Hahahaha, walijua chapati ni changamsha mdomo tu sio, kumbe ndo msosi wenyeweKuna ndugu walitoka mkoani kuja kwa bwana Chalamila,familia iliyowapokea usiku huo walikuwa na ratiba ya chapati na rosti ya nyama. Wageni wakala wakaendelea kukaa mezani wanasubiri chakula,ilikuwa mtafutano.
Mwanzo nimeenda kenya nilikula githeri niliarisha balaaππππBongo kuna vyakula vitamu sana. Ukienda kwa majirani utawaonea huruma vyakula vyao na jinsi wanavyovipika. Kenya wana ile githeri.
Upo mmoja unaitwa street baker una 500g unauzwa Tshs. 21,000 (Brown) na Tshs. 20,000 (white). Shoppers Masaki huwa ikiwekwa tu ktk zile shelves haichukui muda mrefu kumalizika ukilinganisha na ile ya bei nafuu. Sifa kubwa ya huu mkate hauharibiki haraka pia unafaa kwa kutengenezea sandwich. Sandwich nyingi za gharama kubwa zinazotengezwa ktk migahawa na hoteli mbali mbali huu ndio mkate unaotumika sana.Shoppers wana hiyo mikate inauzwa hadi 12000
Huwa najiuliza wanailetaje
Hakuna kuhara,maandalizi yanafanyika katika usafi.Huyo mtu atakayekula hii mixer lengo lake ni kuhara.
Sisi twashindwa wap?Upo mmoja unaitwa street baker una 500g unauzwa Tshs. 21,000 (Brown) na Tshs. 20,000 (white). Shoppers Masaki huwa ikiwekwa tu ktk zile shelves haichukui muda mrefu kumalizika ukilinganisha na ile ya bei nafuu. Sifa kubwa ya huu mkate hauharibiki haraka pia unafaa kwa kutengenezea sandwich. Sandwich nyingi za gharama kubwa zinazotengezwa ktk migahawa na hoteli mbali mbali huu ndio mkate unaotumika sana.
Mbali ni wapi?mbona kuna watu wapo vzr kiuchumi ,na ugali nyama choma wanapiga,vyombo wanakata na stori za vijiwe wakipata muda wa ziada wanapiga fresh tu,tuache kukaririUkiweza kujizuia mambo matatu utafika mbali;
1. Ugali
2. Pombe
3. Vikao vya hovyo na marafiki wa hovyo.
Hiyo ni sawaNenda Zenji tu mtu anakula dinner boflo kwa maharage
Upo mmoja unaitwa street baker una 500g unauzwa Tshs. 21,000 (Brown) na Tshs. 20,000 (white). Shoppers Masaki huwa ikiwekwa tu ktk zile shelves haichukui muda mrefu kumalizika ukilinganisha na ile ya bei nafuu. Sifa kubwa ya huu mkate hauharibiki haraka pia unafaa kwa kutengenezea sandwich. Sandwich nyingi za gharama kubwa zinazotengezwa ktk migahawa na hoteli mbali mbali huu ndio mkate unaotumika sana.
Mkuu mkate nchi zingine ni desturi,,Kweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.
Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo, Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.
Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alilisha watu elfu tano samaki na mkate. Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
wewe shida yako unataka kula mkate ili ufanane na mzungu? au nini? kila watu na tamaduni zao. dunia ya zamani mikate na chapati ndio ilikuwa milo, ndo maana hata mashariki ya kati hata uarabuni na ulaya, ngano ndio wanga namba moja kuliwa kama mlo.Kweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.
Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo, Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.
Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alilisha watu elfu tano samaki na mkate. Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
Zambia wali wanaweka sukari, Congo wana mikate ina chumvi balaa wana kula soda moja inaitwa slim munene umetoka hiyo mimi nilishindwa kabisa.
Kweli mkuu bongo misosi Mingo sanaMkuu mkate nchi zingine ni desturi,,
Kwetu huwezi kushindia mkate wakati kuna mihogo, viazi vitamu magimbi, matunda kama yote mboga fungu 500 sasa mkate wa nini?
Vitumbua, chapati , mandazi,vipo
Utasumbukaje na mikate?
Supu mtori, kongoro,mkia vipo mpk kichwa cha mbuzi, mapupu, utumbo vipo.
Utakulaje mikate?
Ukiona mtu anashindia mkate huko unapita ni njaa tu.
Ni chakula cha bei rahisi wanachoweza kukimudu kikawapitisha siku mbili tatu.
Akimega pande moja la boflo akateremshia na cola
Baas mpk kesho.