ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Usisahau kusoma ratiba mpya ya kwenda kufagia na kumwagilia maua malaloni Chato.Umeongea ukweli demokrasia inaleta division kama mbinu ambazo mkoloni alitumia kumtawala mtu mweusi.
divide and rule.
Alikuja Meko hapa katawala miaka 5 tu.
mmeimba nyimbo zote nawashauri bakini na demokrasia yenu
Huwezi kujua waweza kubahatika kuongea na mzuka wa malaika mkuu mtarajiwa/mteule juu ya 'demokrasia' ya HUKO.