Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile silesi kumi na mbili namaliza labda na maharage au supu ila mkate na chai kaahhh..hapanaUnilishe mkate na soda halafu nilale? Haikubaliki
Si ndo maana wamelegeaNenda Zenji tu mtu anakula dinner boflo kwa maharage
Kenya na punje za mahini ni chanda na pete mimi nawaitaga wadudu wa ungaBongo kuna vyakula vitamu sana. Ukienda kwa majirani utawaonea huruma vyakula vyao na jinsi wanavyovipika. Kenya wana ile githeri.
Boflo A.K.A Songambele linaendana na kila kitoweo/mbogaNenda Zenji tu mtu anakula dinner boflo kwa maharage
Una nini mkate? Mbona kawaida tu..mkuu tanzania hatuna shida ya chakula japo ipo kwa mmoja mmoja ila mkate mpaka unakuwa chakula dah nimejaribu kuvaa viatu vyao vimenibana
Unashiba huku mwili unakuwa bado mwepesiMkate ni chakula Bora Sana
Hata huo mkate ukila na mboga kama unazolia na ugali unashiba fresh tuUnashiba huku mwili unakuwa bado mwepesi
Ila ugali sijui na madude gani lazm mwili ukae chini kama masaa 3 ivi kama chatu katoka kumeza mbuzi
Tunaomba picha mkuuKweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.
Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo,
Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.
Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alisha watu elfu tano samaki na mkate,
Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
Tatizo lako ni dogo tu bwashe, wewe elewa tu kuwa hata kitafunwa ni chakula ....ngoja nikupe tafsiri ndogo chakula ni chochote kinacho liwa na kinacho mfaa binadamu kula .... haya uliza swaliKweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.
Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo,
Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.
Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alisha watu elfu tano samaki na mkate,
Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
Githeri ukienda hata hapa Moshi unaikuta, inaitwa ngararimoBongo, i kuna vyakula vitamu sana. Ukienda kwa majirani utawaonea huruma vyakula vyao na jinsi wanavyovipika. Kenya wana ile githeri.
Hapana. Ngararimo ni tofauti na githeri.Githeri ukienda hata hapa Moshi unaikuta, inaitwa ngararimo