Kazi iendeleeeee
Member
- Jul 6, 2022
- 70
- 71
Maji Ni uhai, hilo sio la kuzoeleka, watu hata kuoga inakuwa shidaIla bila haswaaaaa maji inabadili maisha ya mtu ya kila siku.. ki nguvu na ki akili..
Tunawaombea wanaopitia wakati mgumu huu.. inabidi kuzoea tu.. au???
Kazi iendelee...
Sijui wanatukuliache Kila kukicha wanakopa tu hakuna Cha maanaMaji Ni uhai,ilo sio la kuzoeleka ,watu ata kuoga inakua shida
Ila bila haswaaaaa maji inabadili maisha ya mtu ya kila siku.. ki nguvu na ki akili..
Tunawaombea wanaopitia wakati mgumu huu.. inabidi kuzoea tu.. au???
Kazi iendelee...
Ni dhambi sana kukakataa kiongozi Wako Kwa tamaduni Zenu za kitanzania anapokesea lazima aambiwe hakuna mkamilifuID yako imenifanya nikuone wewe ndio wa hovyo zaidi
Unajua kwanini chuma alienda Kwenye maji Kwa sababu gesi ishauzwa Mzee na Serikali inanunua ges kuzalisha umeme na ndio Maana ameenda alikua na nia nzuri ajakosea Wala maana matajorio yalikua kununua umeme point 2. Kwa shilling mia 3 tufout na Sasa Kwa bukuUkame,maji ya kupampu hakuna,hata hivyo mipango imetimia huko kigamboni,utapata maji Kama kawaida,ama kwa upande wa umeme vumilia,maana jiwe aliambiwa amalizie project za umeme wa gesi kinyerezi,akakirupukia umeme wa maji rufiji kana kwamba mvua huleta yeye,bwawa hakuna,kinyerezi hakuna,badala ya kutumia midomo yako kulamba nyuchi itumie kuomba mvua mabwawa yajae
Dah ni Kweli nahisi hiyo mikopo wanayotoa wangekuja kujenga wenyewe viongozi Wetu wameshindwa kabisa kitimizaAhahahaha
Serikali imesema ukajifunze matumizi ya H pamoja na irabu 5 ndipo itaacha kukata umeme na maji.
Twende Ulaya tukadai kutawaliwa na Wazungu.
Naunga mkono hoja
Vyote vipo kwenye mgao shida yako ni nini?Nashindwa kuelewa kabisa Yani kwamba Kuna mgao wa umeme au laaa Tangu asabuh uku msasan akuna umeme na akuna taarifa zozote iyo aitoshi Jana maji akuna leo yapo umeme akuna Sasa Aya Maji Sijui yanapandaje Kweny tenki sometimes unashikwa na hasira akuna shughul yoyote Maana source Zote muhimu akuna Watu wanajiamulia tu kukataa umeme kuzima Maji Sasa ule mradi wa kigambon unamaana Gani wanachi tushachoka Sasa
Kwa hiyo Kama imeuzwa? Kwa Nini hakuwamalizia bwawa Sasa ili mnunue kwa 300?Unajua kwann chuma alienda Kweny maji Kwa sababu ges ishauzwa Mzee na serikali inanunua ges kuzalisha umeme na ndio Maana ameenda alikua na nia nzuri ajakosea Wala maana matajorio yalikua kununua umeme point 2. Kwa shilling mia 3 tufout na Sasa Kwa buku
Ndugu yangu unataka nipigane na maisha? Hakuna wa kumlalamikia kuhusu maisha chukua hatua kwaajili yako na vizazi vyako.We ujui kinachoendelea Mzee
Kuwa siriac na Maisha mbwa ww bila shaka kula kulala ww
Si bora hata nyie Msasani hayo maji mnayapata kwa kuruka siku moja, sisi huku maji hayatoki yapata week 5 sasa 😡😡Nashindwa kuelewa kabisa Yani kwamba Kuna mgao wa umeme au laaa Tangu asabuh uku msasan akuna umeme na akuna taarifa zozote iyo aitoshi Jana maji akuna leo yapo umeme akuna Sasa Aya Maji Sijui yanapandaje Kweny tenki sometimes unashikwa na hasira akuna shughul yoyote Maana source Zote muhimu akuna Watu wanajiamulia tu kukataa umeme kuzima Maji Sasa ule mradi wa kigambon unamaana Gani wanachi tushachoka Sasa
Naunga mkono hoja yako.Nashindwa kuelewa kabisa Yani kwamba Kuna mgao wa umeme au laaa Tangu asabuh uku msasan akuna umeme na akuna taarifa zozote iyo aitoshi Jana maji akuna leo yapo umeme akuna Sasa Aya Maji Sijui yanapandaje Kweny tenki sometimes unashikwa na hasira akuna shughul yoyote Maana source Zote muhimu akuna Watu wanajiamulia tu kukataa umeme kuzima Maji Sasa ule mradi wa kigambon unamaana Gani wanachi tushachoka Sasa
Na kunuka jasho kuendelee mpaka dumu muanze kununua kwa shilingi 10000 ndio akili ziwarudi , wanalumumba tena nyie ndio mminywe mpaka maji Muite mma.Nashindwa kuelewa kabisa Yani kwamba Kuna mgao wa umeme au laaa Tangu asabuh uku msasan akuna umeme na akuna taarifa zozote iyo aitoshi Jana maji akuna leo yapo umeme akuna Sasa Aya Maji Sijui yanapandaje Kweny tenki sometimes unashikwa na hasira akuna shughul yoyote Maana source Zote muhimu akuna Watu wanajiamulia tu kukataa umeme kuzima Maji Sasa ule mradi wa kigambon unamaana Gani wanachi tushachoka Sasa