Nchi za Afrika zinazoongoza kufanya mapenzi

MazaFanta walai, yaani hata huku tunashika namba 10?
 
Jamani baby mbona umeniita kwa sauti sana!!

Haya nimefika laaziz sema mswita swita wangu [emoji8][emoji8]

Huyo anataka kiki, sasa mimi nataka nimpe na bonus ya mkuyenge [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio ukali sweetie ni hili penzi naona linapata upinzani Sana Kama Dp world na bandari
 
Tz kushika nafasi ya 10 hili napinga kwa nguvu zote
 
Sindo hapo Sasa yani hii tafiti niyakupigwa huku Tz watu wanapelekeana Moto sio poa connection kibao na bado wanatunyima nafasi ya kwanza
 
Unaona sasa,yaan unajidhirisha kabisa ulivyo dume afu unatengeneza I'd ya kike ili iweje

Pambana dogo achana na utapeli wa kimtandao

Nimewasanua wana

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah!! Wewe nishakuona unataka nipewe ban

Sasa umewashtua wana gani? Kwanza mbona humu hakuna wanaume wenye pesa, mmojawapo ukiwepo wewe!!

Bas sawa nimekupa ushindi sababu humu fake I’d ata wewe mwenyewe hatukujui uhalisia wako kwendraaaaaaa
 
Jirani unapenda kujitoa ufahamu jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...wewe sikuwezi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji119][emoji119]

Jirani utawaweza kausha damu wa JF [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ili mradi tu nae nimjibu aone siku yake imeenda poa yaani tafrani humu
 
Sindo hapo Sasa yani hii tafiti niyakupigwa huku Tz watu wanapelekeana Moto sio poa connection kibao na bado wanatunyima nafasi ya kwanza

Wakarudie tafiti na km vipi waeke michuano tupeleke team yetu, wakaone mbivu na mbichi ebooooh!!

Wameniuzi sisi wa kushindwa na Uganda?! Wakati wahaya tu peke yao wanarudi na kombe, hapo bado wasukuma, hatujawaleta wasambaa mapenzi yalikozaliwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hebu watuwache na tumekataa kwa nguvu zote hizi tafiti
 
Naunga mkono hoja, wakirudia mchuano nashauri watupeleke mimi na wewe tukawakilishe nchi yetu vyede...πŸ˜‹
 
[emoji23][emoji23][emoji23] au mama atupe bendera tuende tukaiwakilishe nchi kwenye hio ligi hatuwezi dharaulika hivi hawa waliofanya tafiti waletwe watuonyeshe njia waliotumia kusanya data za hizo tafiti yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…