Nchi nyingi nilizotembelea mikate ni chakula ila huku kwetu ni kitafunwa

Nchi nyingi nilizotembelea mikate ni chakula ila huku kwetu ni kitafunwa

Kuna Moko mmoja aliwahi kunisimulia kuwa ngano Ina mchango mkubwa sana ktk kunoa intelligence (Capacity of mind) ya binadamu. Ndio maana race zote ambazo zimepiga hatua ktk nyanja mbalimbali chakula Chao kikuu lazima kiwe product ya ngano au ngano yenyewe.

Aliendelea Kwa kutoa Boko jingine et mahindi yaliletwa na wareno Ili kuongeza idadi ya watu katika jamii za kiafrika Ili kupata idadi kubwa ya watumwa waliokua wakiitajika huko bara Amerika.
 
Mtu kutoka porini anapojiita mwana daresalama[emoji16]
Isikuumize sana, mimi sikuzaliwa Dar, ila sasa nina umri wa mtu kuitwa mtu mzima nipo Dar, nina banda langu, mwenyekiti wa mtaa ananijua kuwa nina makazi yangu, serekali ya mtaa na ya mkoa inanitambua kama, mwana Dalisama kwanini mimi nisijione mwana darisama.

Dar ni mji tu ndugu yangu, cha muhimu mafanikio ya maisha yako binafsi, wasikiumize wana Dar.
 
Kuna Moko mmoja aliwahi kunisimulia kuwa ngano Ina mchango mkubwa sana ktk kunoa intelligence (Capacity of mind) ya binadamu. Ndio maana race zote ambazo zimepiga hatua ktk nyanja mbalimbali chakula Chao kikuu lazima kiwe product ya ngano au ngano yenyewe.

Aliendelea Kwa kutoa Boko jingine et mahindi yaliletwa na wareno Ili kuongeza idadi ya watu katika jamii za kiafrika Ili kupata idadi kubwa ya watumwa waliokua wakiitajika huko bara Amerika.
Sahihi kabisa,zaidi ya pop corn na cornflakes mahindi hayana ishu Kwa wazungu
 
Kweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.

Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo,
Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.

Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alisha watu elfu tano samaki na mkate,
Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
Zambia hawali mkate wao ni ugali na kabisa toka anazaliwa mpk anakufa
 
Kweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.

Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo,
Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.

Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alisha watu elfu tano samaki na mkate,
Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
aseeh mimi nimeishi Zambia , mikate kwao ndio mpango mzima halafu wakipika wali wanaunga sukari
na kuhusu chapati hawajui kuzitengeneza, kuna vijichapati fulani haiivagi wanavipenda

huwa wana vichanganya na mayai, ma kabeji mabichi, na mayonezi na tomato sos

nakumbuka niliwaigi kupikaga wali wa nazi nikapika na ndizi nikazirost, wali ukanukia ulemtaa niliokuwa naishi aisee waliitana kuja kushangaa. tena kwakupanga foleni nili staajabu sana nikisema msemo wa tembea uyaone umejidhihilisha
 
Back
Top Bottom