Nchi ya ajabu: Tunafuta bima ya afya ya watoto tunapitisha wake za vigogo walipwe posho

Nchi ya ajabu: Tunafuta bima ya afya ya watoto tunapitisha wake za vigogo walipwe posho

Hii ni point nzuri sana. Baadhi ya wachangiaji katika platforms mbalimbali hawajaigusia hii issue. Ningekuwa mwalimu nasahihisha paper yako ningekupa 'distinction' kuonyesha kuwa wewe ni original thinker na ume'treat' paper with independent judgement. Excellent!
.
 
Hii nchi ya ajabu sana, tupo tayari kuhakikisha vigogo na matajiri wanalindwa kwa namna yoyote huku tukigandamiza familia maskini ziendelee kurudi chini.

Wakati tunahaha namna gani watoto wapate matibabu bure bunge letu linapitisha kulipa wake za vigogo mafao ambayo ni mamilioni ya pesa!!

Kuna saa ukifikiri sana unaweza hisi tuna laana lakini akili za wasomi wetu kuna saa wanakuwa kama wajinga na wasio weza kufikiri.
Wajinga pia ni wanyonge wamaowapigia kura kwenye Serikali za mitaa.

Tatizo CCM inaiga será za Vyama pinzani hasa vile vya kibepari na kuacha misingi ya Chama cha Mapinduzi ambazo ni misingi ya Ujamaa , undugu ,utu, Hali, ukweli, na umoja pamoja na kujenga uwezo Wa Kila MTU Kujitegemea.

Nipeni hii Nchi Kwa miaka 10.
Kila MTU atasimama Kwa miguu yake halisi Kwa haki bila dhulma
 
Hii nchi ya ajabu sana, tupo tayari kuhakikisha vigogo na matajiri wanalindwa kwa namna yoyote huku tukigandamiza familia maskini ziendelee kurudi chini.

Wakati tunahaha namna gani watoto wapate matibabu bure bunge letu linapitisha kulipa wake za vigogo mafao ambayo ni mamilioni ya pesa!!

Kuna saa ukifikiri sana unaweza hisi tuna laana lakini akili za wasomi wetu kuna saa wanakuwa kama wajinga na wasio weza kufikiri.
UTASHANGAA SANA. NI NCHI YA KIPUMBAVU SANA. INA WATU WALAFI NA WACHOYO.
 
Hizo ni chuki tu za nafsi yako....

Hivi taifa lina raslimali fedha kiasi gani kuumizwa hazina kwa kuwahudumia hao wake za viongozi ?!!!

Tuna unafiki mwingi sana....

Huku mitaani mademu zetu kutwa kuchangia shughuli na kutoa zawadi ilihali wanatumia simu za vitochi zilizofungwa na "rubber band".....[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo tuwahudumie kwa sababu wana huo uhitaji au kwa ufahari tu kwa sababu upo huo uwezo wa kufanya hivyo?
 
Hii nchi ukiwa mnyonge au mlalahoi una option mbili tu, either uishi kama watakavyo mabwanyeye au uishie ukajitafutie pengine (hata burundi huko) uamuzi ni wako
Hapana, mbona huku mtaani hatuishi kama watakavyo wezi na vibaka bali tunawachoma moto? Ni muda wa kufikiria cha kuwafanya hawa wezi wavaa suti.
 
Wanalipwa kwa lipi wapumbav hawa wakati hawakuwa hata watumishi wa umma!!!! Mama Salima alishalipwa mafao yake ya ualimu tena bila kikokotoo,vivyo hivyo na mama Janet bila kikokotoo halafu wanataka tena mafao ya kulala kitanda kimoja na Marais wastaafu.!!!Only in Tz...shoo wapige wao,wa enjoy wao,wazae wao halafu tuwalipe sisi kwa Kodi zetu
Dah unakuta ana wake wanne.
 
Nasubiri maoni ya dada yangu FaizaFoxy

Ova
Anatakiwa apiganie na masheikh nao walipwe mishahara na DPW katika kipindi chote cha uwekaziji wao hapa nchini hapo ndio nitamuona kweli ni mdini mwenye kunufaisha dini kuliko kushabikia udini wa kutaka kuwe na viongozi wenye imani ya dini yake ila hakuna wanachofaidisha dini.
FaizaFoxy
 
hii comment ime andikwa na mtu ana tumia tecno F1 na si ajabu uka kuta ame type akiwa juu ya mkorosho uko nanjilinji
Kweli kabisa....

Ukubwa wa thamani ya simu ndio ukubwa wa ANALYSIS ya mambo ?!!![emoji1787][emoji1787]

Hujakosea...tajiri eeee F 1 ndio uwezo wangu wa kiuchumi [emoji1787][emoji1787]

Eneo umelikosea....niko hapa Majohe ubanda wa mama Lily!

Karibu Wanzuki[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hapana, mbona huku mtaani hatuishi kama watakavyo wezi na vibaka bali tunawachoma moto? Ni muda wa kufikiria cha kuwafanya hawa wezi wavaa suti.
Kumbuka hawa hauishi nao mtaani, unaweza ukajikuta unaishia kufikiria tu, maana hata kuwaona wanaonekana kwenye tv
 
Tanzania ina wasomi wajinga na wasio na elimu, mawazo Yao ni mafupi kama mkojo wa mwanamke, yapo mambo mengi sana ya hovyo yanayopitishwa na hao waitwao wasomi.
 
Anatakiwa apiganie na masheikh nao walipwe mishahara na DPW katika kipindi chote cha uwekaziji wao hapa nchini hapo ndio nitamuona kweli ni mdini mwenye kunufaisha dini kuliko kushabikia udini wa kutaka kuwe na viongozi wenye imani ya dini yake ila hakuna wanachofaidisha dini.
FaizaFoxy
Kaisome falsafa ya mama Samia ya R 4 uielewe, usikurupuke, pitia uzi nimeshangia mada.

Huwa nawashauri ukiikuta mada kabla hujakurupuka kuandika kwanza ipitie japo kijuujuu uelewe kinachojadiliwa na maoni ya wengine.

Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
 
Ule mkusanyiko pale Dodoma wa wagonga meza usivyo na aibu wala kuangalia maslahi ya wengi utapitisha huo muswada tena bila kuhoji wakati mfuko wa taifa wa bima afya ukiwa umeondoa kifurushi cha 'toto afya' katika vifurushi vyao wakisingizia kufilisika kwa mfuko. Ajabu wao kutwa kucha kujiongezea mishahara na posho kwakweli hawastahili hata kukaa dk 1 madarakani wanatuchosha wananchi na kuichosha nchi pia.
 
Tanzania ina wasomi wajinga na wasio na elimu, mawazo Yao ni mafupi kama mkojo wa mwanamke, yapo mambo mengi sana ya hovyo yanayopitishwa na hao waitwao wasomi.
Ndiyo kwanza unalielewa leo hiko? Soma mada hizi:



 
Ule mkusanyiko pale Dodoma wa wagonga meza usivyo na aibu wala kuangalia maslahi ya wengi utapitisha huo muswada tena bila kuhoji wakati mfuko wa taifa wa bima afya ukiwa umeondoa kifurushi cha 'toto afya' katika vifurushi vyao wakisingizia kufilisika kwa mfuko. Ajabu wao kutwa kucha kujiongezea mishahara na posho kwakweli hawastahili hata kukaa dk 1 madarakani wanatuchosha wananchi na kuichosha nchi pia.

View: https://youtu.be/I2kGeuyRlNs?si=1KrzqOOLMZUv8q6w
 
Back
Top Bottom