Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioMwandishi hujui tofaut ya r n l
Haya mapinduzi ya ccm sijui yana maana ganiHivi baada ya mapinduzi ya ufaransa mbona maisha yao yalirudi kuwa mazuri.
Fanya utafiti kabla ya kuandika CCM wewe
Hapa ni wapi?Unaelewa hata nazungumzia kitu gani?
Unaelewa kuwa huko Mwanza leo Chadema wamezuiwa kwa virungu kufanya mkutano wao wa ndani wa mambo ya katiba ambao ni haki yao ya kikatiba na mpaka sasa hivi watu 128 wamekamatwa na kuwekwa ndani wakati Shaka anachanja mbuga kufanya mikutano ya hadhara?
Narudia tena,waliokuwa wanaiita takataka kuwa ni 'Mama' shame on you!
View attachment 1856958
Kwani wanachadema ndio wanauza vitalu vya madini kwa wazungu tangu tumepata uhuru?Wewe sema wanaufipa ndo mnachuki na maendeleo ya taifa lenuuu.
Maza nchi imemshinda kabisa hakuna la maana anafanyaKwa sisi tuliofatilia hali ya kisiasa na kijamii kuanzia kuingia kwake madarakani 2015 na uchaguzi wa muhula wa pili 2020 tulijua kabisa na kubashiri janga linaloenda kuikabiri nchi yetu.
Kwa sisi tulioona na kushuhudi uhuni ule wa uchaguzi, matumizi mabaya ya fedha kudhibiti Haki na demokrasia nchini tulijua kabisa baada ya uchaguzi hali ya kiuchumi itakuwa mbaya sana. Nyote ni mashuhuda sasa.
Nchi nzima si wanaccm, chadema wala Chauma. Si wanasiasa hadi wasio na siasa wote wameichukia ccm hasa iliyokita mizizi na fikra za John Pombe magufuli, fikra za kikandamizaji.
Kwa wale tuliosikia zile tetesi kwamba Hayati alikodisha vikosi vya cyber kuja kuchakachua mifumo mingi ya kiteknolojia na internet ili kurahisisha mazingira ya kushinda uchaguzi tuliwaza kabisa kuwa kama ni kweli hizo pesa anazowalipa zinatoka wapi? au ndio amekomba pesa zote za hazina? Kuna wengine wanafika mbali na kusema huenda pesa alizokopa world bank na Uchina kwa ajili yanujenzi wa SGR na Stigler ndio hizo zilitumika ktk mikakati michafu ya uchaguzi october 2020 na hivyo tunalipa ghalama.
Sasa Awamu ya sita imetuchanganya. Huwezi kumjua Mpiga mapambio wa zamani na mpinzani wa zamani. Wote wamekuwa kitu kimoja. Adui wao amekuwa mmona tu, naye ni CCM.
Asante sana CCM kqa kutuunganisha. Sasa ongeza na tozo zingine ili tujenge nchi kwa haraka zaidi.
CCM nambali one.
Viongozi wa CCM wanapiga pesa wananchi wanawanunulia pombeKwani wanachadema ndio wanauza vitalu vya madini kwa wazungu tangu tumepata uhuru?
Huyu maza kweli ni takataka atasababisha vita aiseeUnaelewa hata nazungumzia kitu gani?
Unaelewa kuwa huko Mwanza leo Chadema wamezuiwa kwa virungu kufanya mkutano wao wa ndani wa mambo ya katiba ambao ni haki yao ya kikatiba na mpaka sasa hivi watu 128 wamekamatwa na kuwekwa ndani wakati Shaka anachanja mbuga kufanya mikutano ya hadhara?
Narudia tena,waliokuwa wanaiita takataka kuwa ni 'Mama' shame on you!
View attachment 1856958
Wabongo wamepinda
🤣🤣🤣Huyu maza kweli ni takataka atasababisha vita aisee
tulia mkuu maana ni hatari sn
Hapana mzee. Mama kaibgizwa chaka. Hii bajeti ni ya mwenda zake pesa alitapanya kwa kuhonga ashinde uchaguzi. Ziliisha na haya ndio madhara yake
Kazi kwenuuuKwani wanachadema ndio wanauza vitalu vya madini kwa wazungu tangu tumepata uhuru?
Kilimkomboa nani????Acha kukichafua chama Cha Ukombozi CCM sema watu waliopitisha haya mambo ndo kulaumiwa na si vinginevyo!!!!