magufuli ili iweje?
Unaongelea timu lowassa ipi iliyokwenda sawa na Magufuli? Magufuli alielewana na Nazir Karamagi? Alielewana na Tanil Somaiya? Alielewana na Sofia Simba?
Kwa kifupi Magufuli mwenyewe hakufaa kuwa Rais, kwa proper vetting hakutakiwa kuwa Rais kwa matendo yake ya kuwawinda Hadi viongozi wa dini Kama Askofu niwemugizi, mwingira na wengineo ndo hakufaaa kabisa na Ndo mana Mungu alifanya yake mapema!
ameandika hotuba ya kuuchamba muhimili wa nchi... Ninalisubiri bunge la kwa hamu... Kwa mara ya kwanza tunaweza tukawa na Serikali isiyo na support bungeni
Na ww unatokea mchambawima ama kibandamaiti!!?ameandika hotuba ya kuuchamba muhimili wa nchi... Ninalisubiri bunge la kwa hamu... Kwa mara ya kwanza tunaweza tukawa na Serikali isiyo na support bungeni
Huyo mtu nimefatilia maandiko yake btn the line , ana Chuki tu na Mama , pia mategemeo yao kwa Mama yamepotea, pia inaonekana ni mtu wa Sukuma Gang aliyekuwa amejifichaWewe ni mjinga tu na huna lolote!
Eti Samia ndo kamtoa Polepole! Unajifanya mjuaji kumbe mjinga na huna lolote! Polepole kateuliwa Mbunge na Marehemu sasa unamsingizia Samia ili iweje?
Kwa maandiko yako umeshajionesha kuwa ni mtu uliyejaa ukabila na it’s obvious kama mtu uliyefunikwa na ukabila huwezi kuendana na Samia. Nani kakwambia kuwa Rais wa nchi hii anaamuliwa na mikoa ya kanda ya ziwa? Unajua Tanzania ina watu wangapi? Unajua kwenye mikoa mingine kuna watu wangapi mpuuzi wewe?
Wapi iliandikwa kuwa lazima mama aendane na magufuli? Magufuli ni Mungu? Unataka mama aendelee kuteka watu? Kuua watu? Kutesa watu? Wewe ni mjinga sana
Mwinyi hakwenda sawa na Nyerere, Mkapa hakwenda sawa na Mwinyi, Kikwete hakwenda sawa na Magufuli na Magufuli hakwenda sawa na Kikwete. Unataka Samia aende sawa na Magufuli ili iweje?
Unaongelea timu lowassa ipi iliyokwenda sawa na Magufuli? Magufuli alielewana na Nazir Karamagi? Alielewana na Tanil Somaiya? Alielewana na Sofia Simba?
Kwa kifupi Magufuli mwenyewe hakufaa kuwa Rais, kwa proper vetting hakutakiwa kuwa Rais kwa matendo yake ya kuwawinda Hadi viongozi wa dini Kama Askofu niwemugizi, mwingira na wengineo ndo hakufaaa kabisa na Ndo mana Mungu alifanya yake mapema!
Huu ni ungo ccm ni wataalamu wawizi wa kura na kupanga Matokea labda tuambie ni mbinu gani mbadala na kura nakama ipo kwani isitumike Leo badala 2025rasmi huu ndo mwisho mwisho wa enzi wa ccm, kama huamini tukutane 2025 panapomajaliwa.
Aweso nikumuangalia kwa jicho la tatu namuona magufuliHata mm hili nililiona toka zamani.....maana hatuoni kama wakristo wanatuandaa vijana.....juma aweso kakoso ......ni nani sasa mwenye moto kama wa magu?
Kwahiyo mnaona sawa tu mzungu na yule aliefungiwa ndan waendelee kuwatetea nyinyi watoto wa kiume muolewe, afu sisi viongozi wa dini tukae kimya?Inaonekana mkuu unapenda sana ushoga, tunajadili mambo ya msingi wewe umekomaa tu na ushoga!
Kwahiyo mnaona sawa tu mzungu na yule aliefungiwa waendelee kuwatetea nyinyi watoto wa kiume muolewe afu sisi viongozi wa dini tukae kimya?Ukiona mtu anapenda sana habari za ushoga hata kama Watu wanajadili kupaa kwa deni la Taifa
Wabongo mnamaujinga yasiyohesabika!Huyo mtu nimefatilia maandiko yake btn the line , ana Chuki tu na Mama , pia mategemeo yao kwa Mama yamepotea, pia inaonekana ni mtu wa Sukuma Gang aliyekuwa amejificha
Just imagine tokea 2012 amejificha kaibuka hivi karibuni baada ya wao kundi lao kuanza kusambaratishwa
Kwahiyo mnaona sawa tu mzungu na yule aliefungiwa waendelee kuwatetea nyinyi watoto wa kiume muolewe afu sisi viongozi wa dini tukae kimya?Nadhani utakuwa mabaki yaliyofufuka ya sodoma na gomora.
AiseeNimetafakari sana na kuona kweli 2024 mbali,,,subirin hili fukuto likoke moto kwanza then jibu litakuja kabla ya 2024 tena mapema sanaa,,na nitawapa ukweli nini kitakachojili vzur,,
Lakin niwambie ukweli ,,kama mama angeendelea na system ya Magu hiyo ndio ingembeba na hiyo ndio ilikua sahihi kwake,,ameingiza wahuni bila kujua Magufuli alibebwa na upande upi wa kura katika hii nchi,
Kiufupi,,waliombeba Magu ni team Lowasa,,mama kawaondoa asilimia kubwa na ndio walikua na comflict of interest na mzee wa msoga tangu enzi za Kalamagi,Msabaha,Lowasa na hatimae Rostam Aziz,,
Pili mama kapoteza imani kwa kanda ya ziwa nzima bila yeye kujua na hapo ndipo ilikua turufu yake,,hutaweza kuelewa siku zijazo utaelewa,,
Tatu,,system ambayo ingempa nguvu mama ndani ya chama ilikua ni kumuacha Polepole abaki kama msemaji wa chama,,kafanya kosa kubwa kumuweka yule kijana ambae hana ushawishi mkubwa wa kisiasa na haiwez siasa ya fitina,,kama hulioni hilo utajua muda sio mrefu,,,sio kwamba Ndugai hajui anachokifanya,,anajua sana na anajua ni kwann sasa hiv Dodoma inafifuia wakat Magu aliifufua,,
Mwisho nasema,,baada ya mama ambae tunaamin kila atokapo muislamu anakuja mkiristo,,au akitoka mkiristo anakuja muislamu basi baada ya mama muislam anayekuja ni muislam tena,,tena atakua na nguvu kama ya Magu na siku zijazo nitawambia,,ila kwa sasa tuache fukuto lipigane,,na niwambie bado system ya Magu itamsumbua mama tena sanaa maana ameonekana kwenda kinyume na mwenzake,,ila kule mama anakoegemea hawana nia njema nae japo yeye hajui,
Ideological yake, dada punguza broken languageSisi wavuja jasho na walala hoi tuna imani mwamba wetu Magu alishaweka misingi, wahuni wote ni suala la mda tu kwisha habari zao, tupo tunawasikilizia tu kuanzia mwaka 2014 ndio mtaijua nguvu ya mwendazake kwamba kumbe pamoja na kwamba amekufa ila idelogical yake bado inaishi kwa wafuasi wake