Nchi za Kiarabu muda wa kuishinda Israel ni sasa

Hii dini ya Mwinyaaz ni laana matatizo tu. Kwanza enyewe wavaa kobaaz awapendani sasa wee subiri hapo hapo tu utaskia Allah Akbari takbiiiir lakini huoona muislamu yeyote akiingiza pua yake pale palestine😀😀😀
 

Suluhu ilishapatikana mwaka 1993, hao Hamas wakaja kuharibu mambo. Tayari taifa la Palestine lilikuwa lianze rasmi, na makao makuu yake yawe East Jerusalem wao wakaanza ujinga.
 
Imezuiwa
 

Kwa hivyo hata Arab war Marekani alimsaidia?. Punguza uongo.
 
Tuendelee kuwaombea Israel wasitishe hiki kisasi wanachowapa Palestina ili mambo yatulie na Wapalestina warudi kuanza kufukua vifusi vya mabaki ya makazi yao ili waanze upya kujijenga.Maana kimji kimegeuzwa vifusi kwa sehemu kubwa.
 
Na kwa uwingi wao huko Ufaransa ndiyo kunapelekea vurugu za kila mara.Yani Waarabu na ustaarabu wa kuishi kwa amani ni kama maji na mafuta.
Hawakubali kuonewa kijinga.

Wengi wao hao Mungu wao siyo myahudi.
 
Nchi za kiislam hazinaga umoja kwenye kuteteana.. Palestina apambane na hali yake.

Wao watamsaidia kusema Allah Akbar tu
Walishajaribu wakala kipondo hawataki tena huo ujinga.
Nilikua nawatetea Palestine. Baada ya kujua kumbe wao ndio walioanza miaka hiyo ishu ya kutaka kuwafuta yahud sasa ikawa kibao kimewageukia na wao kuporwa ardhi.
 
Abbas hawezi kuwaruhusu maana hawaelewani. Ndio maana walizichapa 2006/7 kati ya Abbas na Ismail Haniyeh . Abbas akachukua West Bank na Haniyeh Gaza. Ni maadui
Na Fatah wanaonekana hawana misimamo mikali kama HAMAS.Safari hii watu wa Gaza wanalipia gharama kubwa sana kwa kuiona HAMAS kama ndiyo mkombozi wao.
 
Hawakubali kuonea kijinga.

Wengi wao hao Mungu wao siyo myahudi.
Sasa kinachowafanya wakimbilie Ufaransa ni nini? Si wabaki kwa Nchi zao ili wavurugane sawa sawa kama walivyozoea.Nimeona Aljazeera kuna wengine wako wanalia wamezuiwa kwenda UK.Waarabu wanapenda sana kwenda kuishi maisha mazuri ya Ulaya kumbe mpaka wanalia wakinyimwa Viza.
 
Hawakubali kuonea kijinga.

Wengi wao hao Mungu wao siyo myahudi.
Amosi 1:5-6
Haya ndiyo asemayo bwana , Kwa makosa matatu ya Gaza , Naam Kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate Kwa sababu waliichukua katika Hali ya kufungwa kabila Zima , wawatie katika mikono ya Edom . Lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Gaza , nao utayateketeza majumba yake .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…