Nchi kumi za kutembelea katika kipindi cha miaka mitano

Kiufupi hawataki waafrika kwenda huko kwa wingi, wanajua watazamia
Vipi kwa watu wa Mataifa ya Asia na Ulaya wanaotaka kwenda huko, wanawapitisha kwenye mchujo mkali kama wanavyowafanyia Waafrika?
 
Asante shemeji yangu Sanaa...nimekaa hapa nasubiri nijipongeze😁😁😁
Halafu nyie mnajua mnapiga sana kelele! Nitawasema kwa monita🀣🀣
 
Lamomy nikusikie tena nye Nye nyee na sungura yeyote utajua hujuii!nimeshaagiza Hennessy yangu hapa na mbuzi...πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€Έwenye wivu wajinyonge mdogo wangu kapata mume Ari riiiii rrriii
 
🀣🀣🀣🀣🀣 Sasa nijiandae kuwekewa notification on kwa kila comment ili nikizingua niwashiwe moto
 
🀣🀣🀣🀣🀣 Sasa nijiandae kuwekewa notification on kwa kila comment ili nikizingua niwashiwe moto
Nadhani unanijua Sina aibu,hao wanaokunyemelea wote hiyo vita yangu! Hennessy na ribs mchezooo🀣🀣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa nijiandae kuwekewa notification on kwa kila comment ili nikizingua niwashiwe moto
Kesi sasa hivi nitakua napeleka kwa joannah maana nimeona ndio unamuogopa[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…