Kazi iendeleeeee
Member
- Jul 6, 2022
- 70
- 71
Nashindwa kuelewa kabisa Yani kwamba kuna mgao wa umeme au laaa. Tangu asubuhi huku Msasani hakuna umeme na hakuna taarifa zozote, hiyo haitoshi Jana maji hakuna leo yapo, umeme hakuna. Sasa haya Maji Sijui yanapandaje Kwenye tenki .
Sometimes unashikwa na hasira hakuna shughuli yoyote Maana source zote muhimu hakuna watu wanajiamulia tu kukataa umeme, kuzima Maji Sasa ule mradi wa Kigamboni una maana gani wananchi tushachoka sasa.
Sometimes unashikwa na hasira hakuna shughuli yoyote Maana source zote muhimu hakuna watu wanajiamulia tu kukataa umeme, kuzima Maji Sasa ule mradi wa Kigamboni una maana gani wananchi tushachoka sasa.