Nchi za Kiarabu muda wa kuishinda Israel ni sasa

Nchi za Kiarabu muda wa kuishinda Israel ni sasa

Hii dini ya Mwinyaaz ni laana matatizo tu. Kwanza enyewe wavaa kobaaz awapendani sasa wee subiri hapo hapo tu utaskia Allah Akbari takbiiiir lakini huoona muislamu yeyote akiingiza pua yake pale palestine😀😀😀
 
Mimi kwani ni nani.Kama ningekuwa ndio Jordan na Egypt kwanza nampelekea salamu Blinken wala asikanyage hapa kwetu kabla hajataja suluhu ya Palestina na hajaonesha huruma kwa wanachi wa Gaza.Baada ya hapo namtishia akiniudhi navunja mkataba wa amani wa kinafiki na nafungua mpaka.Angeufyata

Suluhu ilishapatikana mwaka 1993, hao Hamas wakaja kuharibu mambo. Tayari taifa la Palestine lilikuwa lianze rasmi, na makao makuu yake yawe East Jerusalem wao wakaanza ujinga.
 
Hapana Sina maana hiyo bali [emoji631] amepeleka meli za kivita kama ikitokea vita mashariki ya kati awe amesogeza silaha zake
Kwa Iran na USA wanajuana mkuu
Hivi karibuni prison swaps [emoji631] katoa $6b ila kwa wayahudi anaona wauwawe tu
Siasa mbaya sana acha tuwe washabiki mandazi tu
Imezuiwa
 
Siyo Israel pekee anayepigana vita na kushinda bali mabwana zake anaowadekea USA na EU ndo humpa kampani ya misaada ya silaha.

Mfano sasahivi Marekani na nchi mbalimbali zinapeleka silaha za kivita Israel ili ipambane na HAMAS.

Israel bila mabwana zake ni wepesi mno kwa HAMAS na wala sio kwa Palestina yote. Size yake ni HAMAS tu.

Kwa hivyo hata Arab war Marekani alimsaidia?. Punguza uongo.
 
wayahudi wamlilie myahudi mwenzao? Usilete vichekesho.

huyo waluwabambikia watu wakawaambia mungu wenu huyo. halafu ndugu zake mungu wakamfanyia uhuni waliowaaminisha kuwa huyo ndiyo mungu wenu. Dah, inasikitisha, mungu aliyelilia msaada kwa mungu wake.


Hakika duniani wajinga ndiyo waliwao.
Tuendelee kuwaombea Israel wasitishe hiki kisasi wanachowapa Palestina ili mambo yatulie na Wapalestina warudi kuanza kufukua vifusi vya mabaki ya makazi yao ili waanze upya kujijenga.Maana kimji kimegeuzwa vifusi kwa sehemu kubwa.
 
Huo ni ukweli 100%.

Regions with significant populations of Arabs in Europe
France4,000,000-7,000,000
Spain1,600,000–1,800,000
Germany1,401,950
Netherlands682,873
8 more rows

Arabs in Europe - Wikipedia​

Na kwa uwingi wao huko Ufaransa ndiyo kunapelekea vurugu za kila mara.Yani Waarabu na ustaarabu wa kuishi kwa amani ni kama maji na mafuta.
 
Na kwa uwingi wao huko Ufaransa ndiyo kunapelekea vurugu za kila mara.Yani Waarabu na ustaarabu wa kuishi kwa amani ni kama maji na mafuta.
Hawakubali kuonewa kijinga.

Wengi wao hao Mungu wao siyo myahudi.
 
Nchi za kiislam hazinaga umoja kwenye kuteteana.. Palestina apambane na hali yake.

Wao watamsaidia kusema Allah Akbar tu
Walishajaribu wakala kipondo hawataki tena huo ujinga.
Nilikua nawatetea Palestine. Baada ya kujua kumbe wao ndio walioanza miaka hiyo ishu ya kutaka kuwafuta yahud sasa ikawa kibao kimewageukia na wao kuporwa ardhi.
 
Abbas hawezi kuwaruhusu maana hawaelewani. Ndio maana walizichapa 2006/7 kati ya Abbas na Ismail Haniyeh . Abbas akachukua West Bank na Haniyeh Gaza. Ni maadui
Na Fatah wanaonekana hawana misimamo mikali kama HAMAS.Safari hii watu wa Gaza wanalipia gharama kubwa sana kwa kuiona HAMAS kama ndiyo mkombozi wao.
 
Hawakubali kuonea kijinga.

Wengi wao hao Mungu wao siyo myahudi.
Sasa kinachowafanya wakimbilie Ufaransa ni nini? Si wabaki kwa Nchi zao ili wavurugane sawa sawa kama walivyozoea.Nimeona Aljazeera kuna wengine wako wanalia wamezuiwa kwenda UK.Waarabu wanapenda sana kwenda kuishi maisha mazuri ya Ulaya kumbe mpaka wanalia wakinyimwa Viza.
 
Hawakubali kuonea kijinga.

Wengi wao hao Mungu wao siyo myahudi.
Amosi 1:5-6
Haya ndiyo asemayo bwana , Kwa makosa matatu ya Gaza , Naam Kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate Kwa sababu waliichukua katika Hali ya kufungwa kabila Zima , wawatie katika mikono ya Edom . Lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Gaza , nao utayateketeza majumba yake .
 
Back
Top Bottom