Nchi ya ajabu: Tunafuta bima ya afya ya watoto tunapitisha wake za vigogo walipwe posho

Nchi ya ajabu: Tunafuta bima ya afya ya watoto tunapitisha wake za vigogo walipwe posho

infact hatujitii mahangaiko ila tunasikitika kwamba wanaacha kugawa keki ya taifa kwa wote ila wanajipendelea.

by the way hizi trilion 26 nywele au hela???
Hela...na si makamasi....

Keki ya taifa hakuna mtanzania asiyoila.....

Unatumia barabara ambazo hazikujengwa kwa kodi yako tu....hili hulioni ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Unakuta kijana anapambia utafikiri ni mmoja wao, wakati hahitaji kwenda mbali kuuona umaskini, pengine mzazi wake tu huko alipo ni kudra za Mungu tu zinamweka. Huku chawa akijiaminisha pengine anavyowapambania siku moja zamu yake kula utafika, aweze kumuondoa mzazi wake gizani. Wazazi wa wenzake watajijua, maisha kupambana.
 
Wanalipwa kwa lipi wapumbav hawa wakati hawakuwa hata watumishi wa umma!!!! Mama Salima alishalipwa mafao yake ya ualimu tena bila kikokotoo,vivyo hivyo na mama Janet bila kikokotoo halafu wanataka tena mafao ya kulala kitanda kimoja na Marais wastaafu.!!!Only in Tz...shoo wapige wao,wa enjoy wao,wazae wao halafu tuwalipe sisi kwa Kodi zetu
BWANA amesema tuheshimu MAMLAKA ...wake za viongozi ni mama zetu wa TAIFA....tuna haki ya kuwahudumia ilivyo ainishwa[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
GENERALIZATION...

Hivi idadi ya wake wa hao vigogo iko kiasi gani ?!!!

Acha roho ya husuda....inakuumiza tu nafsi yako [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wewe ni mmojawao, kwako wewe wakiwa wangapi ndo wasipewe hiki tunachosema ni ulafi na ujinga mkubwa wa wasomi wa Kiafica wanaoishia kufikiria matumbo yao kuliko kuwatoa wananchi kwenye umasikini?
 
Aisee kwamba wealth ambayo wamekusanya ktk level mbalimbali za uongozi hadi kufikia Urais bado haziwatoshi wanataka walipwe zaidi na wake zao?

Ndio maana wanataka watufundishe katiba Mpya miaka mitatu.
Wanatudharau sana
Hakuna dharau yoyote ile....

Makasiriko ya nini....ilihali nami pia ni mtanzania na ninaridhia kodi yangu ikatwe tuwatunze mama zetu wa taifa?!!!

Hebu vuta pumzi kwa nguvu na uitoe taratibu KIMIKOGO [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
We hauna akili kabisa, sasa wake za viongozi walipwe mafao kwa kazi gani hasa walizofanya?!
Na vp kuhusu watumishi wengine waliostaafu, kwann wake zao nao wasilipwe hayo mafao...tena utakuta watumishi wamefanya kazi miaka mingi zaidi kabla hawajastaafu kuliko hao viongozi wako!.
Uchawa ni janga Tanzania.
Sasa idadi ya watumishi na wake zao unalinganisha na hao mama zetu wake wa viongozi ?!!! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sjui imeandika ktk vitabu vya dini sjui ni msemo wa wahenga mi sio mfuatiliaji sana wa mambo ila kuna msemo mmoja unasema mwenye nacho ataongezewa na yule asie na kitu ata kidgo alichonacho atanyanganywa
 
Hio Definition ameitoa nani na nilikubaliana nayo lini ? Unajuaje kama nilipiga Kura au wote waliokuwepo niliona ni non of the above ? Sijaona Mbunge anayemwakilisha mwananchi pale bali wanajiwakilisha wenyewe..., Hence this is on them..., And let the Record Show that I have nothing to do with their Shenanigans...
[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hio Definition ameitoa nani na nilikubaliana nayo lini ? Unajuaje kama nilipiga Kura au wote waliokuwepo niliona ni non of the above ? Sijaona Mbunge anayemwakilisha mwananchi pale bali wanajiwakilisha wenyewe..., Hence this is on them..., And let the Record Show that I have nothing to do with their Shenanigans...
Hiyo definition ipo kwenye Katiba sijabuni mimi.
Kama haukupiga kura uliacha haki yako isitende kazi ukawaachia wengine wakuchagulie usiye mtaka.
 
Unakuta kijana anapambia utafikiri ni mmoja wao, wakati hahitaji kwenda mbali kuuona umaskini, pengine mzazi wake tu huko alipo ni kudra za Mungu tu zinamweka. Huku chawa akijiaminisha pengine anavyowapambania siku moja zamu yake kula utafika, aweze kumuondoa mzazi wake gizani. Wazazi wa wenzake watajijua, maisha kupambana.
Umaskini wa wazazi wangu hauwezi kuondoka kwa kulipwa ama kutokulipwa hao mama zetu wake wa viongozi....

Kwa hiyo naridhika kodi yangu ikatwe ili taifa liweze kuwahudumia vyema [emoji120]

Karibu Wanzuki hapa ubandani kwa mama Lily Majohe Rada [emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni mmojawao, kwako wewe wakiwa wangapi ndo wasipewe hiki tunachosema ni ulafi na ujinga mkubwa wa wasomi wa Kiafica wanaoishia kufikiria matumbo yao kuliko kuwatoa wananchi kwenye umasikini?
Mimi ni mwananchi wa kawaida ninayeishi kwa "kuhurstle"...siilaumu serikali kwa kipato changu kidogo wala sililaumu dola kwa kuzaliwa familia ya kawaida.....

Nilikwenda shule....nikafundishika kuwa 2+2=si 22....

Ninatanguliza UHALISIA kwa mambo yasiyohitaji HISIA....

Karibu Wanzuki hapa ubandani Majohe G/Mboto[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sjui imeandika ktk vitabu vya dini sjui ni msemo wa wahenga mi sio mfuatiliaji sana wa mambo ila kuna msemo mmoja unasema mwenye nacho ataongezewa na yule asie na kitu ata kidgo alichonacho atanyanganywa
.....tuzitii mamlaka kwa maana zimetoka kwa MUNGU...[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
hii nchi ngumu saana.
Hii ee?!!
IMG_4155.JPG


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom