Nchi za Kiarabu muda wa kuishinda Israel ni sasa

Sio waislamu sema waarabu kwasababu nchi zile zina hadi wakristo na dini nyingine
 
Huyo sasa hivi lazima arudi kwenye mipaka ya kabla ya 1973.
Hoa wa palestina zaid ya Milion moja wanao hamishwa hujaelewa tu kwamba eneo ndio linachukuliwa moja kwa moja ? Gaza strip baada ya hii vita inakua chini ya milki ya Israel
 
Niliona habari Aljazeera wanamlaumu Abbas kuwa hatoi ushirikiano kwa wenzao wa Ghaza.
Hamasi ni adui zake,
wamemsumbua sana na actually Hamasi wanamuona Abass kama kibaraka wa Israel na Ulaya,

na Abasi na chama chake cha Fatah wanawaona Hamasi kama ni kikwazo kupata mamlaka Kamili ya Palestine, kwasababu wana sura na element za kigaidi kwenye uso wa Dunia
 
Hivi hawa wa Gaza hawawezi kukimbilia kwa ndg zao huko West Bank?
 
Siyo Israel pekee anayepigana vita na kushinda bali mabwana zake anaowadekea USA na EU ndo humpa kampani ya misaada ya silaha.

Mfano sasahivi Marekani na nchi mbalimbali zinapeleka silaha za kivita Israel ili ipambane na HAMAS.

Israel bila mabwana zake ni wepesi mno kwa HAMAS na wala sio kwa Palestina yote. Size yake ni HAMAS tu.
 
Amekataa? Tupe source ya habari yako mkuu.
SAUTI YA ujerumani umechelewa kidogo but inaendelea, mwisho huwa wanarejea muhtasari wa habari,
subiri BBC, na sauti ya America.

Check aljazeera hadi waandishi wanamlaumu Abass why anakataa kuwahost hata majeruhi tu.

Zaidi sana, madaktari huko Ghaza wanasema wazi wazi kabisa kuwapeleka majeruhi west bank ni kuwakatisha maisha wakiwa wagonjwa ni afaddhalli wabaki Ghaza,wapelekeww huduma tu.....
 
Hivi hawa wa Gaza hawawezi kukimbilia kwa ndg zao huko West Bank?
wamefungiwa kwa maukuta mazito ya zege.Hiyo ingekuwa ni kazi nyepesi.Na sio kwenda west bank bali kuingia Israel na kuingia katika majumba yaliyo karibu yao.
 
H ao ndugu zake Yesu au kawatosa?
Sasa ni lini waisrael walimlilia Yesu awasaidie kwenye vita, wao wanaamini kwenye silaha zao na jeshi lao hatujawahi kusikia wakimuita Yesu wala Yahweh wala Yehova, ila hao wapalestina kila siku wanamlilia Allah ila haendi kuwasaidia ndio maana watu wanahoji yuko wapi huyo Allah wanayemuita kila siku

Halafu miaka yote hiyo ya kuwaponda wakristo na wayahudi, na kujifanya unajua kuchambua na kukosoa vifungu vya Biblia kumbe hujui hata wayahudi wanaamini nini juu ya Yesu, ndio maana unalazimisha kuwanasibisha na wakristo wakati ukristo na uyahudi ni dini mbili tofauti kabisa

Ukae ukijua wayahudi hawaamini kama Yesu ni mwana wa Mungu wao wanaamini yule Messiah aliyetabiriwa kwao bado hajazaliwa, ila atazaliwa siku moja na atakuja kuwakomboa hivyo huyo Yesu wanayemuamini wakristo wao wayahudi hawamtambui kama mkombozi wao kama ulivyomaanisha hapo, wanaamini Torati ya Musa hawalitambui agano jipya na maandiko yao mengi ni tofauti na wakristo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…