Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Vyama vipi unavyoviongelea. Wapinzani walikuwanachelewesha maendeleo wakati wao sasa wa kupumzika na kukaa kimya tuache nchi ikiongozwa vile wananchi tunaona wanataka.
Mtu aliyeagiza wizi wa kura anawezaje kuongoza kwa uadilifu?