Nchi ya ovyo, viongozi wateule hata wakiulizwa salamu tu lazima wamshukuru na kumsifia Samia

Nchi ya ovyo, viongozi wateule hata wakiulizwa salamu tu lazima wamshukuru na kumsifia Samia

Hivi hawa mawaziri wana vyeti vya form four?

Sijaulizia Degrees, Master's au PhD.

Mtu yeyote angalau mwenye cheti cha kidato cha nne lazima ajitambue, hawezi kuishi kwa kutegemea bahati.

Kila jambo likija mikononi mwake anaamini kuwa ni haki yake na anastahili.

Hawa mawaziri ambao kila wakiona mike na au kamera mbele zao wakiulizwa swali au jambo lolote lazima waanze kwa kumshukuru Rais Samia na kumsifia nauliza wana vyeti vya form four?
Watanzania wote tupo zaidi ya million 60. lakini mawaziri hawazidi 30!
Pamoja na kuwa wako qualified na ni haki yao kuwa Mawaziri na si favour; ;bado kuna haja ya kumshukuru Mama kwa sababu hata akiamua kuwaondo wote kabisa leo, bado anaweza akapata wengine wengi tu wenye sifa kama za hawa aionao sasa

Kwa hali hiyo, wakati mwingine mtu unapokuwa uko radical sana kiasi cha kuwa unajiweka kwenye situation ambayo unataka vile ambavyo unavistahi na ni haki yako, huhitaji kuviambatanisha na shukrani kwa wale wanaokupatia; unakuwa una suffer coquences the SPERIORITY COMPLEX inayotokana na FEAR; na ambayo si kitu kizuri sana hasa kwa mtu ambaye ni mwanaume HALISI

Usiwe mtu wa kujihami sana kuonekana kuwa unawaheshimu au kuwakubali wengine. Kuwaheshimu wengine, kuwakubali ikiwa ni pamoja na kuwatamkia kwa mdomo kuwa unawakubali, ni mojawapo ya tabia za watu walio waungwana

Inakugharimu kitu gani kuwatamkia wengine kuwa unawakubali, especially mtu ambaye ni RAIS, na ambaye amekuteua kwenye nafasi nyeti ya watu wapatao 30 tu kati ya idadi ya watu wanaozidi million 60?
Ubarikiwe
 
Hivi hawa mawaziri wana vyeti vya form four?

Sijaulizia Degrees, Master's au PhD.

Mtu yeyote angalau mwenye cheti cha kidato cha nne lazima ajitambue, hawezi kuishi kwa kutegemea bahati.

Kila jambo likija mikononi mwake anaamini kuwa ni haki yake na anastahili.

Hawa mawaziri ambao kila wakiona mike na au kamera mbele zao wakiulizwa swali au jambo lolote lazima waanze kwa kumshukuru Rais Samia na kumsifia nauliza wana vyeti vya form four?
Ulitaka kuendelea ni vyema ukahama Tanzania ukaenda nchi zenye uongozi na mifumo inayojielewa
 
Hivi hawa mawaziri wana vyeti vya form four?

Sijaulizia Degrees, Master's au PhD.

Mtu yeyote angalau mwenye cheti cha kidato cha nne lazima ajitambue, hawezi kuishi kwa kutegemea bahati.

Kila jambo likija mikononi mwake anaamini kuwa ni haki yake na anastahili.

Hawa mawaziri ambao kila wakiona mike na au kamera mbele zao wakiulizwa swali au jambo lolote lazima waanze kwa kumshukuru Rais Samia na kumsifia nauliza wana vyeti vya form four?
Wanamsifia sa100 kuliko wanavyomsifu Mungu... Sijawahi kuona nchi yaviongoz wahivi ikiendelea!!
 
🤣🤣🤣🤣tunamshukuru raisi wetu kwa kujitolea kuwa raisi wetu Asante...
 
Hivi hawa mawaziri wana vyeti vya form four?

Sijaulizia Degrees, Master's au PhD.

Mtu yeyote angalau mwenye cheti cha kidato cha nne lazima ajitambue, hawezi kuishi kwa kutegemea bahati.

Kila jambo likija mikononi mwake anaamini kuwa ni haki yake na anastahili.

Hawa mawaziri ambao kila wakiona mike na au kamera mbele zao wakiulizwa swali au jambo lolote lazima waanze kwa kumshukuru Rais Samia na kumsifia nauliza wana vyeti vya form four?
Mkuu hata hivyo una moyo kusikiliza hicho kinyaa.
 
Acheni wivu wenu .kinachombeba Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania ni uchapa kazi wake na uzalendo wake uliotukuka kwa Taifa letu. Ni namna anavyowajali na kugusa maisha ya watanzania.ni namna alivyoleta nuru na mwanga kwa maisha ya watanzania. Ni namna alivyoleta mapambazuko katika uchumi wa watanzania mmoja mmoja na Taifa zima kwa ujumla wake. Kwa sasa kila mtu anao uhakika na matumaini makubwa sana kifuani pake wa kutimiza ndoto zake chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais Samia Suluhu Hasssan.
Unajua mkuu kila ninapokutana na post zako akili yangu inaniambia wewe ni mkuu mmoja wa wilaya ambaye ni failure huna unachokifanya kinachokufanya uendelee na hiyo nafasi ni huku kila mara kumsifia sifia huyo mwanamama aliyekuteua.

Mwanaume anayejitegemea hawezi kuwa na hizi style.
 
Back
Top Bottom