Acha utetezi fyongo tafadhali,hapo no katika kutaka kuhalaliza maovu,hata yale yaliyokwisha fanywa.Ili nchi iendelee inahitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu na uthubutu. Maamuzi ambayo muda mwingine hayatapendwa na wananchi. Mambo kama haya hayawezekani chini ya demokrasia.
Hata wanaotuhubiria demokrasia kila siku wanajua kuwa haifai pale maamuzi magumu yanapohitajika. Ndiyo maana mataifa yenye nguvu yamejipa kura ya Veto umoja wa mataifa. Na pengine ndiyo maaana wanatuhubiria kila siku tuwe na demokrasia, wakijua kuwa tukiwa na demokrasia tutabaki maskini siku zote.
Demokrasia inabidi kuangaliwa upya
Tatizo tumemezeshwa kuwa kama hakuna demokrasia, kinachokuwepo ni uovu. Maovu mangapi yanafanywa na viongozi wa Kidemokrasia?Acha utetezi fyongo tafadhali,hapo no katika kutaka kuhalaliza maovu,hata yale yaliyokwisha fanywa.
Ili angalau mfanane na binaadamu aliyestaarabikaTatizo tumemezeshwa kuwa kama hakuna demokrasia, kinachokuwepo ni uovu. Maovu mangapi yanafanywa na viongozi wa Kidemokrasia?
Hivi hujiulizi kwanini nchi tajiri zinatuhamasisha sana tuwe na demokrasia?
Kwani mkoloni alikuwa na demokrasia? Mbona alipora uchaguzi zanzibar!Umeongea ukweli demokrasia inaleta division kama mbinu ambazo mkoloni alitumia kumtawala mtu mweusi
divide and rule
Alikuja Meko hapa katawala miaka 5 tu....
mmeimba nyimbo zote nawashauri bakini na demokrasia yenu
Ipo hivyo yani wala hakuna haja yakuanza kujadili.Ili nchi iendelee inahitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu na uthubutu. Maamuzi ambayo muda mwingine hayatapendwa na wananchi. Mambo kama haya hayawezekani chini ya demokrasia.
Hata wanaotuhubiria demokrasia kila siku wanajua kuwa haifai pale maamuzi magumu yanapohitajika. Ndiyo maana mataifa yenye nguvu yamejipa kura ya Veto umoja wa mataifa. Na pengine ndiyo maaana wanatuhubiria kila siku tuwe na demokrasia, wakijua kuwa tukiwa na demokrasia tutabaki maskini siku zote.
Demokrasia inabidi kuangaliwa upya
Wewe umewahi ona nyumba inaendeshwa kidemokrasia?Good unaakili sana sasa anzia nyumbani kwako!
Wanyime demokrasia!
Dhalilisha mkeo,piga watoto wakikosea kidogo,wanyime haki ya kucheza/kula/kutoa mawazo/elimu nk. nyang'anya mkeo mali yoyote alonayo,jipendelee wewe na nduguzo wachache...
Ukimaliza hapo uje utuambie maendeleo mlonayo!!
Kunawatu wapumbafu sana...demokrasia nayo ni sehemu ya maendeleo!
Maendeleo sio kumiliki mavitu tuu Bali maendeleo ni kuboreka kwa maisha kiujumla toka pabaya kwenda pazuri (improvement of total ways of life).
Umeiweka vyema kabisa.Ipo hivyo yani wala hakuna haja yakuanza kujadili.
============================
=>Demokrasia inatakiwa kutumiwa na nchi zilizoendelea(boom stage) kama Korea kusini vile, madarakani wanakuwa kama wanacheza game vile, wanaangalia huyu kacheza kapata point ngapi, ngoja tuone mwingine atafikisha point ngapi?.
Sasa mfumo huu sisi hautufai ili kujikwamua kunamahali yatahitajika maumuzi magumu yenye manufaa baadae ila itashindikana kwasababu utakua nje ya mipaka ya demokrasia. Kwa kuukubali huu mfumo inamaana tumekubali kua wasindikizaji.
=>Demokrasia imeigawa nchi (integrity) ya wananchi ule uzalendo wa wananchi dhidi ya nchi yao umekimbilia kwenye vyama(uCCM & uCHADEMA) kipaumbele sio nchi tena bali ni vyama.
=>Hii demokrasia sio kwamba tulipigwa(tulitapeliwa) hapana bali tulikutana na vibaka, wakatupiga roba ya mbao wakatushikia visu na bisibisi kisha wakatuambia tusaule basi tukasaula.
☕️Kama tumefeli tayari basi mbadala uliobaki ni kutengeneza katiba yetu saaaafi kabisa itakayotutetea.
Si kweli kwamba udikteta ni njia sahihi ya kuifanya nchi isonge mbele.Ili nchi iendelee inahitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu na uthubutu. Maamuzi ambayo muda mwingine hayatapendwa na wananchi. Mambo kama haya hayawezekani chini ya demokrasia.
Hata wanaotuhubiria demokrasia kila siku wanajua kuwa haifai pale maamuzi magumu yanapohitajika. Ndiyo maana mataifa yenye nguvu yamejipa kura ya Veto umoja wa mataifa. Na pengine ndiyo maaana wanatuhubiria kila siku tuwe na demokrasia, wakijua kuwa tukiwa na demokrasia tutabaki maskini siku zote.
Demokrasia inabidi kuangaliwa upya
Kutokuwa na demokrasia haimaanishi kuwa na udikteta. Tunahitaji mfumo ambao serikali haihitajiki kufanya maamuzi kuwapendeza wananchi bali iweze kufanya maamuzi kwa faida ya wananchi hata kama hayawapendezi.Si kweli kwamba udikteta ni njia sahihi ya kuifanya nchi isonge mbele.
Si kweli kwamba udikteta ni njia sahihi ya kuifanya nchi isonge mbele.
Kwahiyo nchi masikini hazihitaji hata katiba.Nafikiri uko off pointIli nchi iendelee inahitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu na uthubutu. Maamuzi ambayo muda mwingine hayatapendwa na wananchi. Mambo kama haya hayawezekani chini ya demokrasia.
Hata wanaotuhubiria demokrasia kila siku wanajua kuwa haifai pale maamuzi magumu yanapohitajika. Ndiyo maana mataifa yenye nguvu yamejipa kura ya Veto umoja wa mataifa. Na pengine ndiyo maaana wanatuhubiria kila siku tuwe na demokrasia, wakijua kuwa tukiwa na demokrasia tutabaki maskini siku zote.
Demokrasia inabidi kuangaliwa upya
China imeendelea chini ya mfumo wa chama kimoja.Mkuu samahani nini maana ya demokrasia? Upi msingi wa uwepo wa demokrasia? Na Ni kivipi nchi haiwezi endelea kwa kufuata demokrasia?
Na nchi itapata vipi maendeleo isipo kuwa na demokrasia?
Kipindi Cha mfumo wa chama kimoja nchi ilipiga hatua kiasi gani ? Maana kulikuwa hakuna mfumo wa vyama vingi Mpaka 1992.
Wewe umewahi ona nyumba inaendeshwa kidemokrasia?
Na uelewe kuwa kukosa demokrasia haimaanishi kupiga, kuua na mambo mengine uliyotaja hapo juu.
Akili bure kabisa.Ili nchi iendelee inahitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu na uthubutu. Maamuzi ambayo muda mwingine hayatapendwa na wananchi. Mambo kama haya hayawezekani chini ya demokrasia.
Hata wanaotuhubiria demokrasia kila siku wanajua kuwa haifai pale maamuzi magumu yanapohitajika. Ndiyo maana mataifa yenye nguvu yamejipa kura ya Veto umoja wa mataifa. Na pengine ndiyo maaana wanatuhubiria kila siku tuwe na demokrasia, wakijua kuwa tukiwa na demokrasia tutabaki maskini siku zote.
Demokrasia inabidi kuangaliwa upya
Mitandaoni kuna kila kitu.View attachment 1958450
Sikushangai hujui nikile tunachosema elimu yetu inashida...
Huwezi kuapply demokrasia nyumbani??? Soma kwa kuelewa,usikariri
Ktk afrika nchi kumi zenye uchumi mkubwa kaangalie kuna nchi ngapi zinazoongozwa ki dikteta zimo humo, kulinganisha na zenye demokrasia kiasi fulani.siku zote u dikteta ni kuficha maovu yanayotendeka dhidi ya raia, na ni chaka la ulaji na kukwepa mapungufu yao kuonekana.yaani tulifikia hatua mtu ku post picha ya watoto wamekaa chini, wagonjwa wamelala chini ni kosa!??MUNGU FUNDInchi gan yenye demokrasia imepiga hatua?
South Africa ambayo kidogo kwa Africa demokrasia yao imekomaa wakawa na Rais Zuma ambaye amefanya ufisadi wa hovyo. Ufisadi unaweza fanyika kuwepo na demokrasia au kusiwepo. Demokrasia siyo dawa ya ufisadi na wala siyo kwamba nchi ikikosa demokrasia basi inakuwa ya kidikteta, kinyume cha demokrasia siyo udikteta.