Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,152
- 9,206
Hata kama hawajaiba,tuwalipe kwa kazi gani??Hata wangekuwa wawili tu,waume zao wanakuwa wameshatuibia sana wana mahela mengi sana wapotezewe tu pumbavu zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama hawajaiba,tuwalipe kwa kazi gani??Hata wangekuwa wawili tu,waume zao wanakuwa wameshatuibia sana wana mahela mengi sana wapotezewe tu pumbavu zao
Basi jiapishe wewe uwe rais wetu...Hivi ni lazima aendelee kuwa Rais?
Hizo ni chuki tu za nafsi yako....Hata wangekuwa wawili tu,waume zao wanakuwa wameshatuibia sana wana mahela mengi sana wapotezewe tu pumbavu zao
Baada ya kunitukana haya umeshafika "mshindooorrrr"[emoji1787]Tumekusikia mke wa kigogo
Tupac Shakur meza mate machungu ,vuta pumzi na upumue....kuna ya maisha binafsi zaidi ya mambo ya wengine [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nchi ya kisenge sana hii.. watu hawajali wenzao, wanajali matumbo yao tu.
[emoji1787][emoji1787]Tumepitisha wapi ?, Sema wamepitisha unless na wewe ni kati ya waliopitisha hivyo nakwambia in Advance Acha Upuuzi.....
Kama hao wasomi ni wajinga na nyinyi msiosoma mtakuwa werevu?!!! [emoji1787][emoji1787]Wasomi wa hii nchi wengi ni WAJINGA PROMAX,,wameendekeza matumbo yao kwanza kabla ya nchi[emoji706][emoji706][emoji706]
....hata wakilipwa sawa na rais aliyepo haiumizi HAZINA ya taifa....rais,makamu,PM,JM,S,
hawa watu wakistaafu wanalipwa na kulelewa mpaka kufa+ 80% ya mshahara wa rais aliyepo.
kimahesabu hii 80% hain kazi kabisa maana hakuna anachofanya kwa hela yake mfukoni,jumlisha n uzee alio nao.
mama yetu mdogo anapendekeza walipwe na wao,ubunge haumtoshi[emoji23][emoji23],huyu hata anawezapendekeza wake za viongozi wastaafu walipwe sawa na rais aliyepo.
Umechanganyikiwa ?!!![emoji1787][emoji1787]Na watoto wao, ndugu, marafiki na majirani wapewe mafau au vipi bhana.
Mshana Jr mbona wewe ni mkubwa na mtu mwenye busara....
Burundi hiihii ?!!!Hii nchi ukiwa mnyonge au mlalahoi una option mbili tu, either uishi kama watakavyo mabwanyeye au uishie ukajitafutie pengine (hata burundi huko) uamuzi ni wako
Hivi Mshana unawajua watoto wa Mchengelwa?
Hata akija mwingine kwani nini atafanya tofauti sana na aliyepo au tofauti sana na wote waliotangulia kabla yake ???!!Hivi ni lazima aendelee kuwa Rais?
[emoji2][emoji2][emoji2]mkuu sisi darasa la saba naona afadhaliKama hao wasomi ni wajinga na nyinyi msiosoma mtakuwa werevu?!!! [emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app