Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Pumbavu mkubwa wewe, jioni ya leo ninakuja kuchukua hela yako"Umepanga kutembelea nchi ngapi katika kipindi cha miaka 5 ijayo?
Binafsi, ninapenda sana kusafiri, lakini kwa sababu ya kiwango cha kipato, bado sijazimaliza hata nchi za Afrika Mashariki.
Mpaka sasa, nchi nilizokwishatia miguu yangu ni Kenya, Uganda na Burundi.
Ikimpendeza Mungu, mwishoni mwa mwaka huu nitaenda Rwanda na South Africa.
Kwa sababu safari ya South Africa itakuwa kwa basi, nitaweza kupitia nchi kadhaa, labda Zambia, Zimbabwe, n.k. Bado sijaamua route, lakini huenda nikaenda kwa basi nikarudi kwa ndege, au vinginevyo.
Kwa hiyo, nimeziengua Rwanda na S. A kwenye nchi za kuzitembelea katika miaka mitano ijayo. Ninahesabu nimeshazitembelea.
Hizi ndizo nchi nitakazozitembelea katika kipindi cha miaka mitano kuanzia 2024:
1. Misri
2. Nigeria
3. Dubai - ( UAE)
4. Israel
5. Ugiriki
6. Uturuki
7. China
8. Uingereza
9. Marekani
10. Canada.
Natamani kwamba ifikapo Disemba 2028, niwe nimeshazitembelea nchi zote hizo hapo juu, na zaidi, ikiwezekana.
Wewe umepanga kutembelea nchi zipi?
Na mkafanya jana wizzy aniwashie moto 😂😂😂Simtambui yeyote zaidi ya wizzy....2pac kasema Mimi mwanae sana hatuna haja ya ushemeji
Sasa mbona hukomi Kunguru wewe🤣🤣🤣?Na mkafanya jana wizzy aniwashie moto 😂😂😂
Kasema hataki utani wa kijinga, uhuru umezidi
🤣🤣🤣 Nimekoma sitanii mtu tenaSasa mbona hukomi Kunguru wewe🤣🤣🤣?
Nina wazo kama lako ila Kwa kutumia kibao Cha mbuzi , maybe baadae Nita upgrade na kutoka nnje ya bongoKabla ya kwenda nje ya Tanzania natamani nimalize kuizinguka Tanzania yote Kwa gari binafsi.
Napenda kusafiri safari ndefu kuliko kitu kingine chochote duniani huwa moyo wangu unapata Amani sana
Nakumissigi🤣🤣🤣 Nimekoma sitanii mtu tena
Sema wewe ndio unaniponza nikimute utanitag mpk nikome
Ndo unaniponza sasa 😂😂😂Nakumissigi
🤣🤣🤣🤣🤣Kuna muda unakazaaa kila nikikuchombeza nakula tu likeNdo unaniponza sasa 😂😂😂
Leta namba fasta nikupe ya wine, au tafuta namna yoyote fasta tu nakutumia ya hennesySimtambui yeyote zaidi ya wizzy....2pac kasema Mimi mwanae sana hatuna haja ya ushemeji
🤣🤣🤣 Nilikuchunia lakini wapi mpk umefanikiwa kunirudisha!!🤣🤣🤣🤣🤣Kuna muda unakazaaa kila nikikuchombeza nakula tu like
UongoNa mkafanya jana wizzy aniwashie moto [emoji23][emoji23][emoji23]
Kasema hataki utani wa kijinga, uhuru umezidi
Leo acha nikuambie huu ukweli, lamomy anakuheshimu na kukupenda sanaNakumissigi
😂😂😂😂 kweli?Uongo
[emoji23][emoji23][emoji15][emoji15][emoji15] Jamani
Haya mwenye shemeji bahati yako leo sijui umelalia ubavu gani? Joannah
Alikua safarini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna muda unakazaaa kila nikikuchombeza nakula tu like
Sijakuwashia moto bana, always nipo polite[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli?
We mwenyewe unajua ninavyomuelewa Shemeji yangu, mzingatie sana🤣🤣🤣 Nilikuchunia lakini wapi mpk umefanikiwa kunirudisha!!
Mwenzio mme wangu hapendi dada khaaaa!!
Kumpata mwanaume km Kantri ni ngumu ss hivi ooh!! 🤣
Sawa shemeji nakutumia number PM ,,nangoja blessing zako unibless😁😁Leta namba fasta nikupe ya wine, au tafuta namna yoyote fasta tu nakutumia ya hennesy