Nchi za Kiarabu muda wa kuishinda Israel ni sasa

JF ina moderator mwislamu,anafuta makala zote zinazoisifia Israel na makala zote za kidini kutukuza Uislamu ndo zimejaa humu,huyu moderator afukuzwe Kazi mara moja
 
JF ina moderator mwislamu,anafuta makala zote zinazoisifia Israel na makala zote za kidini kutukuza Uislamu ndo zimejaa humu,huyu moderator afukuzwe Kazi mara moja
Kule Colombia Marekani raisi wa chuo kikuu amesifia sana Hamas na kuilaani Israel sijui utasemaje hapo.
Kwa kifupi kama ni mtu unayefuata ukweli huwezi kupata cha kuisifia Israel ambayo imeshaua kwa uhakika watoto wa Palestina kwa miaka kadhaa.Hawa wanaosema wao wameuliwa kwa kuchinjwa wala hawajawaonesha.
 
Bado hamjasema naona unakwepa hoja ya waarabu wenzio kumlilia allah na hajaenda kuwasaidia kumbe mwenzenu allah kashakula kona na kuingia mitini, mngeanza kwanza kujisikitikia wenyewe kuhusu mliyodanganywa na yule mtume wenu mhuni na mshenzi wa tabia, yesu alikuwa myahudi ila haimaanishi wakristo wanawaabudu wayahudi wote na haijalishi wao wanaamini nini wanachoamini wayahudi hakiwahusu kabisa wakristo
 
Hawakubali kuonewa kijinga.

Wengi wao hao Mungu wao siyo myahudi.
Wabaki kwao sasa, hivi inawezekana Mkristo kwenda [emoji1210] na kuanzisha butcher ya kitimoto?

Ukienda Rome ishi kama Waroma.
 
Mbona zilishapelekwa Qatar kupitia bank moja ya Ulaya
Lini wamezuia tena Mkuu
Israel anajilinda hana muda wa kuivamia Iran. Iran kila mara inang'aka itaifuta Israel. Sasa Anderson afanye hivyo. Rudi kwenu Tanzania wewe uingereza siyo kwenu.
😄😄😄 Scandinavia ulisha ondoka au sio wewe
Mimi hata huko sio kwetu na kiswahili ni lugha mtu yoyote anaongea
Sio kila anaejua kiswahili ni mswahili boss wengine tulipita tu huko naongea lugha 5 sijui utaniweka wapi
 
Punguza uongo. US hajatoa pesa. Walichofanya ni kuachilia pesa za Iran zilizokuwa zinashikiliwa Mataifa mbali mbali.
Sasa mpaka kushushuana? 😄 kweli hizo ni hela alizozuia miaka lakini amebadili kwa wafungwa
Kama hazijaachiwa sijui maana mwisho nilisikia ziko Qatar
Tusiitane waongo ni kufahamishana tu najua kuna wayahudi wengi humu
 
Basi utakuwa mrundi ulijilipua😂
 
Katika habari hizo wewe ni mtoto mdogo sana.Waulize viongozi wako wa kanisa wanaokimbia mkuku ikija hiyo mada.
Wewe tulia acha kuwa brainwashed Wakristo wanauhakika na maandiko yao, hawahitaji hekaya zako, wewe jiandae kwenda kubikiri 72 huko [emoji38]
 
Basi utakuwa mrundi ulijilipua😂
Ndio maisha mkuu
Msituchukie hivyo wakati nyie mmelalia dhahabu na almasi halafu hata maji na umeme hakuna halafu unaniambia nirudi Subutu
Hapa miaka 35 nilioishi umeme haujakata hata siku moja
Sijasimamishwa hata na polisi eti nirudi
Retirement yangu karibu naenda kuishi jirani tu hapa
 
Utaongea utakaukiwa lkn uislam Ni tatizo la dunia kwa Sasa.

Hakuna mahali penye uislam penye amani.

Hata Israel wangeondoka wakawaacha wenyewe watapigana tu.

Biblia Siyo kitabu Cha hadithi km kale kaquran mnakosoma kuanzia kulia kwenda kushoto.Kn hujajazwa yule roho mtakatifu utabaki unatafsiri Ujinga wako na kujipa faraja.
 
Wabaki kwao sasa, hivi inawezekana Mkristo kwenda [emoji1210] na kuanzisha butcher ya kitimoto?

Ukienda Rome ishi kama Waroma.
Nenda tu, tena wayahudi wanapenda kweli mtu wa hivyo na mtaji watampa.

Watamfundisha pia nini maana ya kosher.
 
Amani ipo Afrika Kusini au siyo?
 
Ndiyo ukweli wenyewe huo.
Umeshakunywa chibuku unajificha nyuma ya kibodi unajiona nawe Ni mpalestina.

Unajua mpaka mipaka.

Akili za Kihamas hizi.Israel ana haki yake km taifa jingine.Tusitake kuficha ukweli mkongwe kwamba wale Ni ndugu wanagombana.

Kiukweli Vita Siyo nzuri na wapalestina wanateseka mno, inatia huruma Sana lkn hata km Kuna ambalo wanadai lkn hao Hamas hawakupita hesabu zao vizuri. Hesabu za kipumbavu Sana.

Sababu huwezi mpiga adui YAKO akakaa kimya, na ukizingatia pia ana nguvu na back up kubwa kuliko wewe.

Ujinga mnawazungumza Wapalestina kidini badala ya kibinadamu. Mnaongelea waislamu wenzenu wakat huo uislam hauna Cha kuwasaidia wapalestina .

Iambieni dunia kwamba Kuna binadamu wanateseka wanadai haki ya taifa Lao. Lkn mkishaingiza dini mnaachwa na dini yenu mjitafutie suluhu.

Nb:nawaomba Waislamu waiandike Kiran yote km ilivyo kwa kuswahili au kiingerza au lugha nyingine tupate wasaa wa kuikalia na kuisoma.

Kusoma na yale ambayo huwa hamtamki kabisa kuhusu Yesuna mengine mengi.
 
Wameambiwa waondoke tu, kama vipi ndugu zao wapo wengi tu wawapokee, ila hao ndugu wasiunde allied kupigana na israel hali itakuwa mbaya zaidi. Magaidi ni wapumbavu sana hawakujua gharama za kufanya uchokozi

Sawa myahudi mweusi, ila usisahau katika hao wapalestina wanaopigwa wapo pia na wakristo wenzako
 
Mkuu sijaelewa hivi hii ni vita ya KIDINI
 
Acha kuleta udini na kutafuta huruma kupitia dini,wakati jamaa wa HAMAS wanawashambulia Israel mlikuwa mnawasifia HAMAS,kibao kimegeuka mnaanza kulialia.
Je hao HAMAS walitegemea reaction Gani baada ya kuishambulia Israel?Kwamba Israel ni wanawake wangenyamaza tu,HAMAS wamelikoroga huku wakiwa hawajajipanga acha walinywe wenyewe
 
Sky Eclat ni jirani yako hapo reading
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…