Nchi za Afrika zinajidhalilisha sana, kulikuwa na haja gani Afrika Kusini kuishtaki Israel mahakama ya ICJ?

Kwahiyo wewe ndio unajua zaidi kwamba south inaihitaji israel kuliko wasouthafrica? Hii dunia ina watu wajinga sana
 
Embu toa ujinga wako povu lote hilo kisa kaishitaki israel?
 
Ni kweli ANC ina shida ktk ku-handle mambo magumu kama haya. Wasichojua watu wa ANC na washirika wao ndani ya South Africa ni kwamba kuna Wayahudi wengi sana ndani ya nchi hiyo ambao wameshika nafasi zote nyeti kabisa ndani ya South Africa, kwenye taasisi za ki-Serikali na hata kwenye Makampuni binafsi.
 
Russia ilitoa nafasi kwa watu ambao hawahisiki kutoka
Israel ndio zaidi,maana kila leo raia wanaambiwa waondoke sehemu Fulani itapigwa,wanaobakigi ni magaidi na wake za magaidi wanaowapikia.Raia wema wapo salama lakini magaidi yanafyekwa.
 
So what
 
Hakika mkuu,ni wanafiki sana.
 
South Africa anakumbuka utu nchi za kiarabu zilikiwa upande wake wakati wanatawaliwa na waingereza
 
Je sababu ni Failed state watupe Utu wao? Wawaachie wazayuni watawale watoto na wajukuu wao? Kesho na keshokutwa South Africa ikitawala Tena na weusi kuanza kubaguliwa itakua ndio furaha Yako?
 
Wanafiki tu hao,mbona Sahara inahangaikia uhuru mpaka Leo hawapati kwanini hawawaungi mkono?
Morocco imetengwa na mataifa mengi tu ya Africa, ikiwemo Tanzania for the exception Of Magu.

Hii ramani ya Dunia ikionesha Nchi zinazounga mkono Morocco ama Western Sahara,

Tanzania, Kenya, Uganda, South Africa na mataifa mengi Africa yanaunga mkono western Sahara, Hao wanaojiita Machampion ya Demokrasia wapo busy kuunga Mkono huo Uvamizi.

Hivyo kumsingizia South kwamba Haungi mkono Sahara kunaonesha hujui unaloongea
 
Ukiona mkristo anatukana ujue ni pandikizi kutoka upande wenu,maana sisi tunafundishwa upendo kwa wote lakini ninyi mnafundishwa chuki kwa wasio wenu na visasi
Huo upendo kwa wote hauwahusu watu wa palestina wakiwemo wakristo wenzio unao shinda humu unashangilia mauaji na mateso yao?
 
Ukraine anapitia anayopitia Palestine mbona hata tamko tu la kuilaani Russia hatukusikia?
raia wa Ukraine wamewahi kuwekwa kwenye 'open air prison' kama wapalestina?

raia wa Ukraine wanaporwa ardhi ovyo ovyo kama wanavyofanyiwa wapalestina?

Hebu funguka ubongo kidogo halafu ndiyo ulinganishe Ukraine na Palestine.
 
Kwahiyo wewe ndio unajua zaidi kwamba south inaihitaji israel kuliko wasouthafrica? Hii dunia ina watu wajinga sana
Upumbavu ukizidi haya ndio majibu yake,angalia uchumi wa Israel vs South Africa, na pia angali biashara kati yao,nani anauza zaidi na kununua zaidi ya mwenzake, nadhani umeelimika zaidi
 
Niko na jamaa yangu hapa ukitaka kugombana nae, mwambie wewe si uliipigia kura ANC. Usikilize majibu yake ANC na CCM hawana tofauti wote huwa kama wanatumia propaganda hizo hizo ( umeme bongo V's umeme SA )
Exactly mkuu,ANC safari imewadia mwakani wapo nje ya wigo, kinyume chake wafunge ndoa ya mkeka na EFF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…