Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Waziri awezi fanya kazi yake bila ya katibu mkuu. Hila katibu mkuu amuitaji waziri.
Serikali pia aiwezi fanya mambo yake bila ya makatibu wakuu, hao mawaziri maswali wanayojibu bungeni wanategemea wafanyakazi wa wizara ambao wapo chini ya katibu mkuu kuwaandalia majibu.
Usimamizi wa shughuli za wizara na utekelezaji wa sera zipo chini ya makatibu wakuu.
Policy za serikali zinashauriwa na makatibu wakuu, wanapozikubali wasimamizi wake ni makatibu wakuu.
Kesho raisi na makamu wakiumwa, kiongozi wa muda ni balozi kijazi sio PM.
Kwa kifupi ni kwamba mfumo wa serikali za madola makatibu wakuu ndio watu wanaoongoza nchi isipokuwa hawana ridhaa ya wananchi.
Si ajabu wengi awafahamu technically balozi kijazi ndio head of TISS pia wafanyakazi wote serikalini huyo ndio boss wao rasmi.
Serikali pia aiwezi fanya mambo yake bila ya makatibu wakuu, hao mawaziri maswali wanayojibu bungeni wanategemea wafanyakazi wa wizara ambao wapo chini ya katibu mkuu kuwaandalia majibu.
Usimamizi wa shughuli za wizara na utekelezaji wa sera zipo chini ya makatibu wakuu.
Policy za serikali zinashauriwa na makatibu wakuu, wanapozikubali wasimamizi wake ni makatibu wakuu.
Kesho raisi na makamu wakiumwa, kiongozi wa muda ni balozi kijazi sio PM.
Kwa kifupi ni kwamba mfumo wa serikali za madola makatibu wakuu ndio watu wanaoongoza nchi isipokuwa hawana ridhaa ya wananchi.
Si ajabu wengi awafahamu technically balozi kijazi ndio head of TISS pia wafanyakazi wote serikalini huyo ndio boss wao rasmi.