Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Alikosa hoja akaona apeleke huu ujinga wake, ni mshenzi sn yule mamaTumebaki na kete mbili tu ili ujinga na upumbavu wa kwenye mnduku kama huo uishe,1.maandamano none stop nchi nzima 2.mapinduzi ya kijeshi .hao akina Salma kikwete na hoja zao ndio ile ile aina ya wabunge wapumbavu tunaozungumzia kila siku ambao hawajali mtu yoyote na wamelewa hivyo hawamtambui mtu yoyote zaidi matumbo na familia zao.
Kuna saa ukifikiri sana unaweza hisi tuna laana lakini akili za wasomi wetu
Wale watu ndugu yangu wanabebwa na UCCM tu ila kichwani mwao wanajua kufuga nywele na kuvaa vitunga basi ila AKILI HAKUNA HATA TONE.Alikosa hoja akaona apeleke huu ujinga wake, ni mshenzi sn yule mama
Uko sawa kwa mtazamo wako.
Tumebaki na kete mbili tu mkuu ili ujinga na upumbavu wa kwenye mnduku kama huo uishe,1.maandamano none stop nchi nzima 2.mapinduzi ya kijeshi .hao akina Salma kikwete na hoja zao ndio ile ile aina ya wabunge wapumbavu tunaozungumzia kila siku ambao hawajali mtu yoyote na wamelewa hivyo hawamtambui mtu yoyote zaidi matumbo na familia zao.Imeshapitishwa mkuu + kuwekewa kinga
Hii nchi ya ajabu sana, tupo tayari kuhakikisha vigogo na matajiri wanalindwa kwa namna yoyote huku tukigandamiza familia maskini ziendelee kurudi chini.
Wakati tunahaha namna gani watoto wapate matibabu bure bunge letu linapitisha kulipa wake za vigogo mafao ambayo ni mamilioni ya pesa!!
Kuna saa ukifikiri sana unaweza hisi tuna laana lakini akili za wasomi wetu kuna saa wanakuwa kama wajinga na wasio weza kufikiri.
Hivi hawa watu tulitoka nao wapi? Tuliwachagua sisi au walitoka kwa "yule mwovu"?!Viongozi hawa 600 hawaoni haya matumizi haya makubwa ndiyo kwanza wanaendelea kuziba masikio yao kwa kiburi.
GENERALIZATION...
Hivi idadi ya wake wa hao vigogo iko kiasi gani ?!!!
Acha roho ya husuda....inakuumiza tu nafsi yako [emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hata kama yupo mmoja. wanalipwa mafao ya nini kama sio upumbavu na ubinafsiGENERALIZATION...
Hivi idadi ya wake wa hao vigogo iko kiasi gani ?!!!
Acha roho ya husuda....inakuumiza tu nafsi yako [emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ni upumbavu kutumia pesa nyiingi kutibu mzee,ni afadhari kutumia gharama kubwa kumtibu kiongozi ajaye,mtoto.GENERALIZATION...
Hivi idadi ya wake wa hao vigogo iko kiasi gani ?!!!
Acha roho ya husuda....inakuumiza tu nafsi yako [emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ushakata tamaa au wewe ni mwenzao hapa unatetea ugali wakoSijakata tamaa bali siishi kwa akili za kushikiwa....
Uhalisia na kinyume na HISIA....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ok vizuriWapo ambao tunajua wanapoishi na wanapopita na magari yao tunaona.
Tuna laana sio jambo la kuhisi,ni kweli tumelaaniwaHii nchi ya ajabu sana, tupo tayari kuhakikisha vigogo na matajiri wanalindwa kwa namna yoyote huku tukigandamiza familia maskini ziendelee kurudi chini.
Wakati tunahaha namna gani watoto wapate matibabu bure bunge letu linapitisha kulipa wake za vigogo mafao ambayo ni mamilioni ya pesa!!
Kuna saa ukifikiri sana unaweza hisi tuna laana lakini akili za wasomi wetu kuna saa wanakuwa kama wajinga na wasio weza kufikiri.