Nchi za Kiarabu muda wa kuishinda Israel ni sasa

Wanaikumbuka vita ya siku 6 ndo maana hawawezi kuingilia ,mtu ambaye alikuwa WA kutegemea Kwa sasa ni mchina lakin mchina anashirikiana na waarabu kimaslai lakin hiyo dini Yao haikubali kabisa
 
Huo ndiyo ushindi wenyewe. Dunia nzima leo inaiongelea Palestina na ipo nao.


Kasoro wale tu ambao wamejazwa ujinga kuwa mungu wao ni myahudi.
 

Acha ujinga
 
Wanafata mali zao walizoiba wafaransa.
 

Sio nabii isa tena[emoji28]
 
Hawakubali kuonewa kijinga.

Wengi wao hao Mungu wao siyo myahudi.

Ujinga na inferiority complex ndio vinawasumbua ukuachilia mbali mafundisho ya dini yenu inayowafundisha kuwabagua na kutochangamana na wayahudi na wakristo.
 
Nafurahi umekubali kuwa uzi wangu umetaja ukweli wa kinachotokea.Na ni vyema na wewe uwe shahidi ili kikitokea kingine huko mbele kinyume na matarajio yako ya kuwa ndio mwisho wa dunia usijepata la kusema.
Hamas walipanga kidogo tu na sisi viongozi wanakiri hawakutajia kupata mafanikio kama yale.Nani aliyewafanya wakaishtukizia Israel yote mnayoisifu kama kwamba ndio Mungu mwenyewe.Aliyewapa ufanisi huo yupo na halalli na anaona kinachoendelea.Hata waarabu wote wakae kimya akitaka kila kitu kinakuwa chepesi.
 
Palestina hawana chao! Biblia tu inaeleza kila kitu israel imebarikiwa mbele ya palestina. Vita yao haitoisha mpaka mwisho wa dunia.
Huwezi ukathibitisha historia kwa kutumia biblia wala kitabu chochote kingine.Historia ya uhakika hata kabla ya kuumbwa binadamu imo kwenye Qur'an ambayo imesalimika na fikra za watu.
 
Waamke Alfajiri waswali na misikiti ijae kama inavyojaza ijumaa.
Wakiweza Hilo basi ushindi utapatikana bila hata vita.
Umepig penye mshono.as long hili litakua gumu.bas wing wowte ni sawa sawa na pov juu ya maji.imewekwa kitaalam sana hii kama huusik huwez jua
 
Ebu nitolee udini wako hapaa! Kwamba Quran ndo iaminike kuliko BIBLIA!? Kaa pembeni na comment yangu!!!! Amini Quran nitaamini Biblia OVER
Katika habari hizo wewe ni mtoto mdogo sana.Waulize viongozi wako wa kanisa wanaokimbia mkuku ikija hiyo mada.
 
Katika habari hizo wewe ni mtoto mdogo sana.Waulize viongozi wako wa kanisa wanaokimbia mkuku ikija hiyo mada.
NARUDIA TENA! UDINI WAKO USINILETEE MIMI! Kama wewe na dini yako ni majemedali sana mbona mnachakazwa na israel kama kukuuu😂 Israel Juuuuuuu! Taifa lililobarikiwa
 

Yaani huyo mungu wenu muarabu akawapa ufanisi wa kupiga maroketi kwenye makazi ya watu na kuteka watoto na akina mama, aisei mnaabudu mungu wa ajabu sana, na ndio maana ameaagiza kwenye kitabu chake mchinje kila asiyemuabudu


Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)


Fight fight everywhere

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Tuendelee kuwaombea Israel wasitishe hiki kisasi wanachowapa Palestina ili mambo yatulie na Wapalestina warudi kuanza kufukua vifusi vya mabaki ya makazi yao ili waanze upya kujijenga.Maana kimji kimegeuzwa vifusi kwa sehemu kubwa.
Kwamba Israel atawaruhusu warudi pale?
 
Na ni hao hao wahamiaji ndiyo huwa wanaisumbua sana Ufaransa.Sijui kwa nini huwa wanawapokea.Palipo na waarabu wengi wahamiaji hapana amani siku zote
Kwa sasa nchi za Ulaya zinajifunza, ni swala la muda kabla hawajakataa migrants au wakawatafutia sehemu za kuwapeleka
 
Israel anajilinda hana muda wa kuivamia Iran. Iran kila mara inang'aka itaifuta Israel. Sasa Anderson afanye hivyo. Rudi kwenu Tanzania wewe uingereza siyo kwenu.
 
Kwa sasa nchi za Ulaya zinajifunza, ni swala la muda kabla hawajakataa migrants au wakawatafutia sehemu za kuwapeleka
Wamechelewa. Tutakomaa nao humu humu na kuosha mikundu yao wakizeeka.
 
jee waislamu na waarabu hawana udugu ulio bora zaidi na wenzao wa Palestina.Waislamu wakizidi kuwa wajinga watamalizwa kabisa.
Mnapochukulia kila jambo kwa jicho la udini ndipo mnaharibu kabisa..
Kwani wao hawaogopi kipigo?!
 
Mnapochukulia kila jambo kwa jicho la udini ndipo mnaharibu kabisa..
Kwani wao hawaogopi kipigo?!
Wao huwa wanapanga lakini Allah ni mbora wa wapangaji na mjuzi wa kupangua mipango iliyopangwa.
Kwengine anasema huwa anawazunguka maadui zake kutokea pande zote bila wenyewe kujijuwa
Binadamu ni kipofu sana wa kuona mbele yake.Fir'aun alijiona anamfukuza Musa a.s na jeshi lake na hakubali mpaka amshike.Alipoingia baharini na yeye akafuata pengine akisema mshenzi huyu ngoja tumfuate huko huko mpaka tumshike.
Inasemekana katika jeshi la Fir'aun kuna baadhi ya askari walikaribia kuhisi hatari mbele yao na wakataka warudi nyuma lakini farasi wao mkuu dume akaone farasi jike mzuri kule kwenye njia ya baharini na akawa hasikii kitu na wote wakamfuata bila kutaka.Kilichotokea ni kuwa walipofika katikati wote wakazama na kufa wakati jeshi la Musa a.s limeshavuka.
Haya maguvu na maneno ya jeuri ya Israel ikisaidiwa na Marekani yawezekana ndio wanajipeleka kwenye maangamizi.Allah subhaanahu wa taala ameahidi kuwa hawapi njia madhalimu na ahadi zake hazina mabadiliko.

Demokrasia ya vyama vingi imepitwa na wakati.
 
Kwa hiyo kuutetea uislamu ni kuchinja watoto wa Israel na kubaka wanawake kuteka wazee kuwapiga risasi hovyo raia wasio kuwa na hatia

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Mungu wa kweli hatetewi, huyo Mungu anayeuwa watu kisa kumtetea ni mungu wa dunia hii naye ni ibilisi na sheitwani. Yeye ndo huwaahidi wafuasi wake pombe, uzinzi huko paradise. Watu vipofu, ingawa wana macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…