OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Mimi kwani ni nani.Kama ningekuwa ndio Jordan na Egypt kwanza nampelekea salamu Blinken wala asikanyage hapa kwetu kabla hajataja suluhu ya Palestina na hajaonesha huruma kwa wanachi wa Gaza.Baada ya hapo namtishia akiniudhi navunja mkataba wa amani wa kinafiki na nafungua mpaka.Angeufyata
Hivi hii vita ni ya kidini?
Uarabuni bado Wana ardhi tele ya kutosha wawachukue wapalestina watawanywe kwenye nchi zao ili wasimalize.
Israel anataka kupanua eneo lake ataimaliza gaza
ImezuiwaHapana Sina maana hiyo bali [emoji631] amepeleka meli za kivita kama ikitokea vita mashariki ya kati awe amesogeza silaha zake
Kwa Iran na USA wanajuana mkuu
Hivi karibuni prison swaps [emoji631] katoa $6b ila kwa wayahudi anaona wauwawe tu
Siasa mbaya sana acha tuwe washabiki mandazi tu
Niliona habari Aljazeera wanamlaumu Abbas kuwa hatoi ushirikiano kwa wenzao wa Ghaza.
Hivi hawa wa Gaza hawawezi kukimbilia kwa ndg zao huko West Bank?
Siyo Israel pekee anayepigana vita na kushinda bali mabwana zake anaowadekea USA na EU ndo humpa kampani ya misaada ya silaha.
Mfano sasahivi Marekani na nchi mbalimbali zinapeleka silaha za kivita Israel ili ipambane na HAMAS.
Israel bila mabwana zake ni wepesi mno kwa HAMAS na wala sio kwa Palestina yote. Size yake ni HAMAS tu.
Tuendelee kuwaombea Israel wasitishe hiki kisasi wanachowapa Palestina ili mambo yatulie na Wapalestina warudi kuanza kufukua vifusi vya mabaki ya makazi yao ili waanze upya kujijenga.Maana kimji kimegeuzwa vifusi kwa sehemu kubwa.wayahudi wamlilie myahudi mwenzao? Usilete vichekesho.
huyo waluwabambikia watu wakawaambia mungu wenu huyo. halafu ndugu zake mungu wakamfanyia uhuni waliowaaminisha kuwa huyo ndiyo mungu wenu. Dah, inasikitisha, mungu aliyelilia msaada kwa mungu wake.
Hakika duniani wajinga ndiyo waliwao.
Amekataa? Tupe source ya habari yako mkuu.
Na ni hao hao wahamiaji ndiyo huwa wanaisumbua sana Ufaransa.Sijui kwa nini huwa wanawapokea.Palipo na waarabu wengi wahamiaji hapana amani siku zoteAcha uongo, ufaransa Ina waarabu wahamijaji wengi Sana.
Allah ndo nani???Usiwe na hofu kijana na usimtegemee yeyote zaidi ya kumtegemea Allah pekee.
Na kwa uwingi wao huko Ufaransa ndiyo kunapelekea vurugu za kila mara.Yani Waarabu na ustaarabu wa kuishi kwa amani ni kama maji na mafuta.Huo ni ukweli 100%.
8 more rows
Regions with significant populations of Arabs in Europe France 4,000,000-7,000,000 Spain 1,600,000–1,800,000 Germany 1,401,950 Netherlands 682,873
Arabs in Europe - Wikipedia
Hawakubali kuonewa kijinga.Na kwa uwingi wao huko Ufaransa ndiyo kunapelekea vurugu za kila mara.Yani Waarabu na ustaarabu wa kuishi kwa amani ni kama maji na mafuta.
Na ni hao hao wahamiaji ndiyo huwa wanaisumbua sana Ufaransa.Sijui kwa nini huwa wanawapokea.Palipo na waarabu wengi wahamiaji hapana amani siku zote
Walishajaribu wakala kipondo hawataki tena huo ujinga.Nchi za kiislam hazinaga umoja kwenye kuteteana.. Palestina apambane na hali yake.
Wao watamsaidia kusema Allah Akbar tu
Na Fatah wanaonekana hawana misimamo mikali kama HAMAS.Safari hii watu wa Gaza wanalipia gharama kubwa sana kwa kuiona HAMAS kama ndiyo mkombozi wao.Abbas hawezi kuwaruhusu maana hawaelewani. Ndio maana walizichapa 2006/7 kati ya Abbas na Ismail Haniyeh . Abbas akachukua West Bank na Haniyeh Gaza. Ni maadui
Sasa kinachowafanya wakimbilie Ufaransa ni nini? Si wabaki kwa Nchi zao ili wavurugane sawa sawa kama walivyozoea.Nimeona Aljazeera kuna wengine wako wanalia wamezuiwa kwenda UK.Waarabu wanapenda sana kwenda kuishi maisha mazuri ya Ulaya kumbe mpaka wanalia wakinyimwa Viza.Hawakubali kuonea kijinga.
Wengi wao hao Mungu wao siyo myahudi.
Ni kama walivyoivuruga Lebanon.Walikaribishwa kistaarabu walivyojazana tu huko wakaigeuza Nchi ikawa ya vurugu kubwa.Ngoja siku wakija kuwageuka ndipo watajua walifanya makosa.
Amosi 1:5-6Hawakubali kuonea kijinga.
Wengi wao hao Mungu wao siyo myahudi.