China is not a threat to USAnatafuta kunyooshwa. Na safari hii Urusi itasambaratishwa kabisa. Kumbuka huu ni mkakati wa Ulaya Magharibi pamoja na Marekani wa kuisambaratisha kabisa Urusi. Next, China!
Albert Enstein, anajulikana dunia nzima haijalishi unajua kiyahudi au hujui, Archimedes twamsoma tangu shule ya msingi haijalishi unajua kiyunani au hujui, Ohms twamsoma tangu shule ya msingi haijalishi unajua kijerumani au hujui Michael Faraday tumemsoma haijalishi twajua English au hatujui kazi/tafiti zao zinajulikana duniani kote na utawasoma tu kwenye lugha yako sasa why hao wa urusi mpaka ujue kirusi ndo uwajue? sizungumzii wingi wa wanasayansi nazungumzia kazi zao kutambulika dunia nzima na kusomwa kizazi mpaka kizazi na tafiti kuwa za kwanza. Kama wingi wa wanasayansi hata bongo tz tunao wengi tu hata hayati JPM alikuwa mwanasayansi lakini je kazi/tafiti zake zinajulikana dunia nzima? zinasomwa kizazi hata kizazi kwa kiwango cha hao niliowataja? na sijasema kuwa kuwa hawana no wanao mf ivan pavlov ila si wengi kiasi cha mfano ile ugiriki ya kale.Hata sasa wana sayansi wanao wengi tatizo unajua Lugha ya Russia ?
Achana na US, anza na UK tu. UK kapeleka Javeline, kazima misafara ya siafu wa Urusi, baadae akapeleka Anti Ship Missiles, jana imezamishwa meli kubwa zaidi ya Kirusi, meli tegemezi ktk operations za Urusi na Ulinzi.Nimegundua US huwa ana vitu ambavyo hatuvijui ila viko effective
Kama unafikiri kuwa na nyuklia warheads nyingi ndio kuwa na nguvu basi umewaka.Hakuna nchi yenye nguvu ya kinyuklia Zaidi ya Russia.Russia anaongoza akifuatiwa na Marekani.
SAHIHISHO: Javelin anti tank missile ni silaha ya kimarekani na sio ya kiingereza.Achana na US, anza na UK tu. UK kapeleka Javeline, kazima misafara ya siafu wa Urusi, baadae akapeleka Anti Ship Missiles, jana imezamishwa meli kubwa zaidi ya Kirusi, meli tegemezi ktk operations za Urusi na Ulinzi.
wanamsaka mchawi kimya kimya akiwa analoga kwa jiraniNchi ya Finland inayoshare mpaka wa ardhini na nchi ya Urusi imeanza maandalizi ya vita kwa kile kinachoonekana mpaka sasa kama wasiwasi wa kutokea uvamizi muda wowote kutoka kwa mbabe wa mchongo(mrusi)
mpaka sasa zaidi ya vijana elfu 55 wazalendo wa Finland wamekwishajiunga na mafunzo ya hiari ya kijeshi na maelfu wengine wakiwa wametuma maombi ya kujiunga na mafunzo hayo
kwa taarifa zilizopo sasa ni kuwa nchi ya Urusi tayari imeshapeleka mitambo yake ya ulinzi wa anga kwenye mpaka wake na Finland kwa sababu ambazo mpaka sasa hazijawa wazi
Hapo kwenye Denmark weka Sweden kwani Denmark tayari ni mwanachama wa Nato wa muda mrefu.Kwanza kabisa niseme kwamba,hata uliyoyaandika ni matamanio yako kuona Urusi ikifanya hivyo na Wala hakuna sehemu ambapo Urusi imesema itapeleka makombora ya Nyuklia kwenye mpaka na Finnland and Denmark,Kwahiyo Punguza Mahaba kijana. Putin kasema kwamba,Endapo Finnland na Denmark zikijiunga na NATO,hazitapata faida yoyote ile Bali zitasababisha kusambaratika kwa nchi zao.
Pili,Endapo Urusi akifanya hivyo yaani Ku-INSTALL Nuclear Missiles kwenye Mipaka ya Finland Na Denmark,Basi hiyo itasababisha Nchi Hizo Kukaribisha (HOST) Makombora ya Nyuklia ya Marekani au UK kwenye Mpaka wa Nchi Hizo na Urusi (Kama Finland na Denmark watakuwa wanachama wa NATO). Hili Ni Pigo kubwa kwa Urusi kwasababu Adui wa Urusi si Finland Wala Denmark Bali ni Marekani. Urusi inafanya juu chini kuepuka Hilo.
Ingekuwa hivyo eti inapelekea uchumi wetu kupaa ingekuwa raha sana lakini kwa bahati mbaya ndiyo unazidi kusambaratika kabisa.Wazungu acha watwangane tu, sio kila mara vita viwe Afrika
Akina dikteta Putin ndio wale wa Punda afe lakini mzigo ufike.🤣🤣🤣... unike the eastern world, kuna kitu kimoja kinaiumiza kichwa western world kwenye medani za kivita - how to save lives? Wakati Russia yeye kuuwa kwa halaiki including wanajeshi wake mwenyewe kuteketezwa vitani kwake sio issue as long ushindi upo.
Baada ya ugaidi (maximum casualties philosophy), wanaofuatia kutojali maisha ni wakomunisti. Hii inaleta changamoto sana kupigana na wendawazimu kama hawa.
... mwisho wake umekaribia sana! Anguko lake li dhahiri.Putin ni lazima afe na Urusi itaomba msamaha kwa dunia
sababu Finland anataka kujiunga na NATO Ndo maana mrusi anajihamiNchi ya Finland inayoshare mpaka wa ardhini na nchi ya Urusi imeanza maandalizi ya vita kwa kile kinachoonekana mpaka sasa kama wasiwasi wa kutokea uvamizi muda wowote kutoka kwa mbabe wa mchongo(mrusi)
mpaka sasa zaidi ya vijana elfu 55 wazalendo wa Finland wamekwishajiunga na mafunzo ya hiari ya kijeshi na maelfu wengine wakiwa wametuma maombi ya kujiunga na mafunzo hayo
kwa taarifa zilizopo sasa ni kuwa nchi ya Urusi tayari imeshapeleka mitambo yake ya ulinzi wa anga kwenye mpaka wake na Finland kwa sababu ambazo mpaka sasa hazijawa wazi
You're absolutely right!China is not a threat to US
Hiyo ni lugha tu ya kikubwa lakini hakika watajiunga, ni sawa na vile Russia alivyokuwa anasema anafanya tu mazoezi mpakani mwa Ukraine wakati US anasema lengo ni kuvamia.Hata hivyo bado Finland haijiamini! Imesema ndani ya wiki chache zijazo huenda ikafikiria kuomba uanachama wa NATO.
US hanaga makelele,yeye anfanya kimya kimya.Makelele mengi wanayo wakomunistNimegundua US huwa ana vitu ambavyo hatuvijui ila viko effective
Kikanda hao nimuhimu Sana hasa japanHata supa pawa wako akitaka hata vamia tz ataita collabo la wana wake, wakati master show anaisimamia mwenyewe.
Nimeona supa pawa wako yani US, Australi, na UK wamemtumia mwaliko Japan aungane nao katika kutengeneza silaha za hypersonic.
Mrusi na Mchina ndio wazee wa one man show waliobaki
Tatizo hata viza yenyewe tu hutopata,nenda Russia viza nnje nnje [emoji3]Acha nikajiunge na jeshi la Finland,nipambane kimchongo huku nikitoa siri za jeshi la Finland kwa The Great Mother Russia
Russia all the way
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]DahUtatuleteaje chombo cha propaganda ambacho hakiaminiki! Tuletee RT ndo tutaamini, tofauti na hapo basi hizo ni propaganda tu, lete RT.
Tulia ww wote watachapwa at the same time...Putin kashikwa pabaya mwaka huu fikiria kule Ukraine kashindwa kuikamata kyiv sasa ndio aende Sweden & Finland kwa wakati mmoja