Sasa ni lini waisrael walimlilia Yesu awasaidie kwenye vita, wao wanaamini kwenye silaha zao na jeshi lao hatujawahi kusikia wakimuita Yesu wala Yahweh wala Yehova, ila hao wapalestina kila siku wanamlilia Allah ila haendi kuwasaidia ndio maana watu wanahoji yuko wapi huyo Allah wanayemuita kila siku
Halafu miaka yote hiyo ya kuwaponda wakristo na wayahudi, na kujifanya unajua kuchambua na kukosoa vifungu vya Biblia kumbe hujui hata wayahudi wanaamini nini juu ya Yesu, ndio maana unalazimisha kuwanasibisha na wakristo wakati ukristo na uyahudi ni dini mbili tofauti kabisa
Ukae ukijua wayahudi hawaamini kama Yesu ni mwana wa Mungu wao wanaamini yule Messiah aliyetabiriwa kwao bado hajazaliwa, ila atazaliwa siku moja na atakuja kuwakomboa hivyo huyo Yesu wanayemuamini wakristo wao wayahudi hawamtambui kama mkombozi wao kama ulivyomaanisha hapo, wanaamini Torati ya Musa hawalitambui agano jipya na maandiko yao mengi ni tofauti na wakristo