Umeona sasa,sio vzur kudanganya
Na unadanganya kuwa wew ni mwanamke ili iweje,
Tafuta hela zako,usitaman za wanaume wenzio
birth rate ni kasi ya ukuaji wa idadi ya watu, sio idadi ya watu
MazaFanta walai, yaani hata huku tunashika namba 10?Top 10 sexually active African countries
1)- Burkina Fasoπ§π«
2)- Cameroon π¨π²
3)- Uganda πΊπ¬
4)- Gabon π¬π¦
5)- Zambia πΏπ²
6)- Senegal πΈπ³
7)-Nigeria π³π¬
8)-Sao Tome Principe πΈπΉ
9)-Republic of Congo π¨π¬
10)-Tanzania πΉπΏ
Source: Top 10 sexually active African countries
Jirani unapenda kujitoa ufahamu jamaniπ€£π€£π€£π€£π€£π€£...wewe sikuwezi πππππKwahiyo unakuja niandae zana za kazi?!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaona sasa,yaan unajidhirisha kabisa ulivyo dume afu unatengeneza I'd ya kike ili iwejeKwahiyo unakuja niandae zana za kazi?!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Batili kiaje Baba Mchungaji?Kama Tz imekua ya 10, basi huo utafiti ni batili walahi...π
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio ukali sweetie ni hili penzi naona linapata upinzani Sana Kama Dp world na bandariJamani baby mbona umeniita kwa sauti sana!!
Haya nimefika laaziz sema mswita swita wangu [emoji8][emoji8]
Huyo anataka kiki, sasa mimi nataka nimpe na bonus ya mkuyenge [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tz kushika nafasi ya 10 hili napinga kwa nguvu zoteTop 10 sexually active African countries
1)- Burkina Fasoπ§π«
2)- Cameroon π¨π²
3)- Uganda πΊπ¬
4)- Gabon π¬π¦
5)- Zambia πΏπ²
6)- Senegal πΈπ³
7)-Nigeria π³π¬
8)-Sao Tome Principe πΈπΉ
9)-Republic of Congo π¨π¬
10)-Tanzania πΉπΏ
Source: Top 10 sexually active African countries
Sindo hapo Sasa yani hii tafiti niyakupigwa huku Tz watu wanapelekeana Moto sio poa connection kibao na bado wanatunyima nafasi ya kwanzaTafiti za kiwaki hizo
Hivi washatembelea usukumani waone moto wanaopeleka watani zangu?!! Kwanza wanawake 20 kwa mume mmoja, km King Mswati [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawajatutendea haki kabisa sijapentraaaaaaa
At least tungekuwa wa pili[emoji57] yaani sisi wa kushindwa na Uganda kweliii?!!!!!
Warudie teena research zao shenzy kabisaaa
Unaona sasa,yaan unajidhirisha kabisa ulivyo dume afu unatengeneza I'd ya kike ili iweje
Pambana dogo achana na utapeli wa kimtandao
Nimewasanua wana
Jirani unapenda kujitoa ufahamu jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...wewe sikuwezi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji119][emoji119]
Sindo hapo Sasa yani hii tafiti niyakupigwa huku Tz watu wanapelekeana Moto sio poa connection kibao na bado wanatunyima nafasi ya kwanza
Mama mchungaji, najua hata wewe unatambua kwamba tumeonewa kabisa. Tz ilitakiwa ikue namba 1 au 2πBatili kiaje Baba Mchungaji?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio ukali sweetie ni hili penzi naona linapata upinzani Sana Kama Dp world na bandari
Naunga mkono hoja, wakirudia mchuano nashauri watupeleke mimi na wewe tukawakilishe nchi yetu vyede...πWakarudie tafiti na km vipi waeke michuano tupeleke team yetu, wakaone mbivu na mbichi ebooooh!!
Wameniuzi sisi wa kushindwa na Uganda?! Wakati wahaya tu peke yao wanarudi na kombe, hapo bado wasukuma, hatujawaleta wasambaa mapenzi yalikozaliwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu watuwache na tumekataa kwa nguvu zote hizi tafiti
Tatizo hujaja kutoa ushirikiano, tungefanya mazoezi pamoja najua mwishowe tungechukua ushindiKumbe humu zinakuaga tu kelele za bure hamna lolote.... mzabzab Equation x mlikua wapi mpaka tunashika nafasi ya kumi πππ
Hahahaaa. Lol.Mama mchungaji, najua hata wewe unatambua kwamba tumeonewa kabisa. Tz ilitakiwa ikue namba 1 au 2π
[emoji23][emoji23][emoji23] au mama atupe bendera tuende tukaiwakilishe nchi kwenye hio ligi hatuwezi dharaulika hivi hawa waliofanya tafiti waletwe watuonyeshe njia waliotumia kusanya data za hizo tafiti yaoWakarudie tafiti na km vipi waeke michuano tupeleke team yetu, wakaone mbivu na mbichi ebooooh!!
Wameniuzi sisi wa kushindwa na Uganda?! Wakati wahaya tu peke yao wanarudi na kombe, hapo bado wasukuma, hatujawaleta wasambaa mapenzi yalikozaliwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu watuwache na tumekataa kwa nguvu zote hizi tafiti
Nishaanza pata wivu nataka kwenye NIDA tupigwa picha pamoja ili wasije niibia penzi zanguAchana nao baby, wachomoe km inawauma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]