Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rangi ya chocolate hvKweli kabisa nilienda bukoba nikala mkate wa Uganda,mzuri sana
Hapana. Vyakula vya bongo vinapendwa mno na majiraniHata wao wakija huku wataona vyakula ni vya ajabu
Hahhah mkuuUnashiba huku mwili unakuwa bado mwepesi
Ila ugali sijui na madude gani lazm mwili ukae chini kama masaa 3 ivi kama chatu katoka kumeza mbuzi
Hapana. Kuna vyakula vya ovyo tu hakuna cha utamaduni wala nini. Hata wamasai wakiwekewa Loshoro na biriani kuku watachagua biriani kuku. Wewe ni limbukeni.Huu sasa ni ulimbukeni. Unadhani wewe ndiyo bora kuliko wengine. Unachotakiwa kujua ni kuwa chakula ni utamaduni. Unachoona ni kizuri kwako kinaweza kuwa kibaya kwa mwenzako.
Ngararimo tofautiGitheri ni ngararimo zilizochangamka blaza
Kitafunwa ndio nini? Breakfast ni chakula pia,Kweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.
Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo,
Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.
Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alisha watu elfu tano samaki na mkate,
Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
Sio Tanzania pekee, Uganda je unaicha wapi? Pia Asia wana vyakula ya kutosha sana, ndio wanao ilisha saba Ulaya na MarekaniBy the way, Tanzania tumebarikiwa vyakula aina nyingi sana.
Slices 12!! Rey bhana hapo umetuuza,Zile silesi kumi na mbili namaliza labda na maharage au supu ila mkate na chai kaahhh..hapana
Mikate ya Ulaya usifananishe na hii yenu kama Godolo, Nenda Supermarket kubwa huw wanaileta, mkate unazuwa sh 7000/ kuna mikate Whole grain acha kabisa ile wanakula matajiri, shida tusha kaliliKweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.
Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo,
Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.
Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alisha watu elfu tano samaki na mkate,
Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
Inawezekana nisikikatalie, maana hata hawa wanaoshusha majunia ya mchele na maharage, kwenye malori yalosheni mzigo au hawa waendesha guta, wanaweza kula mkete ukawa mko tosha, hakuna kazi ngumu siku hizi.Nawakumbuka vizuri sana hao wa kijijini ila hakuna kazi ngumu sikuhizi
Halafu upate show time emergency, uwe umekula mkate na Pepsi ya baridi Sana. 😃😃Unilishe mkate na soda halafu nilale? Haikubaliki
Aiseee nakazia ugali sio poa...Unashiba huku mwili unakuwa bado mwepesi
Ila ugali sijui na madude gani lazm mwili ukae chini kama masaa 3 ivi kama chatu katoka kumeza mbuzi
Au Subway, dinner toshaKuna ile inaitwa french bread,unakata katikati unaweka madiko madiko kama chips,kachumbari.Kwa sisi wakristo unaweza weka Jambon. Inaitwa Sandwich. Hiyo ni lunch ama dinner tosha kabisa.