Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,387
- 2,085
Kwa upinzani huu wa kupinga kila kitu sitarajii jipya lolote, upinzani wa kukutuhumu fisadi ukihamia upande wao wanakusafisha….Ndugu yangu Katiba na sheria tulizojiwekea wenyewe ni muhimu zikafuatwa na katiba ndio mkataba wetu kati ya watawala na watawaliwa ndio the mother law of all laws, sasa ni muhimu kuifuata kwa kujali rule of law, kujali haki za binadamu.
Upinzani wa kuwa mawakili wa wanyonyaji big no. Rwanda inakimbia, Tanzania yenye square kilometers karibia elfu moja inachechemea, tutakumbuka shuka pamekucha.