Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arusha toka saa 7 mchana hakuna umeme wala habari kwa umma kwanini hakuna umemeSidhani kama ni Afya sana/ ni Sifa mno kwa Baraza la Mawaziri (Cabinet) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
Teua wa kwako muanze kazi.Sidhani kama ni Afya sana/ ni Sifa mno kwa Baraza la Mawaziri (Cabinet) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
Nyie kumbe kweli viazi mbatata. Hiyo katiba imesema mwisho lini kuunda baraza la mawazili? Upinzani wa bongo wa hovyo sana. Akiwahi kakurupuka. Akichelewa anafikiri sifa kukaa bila mawaziri. Ndiyo maana baada ya 2015 nikakataa kuwa nyumbu.Katiba inataka wawepo
nchi hii ni uchumiwa kati sio maskiniJambo la msingi wananchi wanataka liundwe baraza dogo litakalo zingatia mahitaji muhimu na lenye ufanisi, wananchi hawataki kubebeshwa mzigo wa baraza kubwa hapana, nchi yetu bado masikini hivyo tukihitaji maendeleo ya kasi basi tupunguze utitiri wa baraza la mawaziri,
Tulifanikiwa kupunguza safari Za nje, matibabu nje ya nchi, nk, hivyo tunaweza pia kupunguza baraza la mawaziri.
Bado mbunge anagawa baiskeli na hatutaki apate live airtime!Arusha toka saa 7 mchana hakuna umeme wala habari kwa umma kwanini hakuna umeme
Na wa muungano!Ateue mawaziri 5 tu,
1.wa fedha
2. Mambo ya nje
3.wa ulinzi
4. Afya
5. Utumishi.
masharti baba, masheriti ya nanii....!Sidhani kama ni Afya sana/ ni Sifa mno kwa Baraza la Mawaziri (Cabinet) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
Tuondolee makelele hapaSidhani kama ni Afya sana/ ni Sifa mno kwa Baraza la Mawaziri (Cabinet) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
Hebu fuatilia niliyekuwa namjibu shoga wewe, sio kukurupuka na kujibu tu bila kujua kwa nini nimejibu nilivyojibu.Nyie kumbe kweli viazi mbatata. Hiyo katiba imesema mwisho lini kuunda baraza la mawazili? Upinzani wa bongo wa hovyo sana. Akiwahi kakurupuka. Akichelewa anafikiri sifa kukaa bila mawaziri. Ndiyo maana baada ya 2015 nikakataa kuwa nyumbu.
Ni jambo jema kwamba unaitambua Serikali yako.Sidhani kama ni Afya sana/ ni Sifa mno kwa Baraza la Mawaziri (Cabinet) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
Baraza la wanawake chadema mnaweweseka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787].Sidhani kama ni Afya sana/ ni Sifa mno kwa Baraza la Mawaziri (Cabinet) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
Einstein of all the time.Na wewe ni nani genta?
Umeambiwa Mimi ndiyo nimeukata huo Umeme?Arusha toka saa 7 mchana hakuna umeme wala habari kwa umma kwanini hakuna umeme
😡😡😡😡😡 imagine haya ndio majibu ya viongozi wetu!!!!Umeambiwa Mimi ndiyo nimeukata huo Umeme?