Nchi inapoongozwa na aliyeko nyumbani, na aliyeko ofisini hajui cha kufanya

Nchi inapoongozwa na aliyeko nyumbani, na aliyeko ofisini hajui cha kufanya

hata alipoutoa ule uzi wake, wengi walimshambulia na kuwa hawamuelewi..

ngoja muda ufike na upite, ndio utamwelewa
Ujumbe wake nimeuelewa, Kuna mtu huwa ninadhani ndiye magamba matatu, kwa uandishi wa leo, nimdhaniaye ndiye kumbe siye.
 
Nimetafakari sana na kuona kweli 2024 mbali,,,subirin hili fukuto likoke moto kwanza then jibu litakuja kabla ya 2024 tena mapema sanaa,,na nitawapa ukweli nini kitakachojili vzur,,

Lakin niwambie ukweli ,,kama mama angeendelea na system ya Magu hiyo ndio ingembeba na hiyo ndio ilikua sahihi kwake,,ameingiza wahuni bila kujua Magufuli alibebwa na upande upi wa kura katika hii nchi,

Kiufupi,,waliombeba Magu ni team Lowasa,,mama kawaondoa asilimia kubwa na ndio walikua na comflict of interest na mzee wa msoga tangu enzi za Kalamagi,Msabaha,Lowasa na hatimae Rostam Aziz,,

Pili mama kapoteza imani kwa kanda ya ziwa nzima bila yeye kujua na hapo ndipo ilikua turufu yake,,hutaweza kuelewa siku zijazo utaelewa,,

Tatu,,system ambayo ingempa nguvu mama ndani ya chama ilikua ni kumuacha Polepole abaki kama msemaji wa chama,,kafanya kosa kubwa kumuweka yule kijana ambae hana ushawishi mkubwa wa kisiasa na haiwez siasa ya fitina,,kama hulioni hilo utajua muda sio mrefu,,,sio kwamba Ndugai hajui anachokifanya,,anajua sana na anajua ni kwann sasa hiv Dodoma inafifuia wakat Magu aliifufua,,

Mwisho nasema,,baada ya mama ambae tunaamin kila atokapo muislamu anakuja mkiristo,,au akitoka mkiristo anakuja muislamu basi baada ya mama muislam anayekuja ni muislam tena,,tena atakua na nguvu kama ya Magu na siku zijazo nitawambia,,ila kwa sasa tuache fukuto lipigane,,na niwambie bado system ya Magu itamsumbua mama tena sanaa maana ameonekana kwenda kinyume na mwenzake,,ila kule mama anakoegemea hawana nia njema nae japo yeye hajui,
Hata mm hili nililiona toka zamani.....maana hatuoni kama wakristo wanatuandaa vijana.....juma aweso kakoso ......ni nani sasa mwenye moto kama wa magu?
 
Nilipokuwa shule nilisoma kitabu kimoja kinaitwa NCHI YA KUSADIKIKA

Nilijitahidi sana kukisoma kile kitabu lakini sikuwahi kukielewa vizur kilikua na maana gani, na nilijitahidi sana kukisoma ili baadae niweze kutumia maudhui yake katika kujibu moja ya swali la mtihani ambalo ningekutana nalo, lakini sikuwahi kukielewa kile kitabu hata siku mona kuwa kilikua kina tafsiri nini??

Niliwahi kusema kuwa baada ya utawala wa awamu ya nne basi nchi ya Tanzania itatawaliwa kidictator na sina imani kama ilitokea au haikutokea

Ila wiki mbili zilizopita nilisema mama yetu ameingizwa mkenge na washauri wake bila yeye kufahamu, na mara nyingi utawala wa nchi yoyote ni mfumo na ndani ya mfumo kuna watii wa kweli na watii wa uongo, japo watii wa uongo kwa sura ndio wanakua wa kwanza kukupamba maneno matamu na kukushauri zaidi kuliko watii wa kweli

Mama aliingizwa mkenge kubadili baadhi ya mawaziri na aliingizwa mkenge na sasa nguvu ya mfumo kwake imelegea na hatimae magenge yameingiza watu wake kwa lengo la baadae bila mama kujua, leo mfumo umeanza kugawanyika bila yeye kufahamu kwanini unagawanyika, kuna wanaomwambia anaipoteza nchi na hatimae nchi itauzwa, kuna wanaomwambia anakopa bila sababu za msingi, kuna wanaoongoza nchi wakiwa nyumban huku yeye hajui

Nilisema mwaka 2024 nitatoa mwelekeo sahihi wa kijacho ndani ya nchi hii
Huyo unayesema anaongoza nchi akiwa nyumbani ndiye aliyesema nchi itatawaliwa kidikiteta, wewe ulimkariri tu.
 
Ni sawa na kile chama kinachoongozwa na yule mzungu baharia amstedam akishirikiana na lile tundu la kisu. Akisema mashoga waachwe wafanye ushenzi wao chama kinatoa tamko la kupinga oparation ya mashoga, akisema mwenyekiti wa chama hicho aendelee kukaa jela ili apate ya kuongea kwa mahabaria wenzake chama kinatoa tamko kuwa mwenyekiti wao asiachiwe na wala usiombwe msamaha wowote kwa yule anaetaka kumuachia, akisema wapambe na wanachama wa chama anachodhamini waingie barabarani kutaka sheria ya ndoa za mashoga basi chama kinaanza kupambana na serikali ili ipitishe haki na sheria za mashoga kufunga ndoa. Hapo sijazungumzia uuzaji wa madawa nk. Yani chama kipo Tanzania lkn muongozaji wa sera za chama yupo Ulaya. So kwa nchi hii ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni.
Nadhani utakuwa mabaki yaliyofufuka ya sodoma na gomora.
 
Nimetafakari sana na kuona kweli 2024 mbali,,,subirin hili fukuto likoke moto kwanza then jibu litakuja kabla ya 2024 tena mapema sanaa,,na nitawapa ukweli nini kitakachojili vzur,,

Lakin niwambie ukweli ,,kama mama angeendelea na system ya Magu hiyo ndio ingembeba na hiyo ndio ilikua sahihi kwake,,ameingiza wahuni bila kujua Magufuli alibebwa na upande upi wa kura katika hii nchi,

Kiufupi,,waliombeba Magu ni team Lowasa,,mama kawaondoa asilimia kubwa na ndio walikua na comflict of interest na mzee wa msoga tangu enzi za Kalamagi,Msabaha,Lowasa na hatimae Rostam Aziz,,

Pili mama kapoteza imani kwa kanda ya ziwa nzima bila yeye kujua na hapo ndipo ilikua turufu yake,,hutaweza kuelewa siku zijazo utaelewa,,

Tatu,,system ambayo ingempa nguvu mama ndani ya chama ilikua ni kumuacha Polepole abaki kama msemaji wa chama,,kafanya kosa kubwa kumuweka yule kijana ambae hana ushawishi mkubwa wa kisiasa na haiwez siasa ya fitina,,kama hulioni hilo utajua muda sio mrefu,,,sio kwamba Ndugai hajui anachokifanya,,anajua sana na anajua ni kwann sasa hiv Dodoma inafifuia wakat Magu aliifufua,,

Mwisho nasema,,baada ya mama ambae tunaamin kila atokapo muislamu anakuja mkiristo,,au akitoka mkiristo anakuja muislamu basi baada ya mama muislam anayekuja ni muislam tena,,tena atakua na nguvu kama ya Magu na siku zijazo nitawambia,,ila kwa sasa tuache fukuto lipigane,,na niwambie bado system ya Magu itamsumbua mama tena sanaa maana ameonekana kwenda kinyume na mwenzake,,ila kule mama anakoegemea hawana nia njema nae japo yeye hajui,
Mkuu, kuna makosa mengine mengi tu ambayo mama amepotoshwa na hakutumia washauri wake uzuri.

Team Msoga si watu wazuri na hawana nia njema na nchi hii na ni hawa ndo walokuwa nyuma ya matukio yote ya kutaka kuwachonganisha JPM na wananchi na nje kwenye foreign policy (sensitive information leaks).

Kosa alilofanya JPM ni kuruhusu serikali yake kunyamazia matukio yale.

Raisi Samia alikuwa VP na aliona uteuzi wake JPM na alifahamu umuhimu wa teuzi zilizofanyika na alifahamu JPM aliteua watu makini kwenye nafasi nyeti Nishati, Madini na Ujenzi.

Team Msoga ikamwahi akavuruga akamtoa Kalemani, Chamuriho lakini mazee wakamwambia kwa Biteko hapana ila pawe na mgawanyo wa majukumu.

Lakini mgawanyo wa majukumu haimaanishi kitalu C kivamiwe.

Sasa Tanesco imeharibiwa na umeme umekuwa shida na kule ujenzi miradi mikubwa inayumba na ilipaswa kumalizwa by December.

JPM alikuwa mjanja pia kwa kuhakikisha miradi yote imefungwa kimkataba na hata nikasema kule mwanzo kwamba ndege zote zilikwishalipiwa ila wengi hawakuelewa.

Hata suala la Mbowe mama amekuwa mislead na bila kung'amua na hadi aja kugundua juzi ni too late.

Ila raisi ajae kama ilivyopangwa ni yule ambae JPM alimtaka awali awe VP wake.

Mzee Mwinyi alisema kwa busara kabisa walofanya yeye na wenzake (BWM na JK) kwa miaka 30 JPM kayafanya kwa miaka michache tu.

Mimi pia nasoma hali inavyokwenda na kuna shida mbele.
 
Wewe ni mjinga tu na huna lolote!

Eti Samia ndo kamtoa Polepole! Unajifanya mjuaji kumbe mjinga na huna lolote! Polepole kateuliwa Mbunge na Marehemu sasa unamsingizia Samia ili iweje?

Kwa maandiko yako umeshajionesha kuwa ni mtu uliyejaa ukabila na it’s obvious kama mtu uliyefunikwa na ukabila huwezi kuendana na Samia. Nani kakwambia kuwa Rais wa nchi hii anaamuliwa na mikoa ya kanda ya ziwa? Unajua Tanzania ina watu wangapi? Unajua kwenye mikoa mingine kuna watu wangapi mpuuzi wewe?

Wapi iliandikwa kuwa lazima mama aendane na magufuli? Magufuli ni Mungu? Unataka mama aendelee kuteka watu? Kuua watu? Kutesa watu? Wewe ni mjinga sana

Mwinyi hakwenda sawa na Nyerere, Mkapa hakwenda sawa na Mwinyi, Kikwete hakwenda sawa na Magufuli na Magufuli hakwenda sawa na Kikwete. Unataka Samia aende sawa na Magufuli ili iweje?

Unaongelea timu lowassa ipi iliyokwenda sawa na Magufuli? Magufuli alielewana na Nazir Karamagi? Alielewana na Tanil Somaiya? Alielewana na Sofia Simba?

Kwa kifupi Magufuli mwenyewe hakufaa kuwa Rais, kwa proper vetting hakutakiwa kuwa Rais kwa matendo yake ya kuwawinda Hadi viongozi wa dini Kama Askofu niwemugizi, mwingira na wengineo ndo hakufaaa kabisa na Ndo mana Mungu alifanya yake mapema!
Nakuona mwezi wa kwanza unavyoutetea ugali!

Wewe ndo mjinga, tunataka miradi ya umeme ikamilike jinga wewe
 
ameandika hotuba ya kuuchamba muhimili wa nchi... Ninalisubiri bunge la kwa hamu... Kwa mara ya kwanza tunaweza tukawa na Serikali isiyo na support bungeni

Haujui hata utakalo. Unaishia kuandika "unasubiri bunge la kwa". Ukweli wakisuguana bila chuki ndiyo maendeleo yanapatikana. Kuliko kudhani watu kuwa wachache ndiyo maamuzi mabovu. Wengi wetu uelewa mdogo zaidi ni ushabiki. Maelezo ya Rais yanajitosheleza isipokuwa kwa empty head.
[/QUOTE]
Na ww unatokea mchambawima ama kibandamaiti!!..?
 
ameandika hotuba ya kuuchamba muhimili wa nchi... Ninalisubiri bunge la kwa hamu... Kwa mara ya kwanza tunaweza tukawa na Serikali isiyo na support bungeni
Na ww unatokea mchambawima ama kibandamaiti!!?
 
Wewe ni mjinga tu na huna lolote!

Eti Samia ndo kamtoa Polepole! Unajifanya mjuaji kumbe mjinga na huna lolote! Polepole kateuliwa Mbunge na Marehemu sasa unamsingizia Samia ili iweje?

Kwa maandiko yako umeshajionesha kuwa ni mtu uliyejaa ukabila na it’s obvious kama mtu uliyefunikwa na ukabila huwezi kuendana na Samia. Nani kakwambia kuwa Rais wa nchi hii anaamuliwa na mikoa ya kanda ya ziwa? Unajua Tanzania ina watu wangapi? Unajua kwenye mikoa mingine kuna watu wangapi mpuuzi wewe?

Wapi iliandikwa kuwa lazima mama aendane na magufuli? Magufuli ni Mungu? Unataka mama aendelee kuteka watu? Kuua watu? Kutesa watu? Wewe ni mjinga sana

Mwinyi hakwenda sawa na Nyerere, Mkapa hakwenda sawa na Mwinyi, Kikwete hakwenda sawa na Magufuli na Magufuli hakwenda sawa na Kikwete. Unataka Samia aende sawa na Magufuli ili iweje?

Unaongelea timu lowassa ipi iliyokwenda sawa na Magufuli? Magufuli alielewana na Nazir Karamagi? Alielewana na Tanil Somaiya? Alielewana na Sofia Simba?

Kwa kifupi Magufuli mwenyewe hakufaa kuwa Rais, kwa proper vetting hakutakiwa kuwa Rais kwa matendo yake ya kuwawinda Hadi viongozi wa dini Kama Askofu niwemugizi, mwingira na wengineo ndo hakufaaa kabisa na Ndo mana Mungu alifanya yake mapema!
Huyo mtu nimefatilia maandiko yake btn the line , ana Chuki tu na Mama , pia mategemeo yao kwa Mama yamepotea, pia inaonekana ni mtu wa Sukuma Gang aliyekuwa amejificha

Just imagine tokea 2012 amejificha kaibuka hivi karibuni baada ya wao kundi lao kuanza kusambaratishwa
 
rasmi huu ndo mwisho mwisho wa enzi wa ccm, kama huamini tukutane 2025 panapomajaliwa.
Huu ni ungo ccm ni wataalamu wawizi wa kura na kupanga Matokea labda tuambie ni mbinu gani mbadala na kura nakama ipo kwani isitumike Leo badala 2025
 
Inaonekana mkuu unapenda sana ushoga, tunajadili mambo ya msingi wewe umekomaa tu na ushoga!
Kwahiyo mnaona sawa tu mzungu na yule aliefungiwa ndan waendelee kuwatetea nyinyi watoto wa kiume muolewe, afu sisi viongozi wa dini tukae kimya?
 
Ukiona mtu anapenda sana habari za ushoga hata kama Watu wanajadili kupaa kwa deni la Taifa
Kwahiyo mnaona sawa tu mzungu na yule aliefungiwa waendelee kuwatetea nyinyi watoto wa kiume muolewe afu sisi viongozi wa dini tukae kimya?
 
Huyo mtu nimefatilia maandiko yake btn the line , ana Chuki tu na Mama , pia mategemeo yao kwa Mama yamepotea, pia inaonekana ni mtu wa Sukuma Gang aliyekuwa amejificha

Just imagine tokea 2012 amejificha kaibuka hivi karibuni baada ya wao kundi lao kuanza kusambaratishwa
Wabongo mnamaujinga yasiyohesabika!

Wewe ni miongoni mwao na unayemtetea!

Watu wanaongelea mambo mapana ya kitaifa halafu wewe unaleta sukuma gang hapa!

Jinga ksbisa
 
Nadhani utakuwa mabaki yaliyofufuka ya sodoma na gomora.
Kwahiyo mnaona sawa tu mzungu na yule aliefungiwa waendelee kuwatetea nyinyi watoto wa kiume muolewe afu sisi viongozi wa dini tukae kimya?
 
Nimetafakari sana na kuona kweli 2024 mbali,,,subirin hili fukuto likoke moto kwanza then jibu litakuja kabla ya 2024 tena mapema sanaa,,na nitawapa ukweli nini kitakachojili vzur,,

Lakin niwambie ukweli ,,kama mama angeendelea na system ya Magu hiyo ndio ingembeba na hiyo ndio ilikua sahihi kwake,,ameingiza wahuni bila kujua Magufuli alibebwa na upande upi wa kura katika hii nchi,

Kiufupi,,waliombeba Magu ni team Lowasa,,mama kawaondoa asilimia kubwa na ndio walikua na comflict of interest na mzee wa msoga tangu enzi za Kalamagi,Msabaha,Lowasa na hatimae Rostam Aziz,,

Pili mama kapoteza imani kwa kanda ya ziwa nzima bila yeye kujua na hapo ndipo ilikua turufu yake,,hutaweza kuelewa siku zijazo utaelewa,,

Tatu,,system ambayo ingempa nguvu mama ndani ya chama ilikua ni kumuacha Polepole abaki kama msemaji wa chama,,kafanya kosa kubwa kumuweka yule kijana ambae hana ushawishi mkubwa wa kisiasa na haiwez siasa ya fitina,,kama hulioni hilo utajua muda sio mrefu,,,sio kwamba Ndugai hajui anachokifanya,,anajua sana na anajua ni kwann sasa hiv Dodoma inafifuia wakat Magu aliifufua,,

Mwisho nasema,,baada ya mama ambae tunaamin kila atokapo muislamu anakuja mkiristo,,au akitoka mkiristo anakuja muislamu basi baada ya mama muislam anayekuja ni muislam tena,,tena atakua na nguvu kama ya Magu na siku zijazo nitawambia,,ila kwa sasa tuache fukuto lipigane,,na niwambie bado system ya Magu itamsumbua mama tena sanaa maana ameonekana kwenda kinyume na mwenzake,,ila kule mama anakoegemea hawana nia njema nae japo yeye hajui,
Aisee
 
Sisi wavuja jasho na walala hoi tuna imani mwamba wetu Magu alishaweka misingi, wahuni wote ni suala la mda tu kwisha habari zao, tupo tunawasikilizia tu kuanzia mwaka 2014 ndio mtaijua nguvu ya mwendazake kwamba kumbe pamoja na kwamba amekufa ila idelogical yake bado inaishi kwa wafuasi wake
Ideological yake, dada punguza broken language

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Samia hakuna kitu pale, tuna poteza muda na kujadili empty set , tuna matarajio makubwa kutokwa kwa wrong person at a wrong time, hebu mwacheni mama apumzike, hakuna anachoweza fanya, hili ni GOAL!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Naamini currently Kikwete hana lolote Samia ndo mwamuzi wa kila kitu wao wanapendekeza yeye anaamua kupitisha au anakataa currently She is supperior to everybody else in TZ
 
Back
Top Bottom