Nchi ya ajabu: Tunafuta bima ya afya ya watoto tunapitisha wake za vigogo walipwe posho

Nchi ya ajabu: Tunafuta bima ya afya ya watoto tunapitisha wake za vigogo walipwe posho

Hilo la posho kama ni kweli wananchi tukilikubali tutakua wajinga wa kiwango cha mwisho duniani.Kwasabu hizo ni dharau nyingi sana watakua wametufanyia.
 
Mkuu hapa umecross red line.

Nathubutu kusema mimi siyo mjinga ndiyo maana siyo mbunge na sijawachagua hao
 
Kaisome falsafa ya mama Samia ya R 4 uielewe, usikurupuke, pitia uzi nimeshangia mada.

Huwa nawashauri ukiikuta mada kabla hujakurupuka kuandika kwanza ipitie japo kijuujuu uelewe kinachojadiliwa na maoni ya wengine.

Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Wewe umenielewa nilichokizungumzia kuhusu huo udini wako usiokuwa na faida kwenye dini?
 
GENERALIZATION...

Hivi idadi ya wake wa hao vigogo iko kiasi gani ?!!!

Acha roho ya husuda....inakuumiza tu nafsi yako [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kama unaona ilo ni sawa kwenye nchi kama hii isiyo na mbele wala nyuma utakua mjinga mwandamizi.Kwasababu ata kama angekua ni mmoja kumlipa ni ujinga.
 
hela za kununua magoli ya simba na yangu zipo ila BIMA YA WATOTO inamaliza hela..
 
Hii nchi ya ajabu sana, tupo tayari kuhakikisha vigogo na matajiri wanalindwa kwa namna yoyote huku tukigandamiza familia maskini ziendelee kurudi chini.

Wakati tunahaha namna gani watoto wapate matibabu bure bunge letu linapitisha kulipa wake za vigogo mafao ambayo ni mamilioni ya pesa!!

Kuna saa ukifikiri sana unaweza hisi tuna laana lakini akili za wasomi wetu kuna saa wanakuwa kama wajinga na wasio weza kufikiri.
Jamaa wapo ajili ya kuibia wanyonge pekee
 
Hii nchi ya ajabu sana, tupo tayari kuhakikisha vigogo na matajiri wanalindwa kwa namna yoyote huku tukigandamiza familia maskini ziendelee kurudi chini.

Wakati tunahaha namna gani watoto wapate matibabu bure bunge letu linapitisha kulipa wake za vigogo mafao ambayo ni mamilioni ya pesa!!

Kuna saa ukifikiri sana unaweza hisi tuna laana lakini akili za wasomi wetu kuna saa wanakuwa kama wajinga na wasio weza kufikiri.
Acha tulindane kwanza sisi tuendelee kula mema ya Nchi! Hao wengine badaeeeee!!!
 
Hii nchi ya ajabu sana, tupo tayari kuhakikisha vigogo na matajiri wanalindwa kwa namna yoyote huku tukigandamiza familia maskini ziendelee kurudi chini.

Wakati tunahaha namna gani watoto wapate matibabu bure bunge letu linapitisha kulipa wake za vigogo mafao ambayo ni mamilioni ya pesa!!

Kuna saa ukifikiri sana unaweza hisi tuna laana lakini akili za wasomi wetu kuna saa wanakuwa kama wajinga na wasio weza kufikiri.
Na wabunge wameongezewa posho. Wananchi wamelala huku. Vijana wanajadili sex na mpira muda wote. Wacha wapigike.
 
IMG_4146.jpg
 
Niliwahi kutoa maoni hapa. Ingependeza sana. Kuliko kutoa milioni 92 kuchangia zawadi ndondo cup, au milioni 500 zawadi kwa Taifa Stars, na kununua magoli ya Simba na Yanga kimataifa, basi wangelekeza fedha hizo mahali hapa.

 
Wapo tayari kuona watoto wa wanyonge wanakufa
I wish wananchi wangekuwa wadadisi na kuona jinsi kulivyo na vifo vingi vinavyotokana na huu uongozi mbovu wa CCM wangechoma nchi moto. Nchi yenye umaskini eti kuna mtu anaitwa naibu waziri mkuu na anatembea na ulinzi wa watu wengi, ukihoji kuna wajinga wanasema ''kwani hujui ni waziri mkuu, anastahili.'' Rais anafanya kufuru ya kutowa fedha nyingi kwa wachezaji wa mpira, watu wanashangilia. Wabunge wanaongeza mshahara maradufu watu wanajadili bongo flavour. Acha wapigike mpaka kunako..
 
Hii nchi ya ajabu sana, tupo tayari kuhakikisha vigogo na matajiri wanalindwa kwa namna yoyote huku tukigandamiza familia maskini ziendelee kurudi chini.

Wakati tunahaha namna gani watoto wapate matibabu bure bunge letu linapitisha kulipa wake za vigogo mafao ambayo ni mamilioni ya pesa!!

Kuna saa ukifikiri sana unaweza hisi tuna laana lakini akili za wasomi wetu kuna saa wanakuwa kama wajinga na wasio weza kufikiri.
Tumebaki na kete mbili tu ili ujinga na upumbavu wa kwenye mnduku kama huo uishe,1.maandamano none stop nchi nzima 2.mapinduzi ya kijeshi .hao akina Salma kikwete na hoja zao ndio ile ile aina ya wabunge wapumbavu tunaozungumzia kila siku ambao hawajali mtu yoyote na wamelewa hivyo hawamtambui mtu yoyote zaidi matumbo na familia zao.
 
Hii nchi ya ajabu sana, tupo tayari kuhakikisha vigogo na matajiri wanalindwa kwa namna yoyote huku tukigandamiza familia maskini ziendelee kurudi chini.

Wakati tunahaha namna gani watoto wapate matibabu bure bunge letu linapitisha kulipa wake za vigogo mafao ambayo ni mamilioni ya pesa!!

Kuna saa ukifikiri sana unaweza hisi tuna laana lakini akili za wasomi wetu kuna saa wanakuwa kama wajinga na wasio weza kufikiri.
Hii ni laana si bure. Viongozi wamekuwa na tamaa iliyopitiliza na kutokuwa na huruma kabisa kwa wananchi waliowachagua.
 
I wish wananchi wangekuwa wadadisi na kuona jinsi kulivyo na vifo vingi vinavyotokana na huu uongozi mbovu wa CCM wangechoma nchi moto. Nchi yenye umaskini eti kuna mtu anaitwa naibu waziri mkuu na anatembea na ulinzi wa watu wengi, ukihoji kuna wajinga wanasema ''kwani hujui ni waziri mkuu, anastahili.'' Rais anafanya kufuru ya kutowa fedha nyingi kwa wachezaji wa mpira, watu wanashangilia. Wabunge wanaongeza mshahara maradufu watu wanajadili bongo flavour. Acha wapigike mpaka kunako..
Ukweli huu uongozi ni mbovu sn
 
Hii nchi ya ajabu sana, tupo tayari kuhakikisha vigogo na matajiri wanalindwa kwa namna yoyote huku tukigandamiza familia maskini ziendelee kurudi chini.

Wakati tunahaha namna gani watoto wapate matibabu bure bunge letu linapitisha kulipa wake za vigogo mafao ambayo ni mamilioni ya pesa!!

Kuna saa ukifikiri sana unaweza hisi tuna laana lakini akili za wasomi wetu kuna saa wanakuwa kama wajinga na wasio weza kufikiri.
Hoja hii ya kuwalipa wenza wa viongozi ilipelekwa bungeni na mtu mpumbavu asiyejua hata wakati na nn aongee na kwa sababu ilitoka kwa mtu mpumbavu ndio maana hata hoja yenyewe ni ya kipumbavu tu.Na Bunge kama lina wenye Akili wala upumbavu huu haupaswi kujadiliwa na wenye akili.huu ni wa kubeba na kutupa chooni.
 
Hoja hii ya kuwalipa wenza wa viongozi ilipelekwa bungeni na mtu mpumbavu asiyejua hata wakati na nn aongee na kwa sababu ilitoka kwa mtu mpumbavu ndio maana hata hoja yenyewe ni ya kipumbavu tu.Na Bunge kama lina wenye Akili wala upumbavu huu haupaswi kujadiliwa na wenye akili.huu ni wa kubeba na kutupa chooni.
Imeshapitishwa mkuu + kuwekewa kinga
 
Back
Top Bottom