Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Norge Sweden wote nao wanajpanga kujiunga.....Sijui Finland kaona russia hatakuwa na power ya kupiga Nchi zote so kaona hapa hapa wakati mruusi anazubaa na ukraine yeye ajiunge...
?
Mfano nchi mbili zikitangaza kujiunga na NATO mtusi ataweza kuzipiga hizo nchi zote ama ndio atazidi kudhoofishwa ?
Wawezakuta NATO na EU wana uwepo wao hapo na hata hao Raia wazalendo walioomba kujiunga na hilo jeshi ni wa mchongo tu
You need to educate yourself... huyu mwehu ataumiza watu sana! Exactly behaviour zile zile za Hitler!
Raia wengi wa Russia na dunia itaanza kumtilia mashaka putin na utawala wake.Sijui Finland kaona russia hatakuwa na power ya kupiga Nchi zote so kaona hapa hapa wakati mruusi anazubaa na ukraine yeye ajiunge...
?
Mfano nchi mbili zikitangaza kujiunga na NATO mtusi ataweza kuzipiga hizo nchi zote ama ndio atazidi kudhoofishwa ?
Hata supa pawa wako akitaka hata vamia tz ataita collabo la wana wake, wakati master show anaisimamia mwenyewe.
Nimeona supa pawa wako yani US, Australi, na UK wamemtumia mwaliko Japan aungane nao katika kutengeneza silaha za hypersonic.
Mrusi na Mchina ndio wazee wa one man show waliobaki
Watu wajinga Tu ndo watamtilia mashakaRaia wengi wa Russia na dunia itaanza kumtilia mashaka putin na utawala wake.
Acha kuotaPutin anachezewa hatari. Mmarekani sio wakushindana nae ni mnafki, mchonganishi. Mfitinashaji, wauaji, na hashindwagi. Putin kaingia cha kike kinachosubiwa ni uhai wake tuu.
subiri utaona mwisho wa hii ngoma.Acha kuota
Chaji simu kwanza
Mwandalie mafuta na kipande cha godoro maana atachoka kuchuma mchicha mwaka huu hawa jamaa ni fireNgoja Putin awanyooshe
Watu mmejichokea nimetoka huku mbio kujua huyu anayeambiwa achaji simu imekuwaje wafikie hapoChaji simu kwanza