passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Ninazo ndo maana nakemea mambo ovyo yanayoendelea kwenye nchi yetu.wakati wewe unasapoti hayo manvo ovyo.Wewe unazo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninazo ndo maana nakemea mambo ovyo yanayoendelea kwenye nchi yetu.wakati wewe unasapoti hayo manvo ovyo.Wewe unazo?
Ya hovyo Kama yapi?Ninazo ndo maana nakemea mambo ovyo yanayoendelea kwenye nchi yetu.wakati wewe unasapoti hayo manvo ovyo.
Madelu anasema mtazoea tu.Nashindwa kuelewa kabisa Yani kwamba kuna mgao wa umeme au laaa. Tangu asubuhi huku Msasani hakuna umeme na hakuna taarifa zozote, hiyo haitoshi Jana maji hakuna leo yapo, umeme hakuna. Sasa haya Maji Sijui yanapandaje Kwenye tenki .
Sometimes unashikwa na hasira hakuna shughuli yoyote Maana source zote muhimu hakuna watu wanajiamulia tu kukataa umeme, kuzima Maji Sasa ule mradi wa Kigamboni una maana gani wananchi tushachoka sasa.
Kama mahali hapakufai "HAMA"ID yako imenifanya nikuone wewe ndio wa hovyo zaidi
Na hili nalo nendeni mkaliangalie kwa karibu sana!! Asanteni sana! Na Kazi iendeleeeee!!Nashindwa kuelewa kabisa Yani kwamba kuna mgao wa umeme au laaa. Tangu asubuhi huku Msasani hakuna umeme na hakuna taarifa zozote, hiyo haitoshi Jana maji hakuna leo yapo, umeme hakuna. Sasa haya Maji Sijui yanapandaje Kwenye tenki .
Sometimes unashikwa na hasira hakuna shughuli yoyote Maana source zote muhimu hakuna watu wanajiamulia tu kukataa umeme, kuzima Maji Sasa ule mradi wa Kigamboni una maana gani wananchi tushachoka sasa.
Tulia wwe! Umesahau kua umauti ndiyo umekatiza mipango mizuri ya Magu! Na kaondoka na plani yake kichwani, ndiyo maana waliobaki Sasa ni Kama wanaweweseka vile, kila kukichaa wao wakaa vikao tu hadi vikao vya ajali ya ndege, wakati Wataalamu wenyewe wa Ndege wapo kazini!!!Kwa hiyo Kama imeuzwa? Kwa Nini hakuwamalizia bwawa Sasa ili mnunue kwa 300?
Kinachotakiwa Ni matokeo au Nia?
tumeshindwa ku address na kulimaliza kabisa tatizo la umeme kwa miaka 60, tangu Rais Mkapa nchi imekuwa iki strugle ni umeme umeme, ukitaka kujua matatizo ya nchi hii mvua isinyeshe - umeme na maji tatizo, mvua ikinyesha kwa wingi mafuriko na madibwi mijini hasa Dar.Nashindwa kuelewa kabisa Yani kwamba kuna mgao wa umeme au laaa. Tangu asubuhi huku Msasani hakuna umeme na hakuna taarifa zozote, hiyo haitoshi Jana maji hakuna leo yapo, umeme hakuna. Sasa haya Maji Sijui yanapandaje Kwenye tenki .
Sometimes unashikwa na hasira hakuna shughuli yoyote Maana source zote muhimu hakuna watu wanajiamulia tu kukataa umeme, kuzima Maji Sasa ule mradi wa Kigamboni una maana gani wananchi tushachoka sasa.
Alikuwa hovyo ndio maana akalanzwa huko chini..Tulia wwe! Umesahau kua umauti ndiyo umekatiza mipango mizuri ya Magu! Na kaondoka na plani yake kichwani, ndiyo maana waliobaki Sasa ni Kama wanaweweseka vile, kila kukichaa wao wakaa vikao tu hadi vikao vya ajali ya ndege, wakati Wataalamu wenyewe wa Ndege wapo kazini!!!
Embu achen kutus viongoz BaSi mbon mna mihemkoAlikuwa hovyo ndio maana akalanzwa huko chini..
Dah 😪 leo mmeangalia mswali na majibu wahariri na tenesco majibu tuliyowepo acha tutumeshindwa ku address na kulimaliza kabisa tatizo la umeme kwa miaka 60, tangu Rais Mkapa nchi imekuwa iki strugle ni umeme umeme, ukitaka kujua matatizo ya nchi hii mvua isinyeshe - umeme na maji tatizo, mvua ikinyesha kwa wingi mafuriko na madibwi mijini hasa Dar.
Hivi sisi watanzania tuna matatizo gani? kuna sehemu hatupo sawa kichwani.
Una kopi na kupest ayo maneno ya awo viongoz wakoUkame,maji ya kupampu hakuna,hata hivyo mipango imetimia huko kigamboni,utapata maji Kama kawaida,ama kwa upande wa umeme vumilia,maana jiwe aliambiwa amalizie project za umeme wa gesi kinyerezi,akakirupukia umeme wa maji rufiji kana kwamba mvua huleta yeye,bwawa hakuna,kinyerezi hakuna,badala ya kutumia midomo yako kulamba nyuchi itumie kuomba mvua mabwawa yajae