Nchi ya ovyo sana hii umeme hakuna, maji yanatoka kwa mashaka

Nchi ya ovyo sana hii umeme hakuna, maji yanatoka kwa mashaka

Unajua kwann chuma alienda Kweny maji Kwa sababu ges ishauzwa Mzee na serikali inanunua ges kuzalisha umeme na ndio Maana ameenda alikua na nia nzuri ajakosea Wala maana matajorio yalikua kununua umeme point 2. Kwa shilling mia 3 tufout na Sasa Kwa buku
Gesi imeuzwa wapi wewe!?..unaleta porojo za mitaani!!..iliuzwa lini, kauziwa nani!?
 
Nashindwa kuelewa kabisa Yani kwamba Kuna mgao wa umeme au laaa Tangu asabuh uku msasan akuna umeme na akuna taarifa zozote iyo aitoshi Jana maji akuna leo yapo umeme akuna Sasa Aya Maji Sijui yanapandaje Kweny tenki sometimes unashikwa na hasira akuna shughul yoyote Maana source Zote muhimu akuna Watu wanajiamulia tu kukataa umeme kuzima Maji Sasa ule mradi wa kigambon unamaana Gani wanachi tushachoka Sasa
 

Attachments

  • EBB35BE8-D706-4171-A2C4-799B75B55CF1.jpeg
    EBB35BE8-D706-4171-A2C4-799B75B55CF1.jpeg
    112 KB · Views: 3
Vyote vipo kwenye mgao shida yako ni Nini?
Huna uwezo wa kufikiri ndio maana huoni tatizo. Sasa hivi ni zaidi ya mwaka 60 tangu tupate Uhuru lakini bado tunaongelea mgao wa maji na umeme huku tumezungukwa na mito na maziwa. Kibaya zaidi Hali ni mbaya kwenye utawala huu kuliko utawala mwingine.
 
Ukame,maji ya kupampu hakuna,hata hivyo mipango imetimia huko kigamboni,utapata maji Kama kawaida,ama kwa upande wa umeme vumilia,maana jiwe aliambiwa amalizie project za umeme wa gesi kinyerezi,akakirupukia umeme wa maji rufiji kana kwamba mvua huleta yeye,bwawa hakuna,kinyerezi hakuna,badala ya kutumia midomo yako kulamba nyuchi itumie kuomba mvua mabwawa yajae
Wakati wa JPM umeme haukuwa unakatika kama ilivyo sasa.
Acha kupotosha watu.
 
Wakati wa JPM umeme haukuwa unakatika kama ilivyo sasa.
Acha kupotosha watu.
Na ndio maana mmekuambiaa ivyo Kwa Sasa wanataka tuamin mrad wa bwawa la Nyerere auna Maana bola gesi ambayo tununua 1000 Kwa unit
 
Na kunuka jasho kuendelee ,mpaka dumu muanze kununua kwa shilingi 10000 ndio akili ziwarudi , wanalumumba tena nyie ndio mminywe mpaka maji Muite mma .
Ndorobo wakubwa nyie
Ndorobo sisi wananchi au viongoz nyoooshaa maelezo kidgo
 
Hujalazimishwa kuishi tz, kama hapa umeme hakuna na maji nenda Kenya, Somalia au Uganda hata Ulaya. Tusisumbuane we unajua kabisa mito imekauka hata Ruvu imekata unataka umeme na maji kojoa unywe!
We akili Una mpumbavu we Bila Shaka Kula kulala kojoa ukafunue poti ule kipolo ukacheze game
 
Back
Top Bottom