Nchi za Kiarabu muda wa kuishinda Israel ni sasa

Nchi za Kiarabu muda wa kuishinda Israel ni sasa

Kuwapokea ni kukubali kuwaachia nchi watu ambao si yao.Kinachotakiwa ni kuwasaidia wabaki pale walipo na kuwafungulia wanaotaka kwenda kuwasaidia waende huko.
Kwann una kambi za wakimbizi hapa nchini? Ni za kazi gani? Ni sehem gani nyingine umewah sikia lina mgogoro wa aina hiyo alafu majiran woooote wakagoma pokea wakimbizi?

Hawapokelewi kwasababu ya tabia zao , leo unawapokea mko na aman vizuri kesho mabomu ya kujitoa mhanga kila mahali
 
Siyo Israel pekee anayepigana vita na kushinda bali mabwana zake anaowadekea USA na EU ndo humpa kampani ya misaada ya silaha.

Mfano sasahivi Marekani na nchi mbalimbali zinapeleka silaha za kivita Israel ili ipambane na HAMAS.

Israel bila mabwana zake ni wepesi mno kwa HAMAS na wala sio kwa Palestina yote. Size yake ni HAMAS tu.
Hamas naye ana mabwana zake.

Ana nchi 56 za kiislam. Analia lia nini sasa?
Au nchi za kiislam zimemtelekeza?
 
Mnafeli Sana.

Palestina wanahitaji msaada si kwasababu Ni Waislamu, hapana wanahitaji msaada kwasabab Ni binadamu wenzetu ktk dunia hii.

Ukishaingiza udini tayari Kuna sehemu ya dunia itajitenga nao.

Ishawishi dunia, weka udini mbali kabisa mtafanikiwa.
Kwahiyo wa Israel waliouliwa na hammas sio binadamu ni mbuzi hawahitaji msaada huu unafiki wenu wakianzisha uchokozi kisha mkijibiwa mnakuja kutafuta huruma mnaonewa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Ni udhalilishaji wa hali ya juu huu wanaofanyiwa wapalestina.Eti watu milioni na laki moja wahame haraka ndani ya masaa 24.Maskini wanawake na watoto wanapata tabu huku Marekani ikitoa kauli za kifedhuli zaidi.
Kiongozi mmoja wa wizara ya mambo ya nje anasema hataki kusikia kauli ya kuitaka Israel kusitisha vita au kutafuta suluhu ikitolewa na afisa yoyote katika mazungumzo yake na vyombo vya habari
 
Ni udhalilishaji wa hali ya juu huu wanaofanyiwa wapalestina.Eti watu milioni na laki moja wahame haraka ndani ya masaa 24.Maskini wanawake na watoto wanapata tabu huku Marekani ikitoa kauli za kifedhuli zaidi.
Kiongozi mmoja wa wizara ya mambo ya nje anasema hataki kusikia kauli ya kuitaka Israel kusitisha vita au kutafuta suluhu ikitolewa na afisa yoyote katika mazungumzo yake na vyombo vya habari
Mngekuwa mnayajua haya msinge wavamia juzi jumamosi kwa sababu walikuwa wametulia zao.

Jmosi iliyopita ilikuwa ni sherehe kwenu kwa kuwaua na Alah wakbaru za kutosha. Mmejibiwa leo mnatafuta huruma na kulia lia.
 
Sasa ni lini waisrael walimlilia Yesu awasaidie kwenye vita, wao wanaamini kwenye silaha zao na jeshi lao hatujawahi kusikia wakimuita Yesu wala Yahweh wala Yehova, ila hao wapalestina kila siku wanamlilia Allah ila haendi kuwasaidia ndio maana watu wanahoji yuko wapi huyo Allah wanayemuita kila siku

Halafu miaka yote hiyo ya kuwaponda wakristo na wayahudi, na kujifanya unajua kuchambua na kukosoa vifungu vya Biblia kumbe hujui hata wayahudi wanaamini nini juu ya Yesu, ndio maana unalazimisha kuwanasibisha na wakristo wakati ukristo na uyahudi ni dini mbili tofauti kabisa

Ukae ukijua wayahudi hawaamini kama Yesu ni mwana wa Mungu wao wanaamini yule Messiah aliyetabiriwa kwao bado hajazaliwa, ila atazaliwa siku moja na atakuja kuwakomboa hivyo huyo Yesu wanayemuamini wakristo wao wayahudi hawamtambui kama mkombozi wao kama ulivyomaanisha hapo, wanaamini Torati ya Musa hawalitambui agano jipya na maandiko yao mengi ni tofauti na wakristo
wayahudi wamlilie myahudi mwenzao? Usilete vichekesho.

huyo waluwabambikia watu wakawaambia mungu wenu huyo. halafu ndugu zake mungu wakamfanyia uhuni waliowaaminisha kuwa huyo ndiyo mungu wenu. Dah, inasikitisha, mungu aliyelilia msaada kwa mungu wake.


Hakika duniani wajinga ndiyo waliwao.
 
Ukiangalia kote duniani wanaoiunga mkono Hamas wamekuwa ni wengi kuliko wanaoilaumu kama wewe.Nchi kama Ufaransa imebidi ipige marufuku maandamano ya kuipongeza Hamas. Na Ujerumani mpaka kuna viongozi wa Marekani wameilaumu kwa kuwa na maandamano makubwa ya kuiunga mkono Hamas

Acha uongo, ufaransa Ina waarabu wahamijaji wengi Sana.
 
Acha uongo, ufaransa Ina waarabu wahamijaji wengi Sana.
Huo ni ukweli 100%.

Regions with significant populations of Arabs in Europe
France4,000,000-7,000,000
Spain1,600,000–1,800,000
Germany1,401,950
Netherlands682,873
8 more rows

Arabs in Europe - Wikipedia​

 
Ni udhalilishaji wa hali ya juu huu wanaofanyiwa wapalestina.Eti watu milioni na laki moja wahame haraka ndani ya masaa 24.Maskini wanawake na watoto wanapata tabu huku Marekani ikitoa kauli za kifedhuli zaidi.
Kiongozi mmoja wa wizara ya mambo ya nje anasema hataki kusikia kauli ya kuitaka Israel kusitisha vita au kutafuta suluhu ikitolewa na afisa yoyote katika mazungumzo yake na vyombo vya habari
Jumamosi si mlikuwa mnashangilia huku mkisema Allah Akhbar ? kimsingi Israeli inataka kusafisha ukanda wa Gaza ili kung'oa mizizi yote ya ugaidi. Hamas wana uungwaji mkono wa Iran, Hezbollah na makundi mengine. Lengo la Marekani, Uingereza na Ufaransa ni kuzuia /kutoa kitisho kwa waliokuwa wanajipanga kuungana na Hamas kwenye vita. Hii itaipa Israeli muda wa kumshughulikia Hamas kwa uhuru wote.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ukiangalia kote duniani wanaoiunga mkono Hamas wamekuwa ni wengi kuliko wanaoilaumu kama wewe.Nchi kama Ufaransa imebidi ipige marufuku maandamano ya kuipongeza Hamas. Na Ujerumani mpaka kuna viongozi wa Marekani wameilaumu kwa kuwa na maandamano makubwa ya kuiunga mkono Hamas

Hapo Ufaransa ilifanya kosa la kuachia mazombi yenu yakahamia, na ndio hayo yanataka kufanya maandamano, hakuna mwenye akili zake anayeweza kuunga mikono walichokifanya HAMAS, labda nyie ambao kwenye dini yenu ushetani ndio huwa umekithiri.
Nimependa sana huu uzi wako maana umekiri mwenyewe meli kubwa ya kijeshi kuzidi zote, yaani nguvu inayotumika kwa haya maandalizi ni ya hali ya juu, Iran na mataka taka yote ya Uarabuni itabidi wakae hamna kitu watafanya.
 
Hamas nao wajinga Sana, wakati wanavamia hawakujua madhara yake?. Ngoja tuone huko kaskazini watafanywaje.
 
Hapana Sina maana hiyo bali 🇺🇸 amepeleka meli za kivita kama ikitokea vita mashariki ya kati awe amesogeza silaha zake
Kwa Iran na USA wanajuana mkuu
Hivi karibuni prison swaps 🇺🇸 katoa $6b ila kwa wayahudi anaona wauwawe tu
Siasa mbaya sana acha tuwe washabiki mandazi tu

Punguza uongo. US hajatoa pesa. Walichofanya ni kuachilia pesa za Iran zilizokuwa zinashikiliwa Mataifa mbali mbali.
 
Hata mimi huwa najiuliza, Waarabu wako wengi wanashindwa nini kuteteana na kuamua liwalo na liwe?

Waliwahi kujaribu wakapigwa wote. Na ndio chanzo Cha mgogoro huu wa Palestine, haza Gaza.
 
Back
Top Bottom