Nchi ya ovyo sana hii umeme hakuna, maji yanatoka kwa mashaka

Nchi ya ovyo sana hii umeme hakuna, maji yanatoka kwa mashaka

Nashindwa kuelewa kabisa Yani kwamba kuna mgao wa umeme au laaa. Tangu asubuhi huku Msasani hakuna umeme na hakuna taarifa zozote, hiyo haitoshi Jana maji hakuna leo yapo, umeme hakuna. Sasa haya Maji Sijui yanapandaje Kwenye tenki .

Sometimes unashikwa na hasira hakuna shughuli yoyote Maana source zote muhimu hakuna watu wanajiamulia tu kukataa umeme, kuzima Maji Sasa ule mradi wa Kigamboni una maana gani wananchi tushachoka sasa.
Madelu anasema mtazoea tu.
 
Nashindwa kuelewa kabisa Yani kwamba kuna mgao wa umeme au laaa. Tangu asubuhi huku Msasani hakuna umeme na hakuna taarifa zozote, hiyo haitoshi Jana maji hakuna leo yapo, umeme hakuna. Sasa haya Maji Sijui yanapandaje Kwenye tenki .

Sometimes unashikwa na hasira hakuna shughuli yoyote Maana source zote muhimu hakuna watu wanajiamulia tu kukataa umeme, kuzima Maji Sasa ule mradi wa Kigamboni una maana gani wananchi tushachoka sasa.
Na hili nalo nendeni mkaliangalie kwa karibu sana!! Asanteni sana! Na Kazi iendeleeeee!!
 
Kwa hiyo Kama imeuzwa? Kwa Nini hakuwamalizia bwawa Sasa ili mnunue kwa 300?

Kinachotakiwa Ni matokeo au Nia?
Tulia wwe! Umesahau kua umauti ndiyo umekatiza mipango mizuri ya Magu! Na kaondoka na plani yake kichwani, ndiyo maana waliobaki Sasa ni Kama wanaweweseka vile, kila kukichaa wao wakaa vikao tu hadi vikao vya ajali ya ndege, wakati Wataalamu wenyewe wa Ndege wapo kazini!!!
 
Nashindwa kuelewa kabisa Yani kwamba kuna mgao wa umeme au laaa. Tangu asubuhi huku Msasani hakuna umeme na hakuna taarifa zozote, hiyo haitoshi Jana maji hakuna leo yapo, umeme hakuna. Sasa haya Maji Sijui yanapandaje Kwenye tenki .

Sometimes unashikwa na hasira hakuna shughuli yoyote Maana source zote muhimu hakuna watu wanajiamulia tu kukataa umeme, kuzima Maji Sasa ule mradi wa Kigamboni una maana gani wananchi tushachoka sasa.
tumeshindwa ku address na kulimaliza kabisa tatizo la umeme kwa miaka 60, tangu Rais Mkapa nchi imekuwa iki strugle ni umeme umeme, ukitaka kujua matatizo ya nchi hii mvua isinyeshe - umeme na maji tatizo, mvua ikinyesha kwa wingi mafuriko na madibwi mijini hasa Dar.

Hivi sisi watanzania tuna matatizo gani? kuna sehemu hatupo sawa kichwani.
 
Tulia wwe! Umesahau kua umauti ndiyo umekatiza mipango mizuri ya Magu! Na kaondoka na plani yake kichwani, ndiyo maana waliobaki Sasa ni Kama wanaweweseka vile, kila kukichaa wao wakaa vikao tu hadi vikao vya ajali ya ndege, wakati Wataalamu wenyewe wa Ndege wapo kazini!!!
Alikuwa hovyo ndio maana akalanzwa huko chini..
 
tumeshindwa ku address na kulimaliza kabisa tatizo la umeme kwa miaka 60, tangu Rais Mkapa nchi imekuwa iki strugle ni umeme umeme, ukitaka kujua matatizo ya nchi hii mvua isinyeshe - umeme na maji tatizo, mvua ikinyesha kwa wingi mafuriko na madibwi mijini hasa Dar.

Hivi sisi watanzania tuna matatizo gani? kuna sehemu hatupo sawa kichwani.
Dah 😪 leo mmeangalia mswali na majibu wahariri na tenesco majibu tuliyowepo acha tu
 
Ukame,maji ya kupampu hakuna,hata hivyo mipango imetimia huko kigamboni,utapata maji Kama kawaida,ama kwa upande wa umeme vumilia,maana jiwe aliambiwa amalizie project za umeme wa gesi kinyerezi,akakirupukia umeme wa maji rufiji kana kwamba mvua huleta yeye,bwawa hakuna,kinyerezi hakuna,badala ya kutumia midomo yako kulamba nyuchi itumie kuomba mvua mabwawa yajae
Una kopi na kupest ayo maneno ya awo viongoz wako
 
CCM unasubiria mlipuko mwingine wa ugonjwa tupewe hela tujengee mabwawa tujisifu
 
Back
Top Bottom