Nchi nyingi nilizotembelea mikate ni chakula ila huku kwetu ni kitafunwa

Nchi nyingi nilizotembelea mikate ni chakula ila huku kwetu ni kitafunwa

Nenda Zenji tu mtu anakula dinner boflo kwa maharage
Boflo A.K.A Songambele linaendana na kila kitoweo/mboga

Hayo maharage pia unajazia, wengine wanapiga boflo na margarine tu ndio imetoka hiyo mpaka asubuhi.... Wengine ndio yametulea hayo...boflo full suit asubuhi, mchana na usiku unabadilisha mboga ya kutoelea tu
 
Kweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.

Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo,
Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.

Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alisha watu elfu tano samaki na mkate,
Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
Tunaomba picha mkuu
 
Kweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.

Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo,
Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.

Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alisha watu elfu tano samaki na mkate,
Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
Tatizo lako ni dogo tu bwashe, wewe elewa tu kuwa hata kitafunwa ni chakula ....ngoja nikupe tafsiri ndogo chakula ni chochote kinacho liwa na kinacho mfaa binadamu kula .... haya uliza swali
 
Mikate hiihii ya kibongo ndiyo mtu afanye iwe lunch au ina ingredients tofauti huko?

At least dinner sababu digestion iko slow unapolala,lunch?
Wanacheza nayo udambwi kidogo Ila mwisho wa siku ni mkate na mlo unalika
 
Back
Top Bottom