Hata akija mwingine kwani nini atafanya tofauti sana na aliyepo au tofauti sana na wote waliotangulia kabla yake ???!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata akija mwingine kwani nini atafanya tofauti sana na aliyepo au tofauti sana na wote waliotangulia kabla yake ???!!
Hii nchi ya ajabu sana, tupo tayari kuhakikisha vigogo na matajiri wanalindwa kwa namna yoyote huku tukigandamiza familia maskini ziendelee kurudi chini.
Wakati tunahaha namna gani watoto wapate matibabu bure bunge letu linapitisha kulipa wake za vigogo mafao ambayo ni mamilioni ya pesa!!
Kuna saa ukifikiri sana unaweza hisi tuna laana lakini akili za wasomi wetu kuna saa wanakuwa kama wajinga na wasio weza kufikiri.
Issue sio wako wangapi, issue ni fedha wanayochotaGENERALIZATION...
Hivi idadi ya wake wa hao vigogo iko kiasi gani ?!!!
Acha roho ya husuda....inakuumiza tu nafsi yako [emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kiazi ata wawe wawili awastahili kulipwa kodi zetuGENERALIZATION...
Hivi idadi ya wake wa hao vigogo iko kiasi gani ?!!!
Acha roho ya husuda....inakuumiza tu nafsi yako [emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unazani haelewi? Anaelewa sana tuIssue sio wako wangapi, issue ni fedha wanayochota
Hivi haujui mbunge wako au waziri anafanya kazi bungeni au serikalini kwa sababu ya mamlaka uliyompa kwenye sanduku la kura.Tumepitisha wapi ?, Sema wamepitisha unless na wewe ni kati ya waliopitisha hivyo nakwambia in Advance Acha Upuuzi.....
Noma sanaHii nchi ya ajabu sana, tupo tayari kuhakikisha vigogo na matajiri wanalindwa kwa namna yoyote huku tukigandamiza familia maskini ziendelee kurudi chini.
Wakati tunahaha namna gani watoto wapate matibabu bure bunge letu linapitisha kulipa wake za vigogo mafao ambayo ni mamilioni ya pesa!!
Kuna saa ukifikiri sana unaweza hisi tuna laana lakini akili za wasomi wetu kuna saa wanakuwa kama wajinga na wasio weza kufikiri.
infact hatujitii mahangaiko ila tunasikitika kwamba wanaacha kugawa keki ya taifa kwa wote ila wanajipendelea.....hata wakilipwa sawa na rais aliyepo haiumizi HAZINA ya taifa....
Mwakani DP WORLD watakuwa wanatuchangia TRILIONI 26 kila "fiscal year"....ni pesa nyingi mnoooo [emoji106]
Usijitie hamaniko kwa hivyo vitu vidogo[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hata wakipewa mara kumi ya hizo watakazokuwa wanapewa hawataridhika kamwe maana Amani katika mioyo huwa hailetwi na pesa !!Issue sio wako wangapi, issue ni fedha wanayochota
Wanalipwa kwa lipi wapumbav hawa wakati hawakuwa hata watumishi wa umma!!!! Mama Salima alishalipwa mafao yake ya ualimu tena bila kikokotoo,vivyo hivyo na mama Janet bila kikokotoo halafu wanataka tena mafao ya kulala kitanda kimoja na Marais wastaafu.!!!Only in Tz...shoo wapige wao,wa enjoy wao,wazae wao halafu tuwalipe sisi kwa Kodi zetuKiazi ata wawe wawili awastahili kulipwa kodi zetu
Aisee kwamba wealth ambayo wamekusanya ktk level mbalimbali za uongozi hadi kufikia Urais bado haziwatoshi wanataka walipwe zaidi na wake zao?Hata wangekuwa wawili tu,waume zao wanakuwa wameshatuibia sana wana mahela mengi sana wapotezewe tu pumbavu zao
We hauna akili kabisa, sasa wake za viongozi walipwe mafao kwa kazi gani hasa walizofanya?!GENERALIZATION...
Hivi idadi ya wake wa hao vigogo iko kiasi gani ?!!!
Acha roho ya husuda....inakuumiza tu nafsi yako [emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji2956][emoji2956]Hata akija mwingine kwani nini atafanya tofauti sana na aliyepo au tofauti sana na wote waliotangulia kabla yake ???!!
Soon wake wa vigogo wanakuja, jiandae kisaikolojia.Hii nchi ya ajabu sana, tupo tayari kuhakikisha vigogo na matajiri wanalindwa kwa namna yoyote huku tukigandamiza familia maskini ziendelee kurudi chini.
Wakati tunahaha namna gani watoto wapate matibabu bure bunge letu linapitisha kulipa wake za vigogo mafao ambayo ni mamilioni ya pesa!!
Kuna saa ukifikiri sana unaweza hisi tuna laana lakini akili za wasomi wetu kuna saa wanakuwa kama wajinga na wasio weza kufikiri.
Argumentum ad hominemLile ni bunge au kusanyiko la mapaka
....afadhali yenu ni nini ?!![emoji2][emoji2][emoji2]mkuu sisi darasa la saba naona afadhali
Fedha si tatizo....Issue sio wako wangapi, issue ni fedha wanayochota
Hio Definition ameitoa nani na nilikubaliana nayo lini ? Unajuaje kama nilipiga Kura au wote waliokuwepo niliona ni non of the above ? Sijaona Mbunge anayemwakilisha mwananchi pale bali wanajiwakilisha wenyewe..., Hence this is on them..., And let the Record Show that I have nothing to do with their Shenanigans...Hivi haujui mbunge wako au waziri anafanya kazi bungeni au serikalini kwa sababu ya mamlaka uliyompa kwenye sanduku la kura.
Anapitisha pale kwa niaba yako na take, ni kusema wewe umepitisha pia.
Wewe si mlipa kodi peke yako....Kiazi ata wawe wawili awastahili kulipwa kodi zetu