bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Wapalestina wavamizi ramani halisi ipo kwenye Biblia hata kabla ya mwaka 1973Huyo sasa hivi lazima arudi kwenye mipaka ya kabla ya 1973.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapalestina wavamizi ramani halisi ipo kwenye Biblia hata kabla ya mwaka 1973Huyo sasa hivi lazima arudi kwenye mipaka ya kabla ya 1973.
Sio waislamu sema waarabu kwasababu nchi zile zina hadi wakristo na dini nyingineViongozi wa nchi za kiislamu wasijitumbukize katika ujinga utakaowagharimu dunia na akhera yao.Kama ni maazimio ya umoja wa mataifa kuhusu Palestina yapo makumi kadhaa na hayajatekelezwa hata moja.Kinyume chake maazimio hayo yanavunjwa mbele ya macho yao.
Anthony Blinken ameitembelea Israel kuipa pole kutokana na mashambulizi ya Hamas kwenye ardhi zao.Sambamba na yeye ndege za mizigo zimekuwa zikipeleka shehena kubwa za silaha nchini Israel ambayo tangu hapo haina upungufu wa vifaa hivyo.
Sambamba na hilo tena meli kubwa ya kivita na ya kisasa kuliko zote imeshapelekwa jirani kabisa na Gaza na karibu na Israel.Meli hiyo kwa ukubwa wake na vifaa vilivyomo na idadi ya askari wanaokuwemo humo ni sawa na kusema kambi kubwa ya kijeshi ya Marekani imesogezwa karibu kuisaidia Israel kuimaliza Palestina.
Wakati wa press conference hapo jana kati ya Blinken na Netanyahu kiongozi huyo mkubwa wa Marekani alitaja udugu alionao na Israel.Katika kuomboleza vifo vya raia wa Israel alitokwa na machozi katikati ya hotuba yake.
Baada ya kuondoka hapo imeelezwa ratiba inaonesha ataendelea na ziara kuzitembelea Jordan,Misri na Saudi Arabia.
Nini anakwenda kuwaambia nchi hizo.Huku muda huo huo Israel inaongeza ukatili wake kwa wapalestina ikitaka watu milioni moja na ushei wahame makazi yao katika kipindi cha masaa 24.Pamoja na kwamba haiwezekani kwa muda huo watu idadi hiyo kuhama pia huko wanakoelezwa waende hakuna mazingira ya kuwapokea.Kote ni kifo tu.Watakaoshindwa kuhama watakapouliwa itatolewa sababu kuwa waliambiwa wahame.Kule wanakotakiwa kwenda hakuna nyumba,maji ,chakula na umeme na bado hakuna uhakika kuwa hawatadondoshewa mabomu
Kama ni udugu uliomliza Blinken kwa ndugu zake Israel,jee waislamu na waarabu hawana udugu ulio bora zaidi na wenzao wa Palestina.Waislamu wakizidi kuwa wajinga watamalizwa kabisa.
Hoa wa palestina zaid ya Milion moja wanao hamishwa hujaelewa tu kwamba eneo ndio linachukuliwa moja kwa moja ? Gaza strip baada ya hii vita inakua chini ya milki ya IsraelHuyo sasa hivi lazima arudi kwenye mipaka ya kabla ya 1973.
Eneo la kijani lote ni nchi za kiislam, hakuna hata moja iliyo tayari kuwapokea waislamu wenzaoKwani kuna chi zipi za Kiislam?
Niliona habari Aljazeera wanamlaumu Abbas kuwa hatoi ushirikiano kwa wenzao wa Ghaza.Serikali ya Fatah chini ya Mahamud Abass inaenjoy existence yake with high security, social, political, Technological and economy assistant From Israel.....
Hamasi ni adui zake,Niliona habari Aljazeera wanamlaumu Abbas kuwa hatoi ushirikiano kwa wenzao wa Ghaza.
Hivi hawa wa Gaza hawawezi kukimbilia kwa ndg zao huko West Bank?hapana,
Lengo la Israel ni kuitokomeza na kuifuta kabisa Hamasi waliojizatiti zaidi Ghaza katika uso wa ardhi ya Palestine.
Mbona West Bank - ukingo wa Magharibi hali iko shwari?
Serikali ya Fatah chini ya Mahamud Abass inaenjoy existence yake with high security, social, political, Technological and economy assistant From Israel.....
Mahamud Abass amekataa amesema kuwaruhusu Hamas kuingia west bank ni Kuanzisha tatizo jingine,Hivi hawa wa Gaza hawawezi kukimbilia kwa ndg zao huko West Bank?
Wanafiki sana nyie. Oooh "Muislam ndugu yake Muislam".Kwani kuna chi zipi za Kiislam?
Duuh bas kazi wanayo, wameyakoroga wenyeweMahamud Abass amekataa amesema kuwaruhusu Hamas kuingia west bank ni Kuanzisha tatizo jingine,
watapata tabu sanaDuuh bas kazi wanayo, wameyakoroga wenyewe
Siyo Israel pekee anayepigana vita na kushinda bali mabwana zake anaowadekea USA na EU ndo humpa kampani ya misaada ya silaha.Kuishinda Israel ni vigumu!
Walishajaribu katika vita mbali mbali tena wakisaidiwa na Soviet ya zamani kuipiga Israeli, lakini walishindwa! Waliamua kuweka Silaha chini na kutafuta amani na Israel.
Wapalestina na wanachotakiwa kufanya ni kukubali kuitambua Israeli na mipaka ya nchi yake kwanza! Waachane na madai ya kuutaka mji mkuu wa Yerusalem uwe mji wao! Maeneo waliyo nayo ya Ukanda wa Gaza na Ukingo wa mto Jordani unawatosha!
Zaidi ya hapo hawatafaniliwa.
Amekataa? Tupe source ya habari yako mkuu.Mahamud Abass amekataa amesema kuwaruhusu Hamas kuingia west bank ni Kuanzisha tatizo jingine,
SAUTI YA ujerumani umechelewa kidogo but inaendelea, mwisho huwa wanarejea muhtasari wa habari,Amekataa? Tupe source ya habari yako mkuu.
Tatizo wana bifu pia wenyewe kwa wenyewe...na mara nyingine wanauanaWarabu awana ushilikiano kabsa mkuu wapo kama mazombie
Kuwapokea ni kukubali kuwaachia nchi watu ambao si yao.Kinachotakiwa ni kuwasaidia wabaki pale walipo na kuwafungulia wanaotaka kwenda kuwasaidia waende huko.Eneo la kijani lote ni nchi za kiislam, hakuna hata moja iliyo tayari kuwapokea waislamu wenzao View attachment 2781056
Wao wanatosha,si unaona Hadi basha wa Israel marekani kasogeza manowari na silaha zingine anampa kidosho wakeNendeni sasa mkawasaidie kupigana. Wenzenu wanapewa kipigo nyie mmebaki kwenye keyboard tu
Sasa ni lini waisrael walimlilia Yesu awasaidie kwenye vita, wao wanaamini kwenye silaha zao na jeshi lao hatujawahi kusikia wakimuita Yesu wala Yahweh wala Yehova, ila hao wapalestina kila siku wanamlilia Allah ila haendi kuwasaidia ndio maana watu wanahoji yuko wapi huyo Allah wanayemuita kila sikuH ao ndugu zake Yesu au kawatosa?