Alipwe kwa Sababu anajamiana na kiongozi mstaafu.yeye na wewe wote mnatumia barabara,kwanini anaomba kulipwa kwa kuwa mke wa kiongozi!!!
si aridhike kupita kwenye barabara pekee kama ni rahisi kama usemavyo!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipwe kwa Sababu anajamiana na kiongozi mstaafu.yeye na wewe wote mnatumia barabara,kwanini anaomba kulipwa kwa kuwa mke wa kiongozi!!!
si aridhike kupita kwenye barabara pekee kama ni rahisi kama usemavyo!!!
.Hii ni point nzuri sana. Baadhi ya wachangiaji katika platforms mbalimbali hawajaigusia hii issue. Ningekuwa mwalimu nasahihisha paper yako ningekupa 'distinction' kuonyesha kuwa wewe ni original thinker na ume'treat' paper with independent judgement. Excellent!
Wajinga pia ni wanyonge wamaowapigia kura kwenye Serikali za mitaa.Hii nchi ya ajabu sana, tupo tayari kuhakikisha vigogo na matajiri wanalindwa kwa namna yoyote huku tukigandamiza familia maskini ziendelee kurudi chini.
Wakati tunahaha namna gani watoto wapate matibabu bure bunge letu linapitisha kulipa wake za vigogo mafao ambayo ni mamilioni ya pesa!!
Kuna saa ukifikiri sana unaweza hisi tuna laana lakini akili za wasomi wetu kuna saa wanakuwa kama wajinga na wasio weza kufikiri.
UTASHANGAA SANA. NI NCHI YA KIPUMBAVU SANA. INA WATU WALAFI NA WACHOYO.Hii nchi ya ajabu sana, tupo tayari kuhakikisha vigogo na matajiri wanalindwa kwa namna yoyote huku tukigandamiza familia maskini ziendelee kurudi chini.
Wakati tunahaha namna gani watoto wapate matibabu bure bunge letu linapitisha kulipa wake za vigogo mafao ambayo ni mamilioni ya pesa!!
Kuna saa ukifikiri sana unaweza hisi tuna laana lakini akili za wasomi wetu kuna saa wanakuwa kama wajinga na wasio weza kufikiri.
Kwahiyo tuwahudumie kwa sababu wana huo uhitaji au kwa ufahari tu kwa sababu upo huo uwezo wa kufanya hivyo?Hizo ni chuki tu za nafsi yako....
Hivi taifa lina raslimali fedha kiasi gani kuumizwa hazina kwa kuwahudumia hao wake za viongozi ?!!!
Tuna unafiki mwingi sana....
Huku mitaani mademu zetu kutwa kuchangia shughuli na kutoa zawadi ilihali wanatumia simu za vitochi zilizofungwa na "rubber band".....[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hapana, mbona huku mtaani hatuishi kama watakavyo wezi na vibaka bali tunawachoma moto? Ni muda wa kufikiria cha kuwafanya hawa wezi wavaa suti.Hii nchi ukiwa mnyonge au mlalahoi una option mbili tu, either uishi kama watakavyo mabwanyeye au uishie ukajitafutie pengine (hata burundi huko) uamuzi ni wako
Dah unakuta ana wake wanne.Wanalipwa kwa lipi wapumbav hawa wakati hawakuwa hata watumishi wa umma!!!! Mama Salima alishalipwa mafao yake ya ualimu tena bila kikokotoo,vivyo hivyo na mama Janet bila kikokotoo halafu wanataka tena mafao ya kulala kitanda kimoja na Marais wastaafu.!!!Only in Tz...shoo wapige wao,wa enjoy wao,wazae wao halafu tuwalipe sisi kwa Kodi zetu
Ujinga huo [emoji1787][emoji1787]Binafsi yake, hatopenda ukatwe kodi kwa ajili yake.
Anatakiwa apiganie na masheikh nao walipwe mishahara na DPW katika kipindi chote cha uwekaziji wao hapa nchini hapo ndio nitamuona kweli ni mdini mwenye kunufaisha dini kuliko kushabikia udini wa kutaka kuwe na viongozi wenye imani ya dini yake ila hakuna wanachofaidisha dini.
Kweli kabisa....hii comment ime andikwa na mtu ana tumia tecno F1 na si ajabu uka kuta ame type akiwa juu ya mkorosho uko nanjilinji
Sijakata tamaa bali siishi kwa akili za kushikiwa....Hehheee we ushakata tamaa umeona bora liende tu.
Kumbuka hawa hauishi nao mtaani, unaweza ukajikuta unaishia kufikiria tu, maana hata kuwaona wanaonekana kwenye tvHapana, mbona huku mtaani hatuishi kama watakavyo wezi na vibaka bali tunawachoma moto? Ni muda wa kufikiria cha kuwafanya hawa wezi wavaa suti.
Kaisome falsafa ya mama Samia ya R 4 uielewe, usikurupuke, pitia uzi nimeshangia mada.Anatakiwa apiganie na masheikh nao walipwe mishahara na DPW katika kipindi chote cha uwekaziji wao hapa nchini hapo ndio nitamuona kweli ni mdini mwenye kunufaisha dini kuliko kushabikia udini wa kutaka kuwe na viongozi wenye imani ya dini yake ila hakuna wanachofaidisha dini.
FaizaFoxy
Ndiyo kwanza unalielewa leo hiko? Soma mada hizi:Tanzania ina wasomi wajinga na wasio na elimu, mawazo Yao ni mafupi kama mkojo wa mwanamke, yapo mambo mengi sana ya hovyo yanayopitishwa na hao waitwao wasomi.
Ule mkusanyiko pale Dodoma wa wagonga meza usivyo na aibu wala kuangalia maslahi ya wengi utapitisha huo muswada tena bila kuhoji wakati mfuko wa taifa wa bima afya ukiwa umeondoa kifurushi cha 'toto afya' katika vifurushi vyao wakisingizia kufilisika kwa mfuko. Ajabu wao kutwa kucha kujiongezea mishahara na posho kwakweli hawastahili hata kukaa dk 1 madarakani wanatuchosha wananchi na kuichosha nchi pia.
Wapo ambao tunajua wanapoishi na wanapopita na magari yao tunaona.Kumbuka hawa hauishi nao mtaani, unaweza ukajikuta unaishia kufikiria tu, maana hata kuwaona wanaonekana kwenye tv